Samaki Samaki na "Reserved tables"…

Samaki Samaki na "Reserved tables"…

Ukishakuwa na hela kila kitu unaweza fanya...

Hata dokta unaweza mreserve siku hiyo akuhudumie wewe na familia aachane na kutibu wagonjwa wa foleni...
Nadhani mnamic the point, huyo Dokta akiwa reserved hakuna mtu ataona, chukulia huyo Dk awepo ofisini wagonjwa wamepanga foleni, wakifika anawaambia mimi nipo reserved namsubilia watu8, utajisikiaje?
 
Hizo Meza wanywaji wake ni kama mabasi ya mikoani wanalamba tank Zima sio nyie wazee wa kulamba bia na kujaza mate ili bia isiishe wenzako wanaenda na kadi wanaswaype kwasababu hawezi kubeba million mbili nzima aende nayo pale
 
Kwani lazima uende Samaki?
Mbona huo mtaa (kama ni Masaki) kuna joints nyingi tu..

Nenda Buckets chap
 
Starehe gharama mkuu.. hapo unaonekana Ni mvamizi tuu karibu tandale tunywe mbege zetu za 500
 
Kwani lazima uende Samaki?
Mbona huo mtaa (kama ni Masaki) kuna joints nyingi tu..

Nenda Buckets chap
Namhurumia boss wake, usikute haya yanafanyika bila yeye kujua.
 
Back
Top Bottom