Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Well, this is it! tumekosea kuchapa habari hii kwenye kijarida cha Cheche kuhusu NSSF na kuwajibika kwa viongozi wake. Tulifanya makosa ya kuihusisha NSSF na vifo vya watoto hawa. Kilichosemwa na ripoti juu ya NSSF si kweli ni uzushi na kujaribu kuwaharibia watu kazi zao na future yao ya kisiasa.
Kwa niaba ya wote ambao wamefuatilia suala hili kwenye "Cheche" tunaomba radhi kwa kuitaja NSSF, Dr. Dau, Bi. Nyoni na uongozi wote wa NSSF. Tumekubali kwamba shirika hili ni safi kabisa, viongozi wake hawajakosea mahali popote na juhudi zao za kutumia mfuko huu kuinua maisha na kubadili sura ya miji mbalimbali inaonekana.
Ni wazi kuwa NSSF ni miongoni mwa mashirika yanayofanya kazi vizuri zaidi na tunatoa wito kwa makampuni yote yanayodaiwa ikiwemo ile Taasisi ya Moyo wallipe mara moja ili kuendelea kulipa nguvu shirika hili (samahani kwa suala la THI pia sikuwa najua ukweli wote).
Tutaandika makala mpya kusahihisha makosa haya yetu na hii makala iliyoambatanishwa tunatoa wito watu wakiisoma wasiitilie maanani kwani ni makosa ya kiuandishi tu. Na ndiyo nimeomba habari hii isichapishwe na mojawapo ya magazeti ninayoyaandikia ili yasije yakajikuta kwenye matatizo na lile jarida la kiingereza lililotuma mtu kufuatilia kule Tabora nimewashaurri wasifuatilie kwani mjadala umeisha.
Na ninafahamu kuwa waliohusika tayari wameshachukuliwa hatua.
Done, happy now?
Kwa niaba ya wote ambao wamefuatilia suala hili kwenye "Cheche" tunaomba radhi kwa kuitaja NSSF, Dr. Dau, Bi. Nyoni na uongozi wote wa NSSF. Tumekubali kwamba shirika hili ni safi kabisa, viongozi wake hawajakosea mahali popote na juhudi zao za kutumia mfuko huu kuinua maisha na kubadili sura ya miji mbalimbali inaonekana.
Ni wazi kuwa NSSF ni miongoni mwa mashirika yanayofanya kazi vizuri zaidi na tunatoa wito kwa makampuni yote yanayodaiwa ikiwemo ile Taasisi ya Moyo wallipe mara moja ili kuendelea kulipa nguvu shirika hili (samahani kwa suala la THI pia sikuwa najua ukweli wote).
Tutaandika makala mpya kusahihisha makosa haya yetu na hii makala iliyoambatanishwa tunatoa wito watu wakiisoma wasiitilie maanani kwani ni makosa ya kiuandishi tu. Na ndiyo nimeomba habari hii isichapishwe na mojawapo ya magazeti ninayoyaandikia ili yasije yakajikuta kwenye matatizo na lile jarida la kiingereza lililotuma mtu kufuatilia kule Tabora nimewashaurri wasifuatilie kwani mjadala umeisha.
Na ninafahamu kuwa waliohusika tayari wameshachukuliwa hatua.
Done, happy now?