GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,699
- 109,135
Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
🚮🚮Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
Tanzania hatutokuja kupata Rais Mchapakazi na Mpambanaji wa Kweli kama Yeye tena labda itokee tu Miujiza.Magu kafanya mengi
Limezinduliwa lini na nani Mkuu? Jibu.Daraja Limezinduliwa Na Linatumika Mkuu
Tunapenda sana kila kitu sijui kuzindua sijui nini, je watu kwa sasa wanapita wapi ? Siyo kila kitu tuzoee kuzinduliwa wananchi tunataka kuona maendeleo na matatizo yetu yameisha au kutatuliwa hivo kama tayari linatumika ni vizuri maana limesaidia punguza ajali.Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
nimepita nikienda na kurudi moshi!hakika CHUMA JPM aendelee kupumzika kwa amani!May GOD let him in Heaven!Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu, ila popote pale ulipo Hayati John Pombe Magufuli Roho yako ilale mahala pema peponi. Amen.
Miaka 60 ijayo ndio tutapata kichwa kama hiki,nasikitika wengi wetu hatutakuwepo.Tanzania hatutokuja kupata Rais Mchapakazi na Mpambanaji wa Kweli kama Yeye tena labda itokee tu Miujiza.
Hujaelewa lengo lake.Tunapenda sana kila kitu sijui kuzindua sijui nini, je watu kwa sasa wanapita wapi ? Siyo kila kitu tuzoee kuzinduliwa wananchi tunataka kuona maendeleo na matatizo yetu yameisha au kutatuliwa hivo kama tayari linatumika ni vizuri maana limesaidia punguza ajali.
Tunajua hamjataka Kulizindua kwa Mikogo kwakuwa mnajua Sifa nyingi zitaenda kwa Hayati JPM na Wengine hawatakuwa na cha Kuwabeba kwani mpaka sasa hakuna Walichofanya zaidi ya Kuigiza Filamu tu kama hii mpya ijayo ya Kijiji cha Milele.Tunapenda sana kila kitu sijui kuzindua sijui nini, je watu kwa sasa wanapita wapi ? Siyo kila kitu tuzoee kuzinduliwa wananchi tunataka kuona maendeleo na matatizo yetu yameisha au kutatuliwa hivo kama tayari linatumika ni vizuri maana limesaidia punguza ajali.
....Mwinyi Jnr.Tanzania hatutokuja kupata Rais Mchapakazi na Mpambanaji wa Kweli kama Yeye tena labda itokee tu Miujiza.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE mpaka sasa ninachojua Rais wangu ni JPM tu hao Wengine siwaelewi Wanaongoza nini na wamefanya nini mpaka sasa zaidi ya Kupuyangapuyanga tu.nimepita nikienda na kurudi moshi!hakika CHUMA JPM aendelee kupumzika kwa amani!May GOD let him in Heaven!
Kakudanganya nani?Viroba siku hiku haviokotwi mtoni.
Juha kama huyo hawezi Kunielewa.Hujaelewa lengo lake.