Kwani wakati unaenda Lutindi, huwa unapita njia gani? Acha kuchosha watu hapa. Halafu ukumbuke hilo daraja limejengwa kwa fedha zilizotokana na kodi yako.Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
Yawezekana ukawa una elekeza mtu wa miaka ya 2000 hajui nchi China, Japan, Vietnam n.k maendeleo yalikuja vipi? Tena mbaya zaidi kwa mwafrika eti umbembeleze hakuna maendeleo yatakayopatikana hadi mwisho wa dahari.unadhani maendeleo yanapatikana huku ukibembeleza watu? Unataka ufanye miradi ya maendeleo huku unafanya anasa? Unataka uliridhishe kila mtu, utasimamiaje sheria? Utakusanya vipi kodi? Unakusanya wakuu wako wote wa wilaya na wewe mkuu wa mkoa kupeleka makusanyo ya hela za kusaidia watu Hanang, utafinance vipi maendeleo kwa spending culture ya namna hiyo? Hata wewe binafsi bila kua na roho mbaya, maendeleo sahau. All great nations on earth, had to take ruthless measure kua wakubwa hivyo.
Huko Lutindi huwa naenda na Mamaako.Kwani wakati unaenda Lutindi, huwa unapita njia gani? Acha kuchosha watu hapa. Halafu ukumbuke hilo daraja limejengwa kutokana fedha zilizotokana na kodi yako.
Mnampamba sana. Haya;ukipewa urais leo utathubutu kuwa kama yeye?Tanzania hatutokuja kupata Rais Mchapakazi na Mpambanaji wa Kweli kama Yeye tena labda itokee tu Miujiza.
GENTAMYCINE nitakuwa maradufu yake.Mnampamba sana. Haya;ukipewa urais leo utathubutu kuwa kama yeye?
Inaonyesha ni jinsi gani tusivyotaka Mambo makubwa na mazuri ya Mwamba Hayati John Pombe Magufuli yaendelee Kujulikana na kila Siku azidi Kukumbukwa tofauti na Waigizaji Filamu wa Pwani ya Bahari ya Hindi.Kwani lisipozinduliwa inakuaje?
Sahihi, waswahili wanapenda shughuli sana.Tunapenda sana kila kitu sijui kuzindua sijui nini, je watu kwa sasa wanapita wapi ? Siyo kila kitu tuzoee kuzinduliwa wananchi tunataka kuona maendeleo na matatizo yetu yameisha au kutatuliwa hivo kama tayari linatumika ni vizuri maana limesaidia punguza ajali.
Hata sio kutenda wema,sio hisani hiyo.Shida ya wananchi haikuwa kuzindua daraja bali kulitumia! Mwisho tenda wema usepe zako siyo unasubiri misifa kama shetani!
Tayari magari yanapita.Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
Haijazibwa ila hakuruhusiwi kupita.Kule Chini Wameziba Njia Hakupitiki Tena
Awapi. Ukitaka kuwajua Watz jaribu kuomba kazi hata ya kujitolea kwa Mtendaji wa Kijiji. Halafu uje hapa uniambie umeona nini.GENTAMYCINE nitakuwa maradufu yake.