Samahani dada, hiyo harufu ni ya nini?

Samahani dada, hiyo harufu ni ya nini?

Ulijuaje kama n harufu ya k? Kama n kikwapa tu? Au nguo alizovaa hazikukauka? Embu acha bad perception kwa kila harufu
 
Nadhani ulifanya wepesi sana kumjaji harufu ya k umeijuaje kma sio uwongo

Au unataka kutuaminisha harufu ya k ya demu wko inafanana na harufu ya betina gwajima embu acha zako bhana

Au harufu ya p$mb zako ina fanana na harufu ya abdallah juma
Nooo sio sijafanya wepesi kumjaji. Ni hisia zangu tu na hizi hisia zinakuja baada ya kumuuliza na akashindwa kujibu, Lakini kama sio kweli pia sio mbaya sana inawezekana kuna watu wanatatizo kama hilo na pengine uzi huu unaweza kuwasaidia kujua nini hasa sababu ya matatizo yao. Wala sio kwa nia mbaya ya kumdhalilsha mtu. Ahsante
 
Ila kuna watu wananuka asee, mtu akipita utadhani limepita gari la taka.....
Sijui chumvini watu wanazama vipi
Hahahaaaa kweli chief, Na mimi mpaka kufikia hatua ya kumuuliza yule dada it was too much.
 
Mmmh!!! Na ulimkosea kweliiii!!! Ulitakiwa kukaa kimya tu mpaka akashuka na ukaspray gari yako...

Anyway asante kwa video nzuri!!!
 
Harufu ya **** umeisikiaje alivyoingia?
Aliweka miguu kwenye dashboard???

Labda ni nguo zna harufu ya uvundo, si unajua mvua cku hz nguo hazikauki vzuri. .
Au viatu
Mmh kuna watu wananuka papuchi si lazima akupanulie... Ata akisimama kawaida tu!!! Sijui ni ugonjwa!!!
 
Mmmh!!! Na ulimkosea kweliiii!!! Ulitakiwa kukaa kimya tu mpaka akashuka na ukaspray gari yako...

Anyway asante kwa video nzuri!!!
Sure, Natamani aione hii post, Na ajue kuwa sikuwa na nia mbaya ndo maana mpaka nimeposti huku ili walau akiona pengine inaweza kumsaidia.
 
1. Inawezekana alirudia chupi.
2. Inawezekana ni mchafu tu.
3. Inawezekana chupi aliyovaa ni mbichi Dar mvua zinanyesha sasa hivi.
4. Inawezekana ana matatizo ukeeni.
5. Inawezekana aliamkia mpango wa kando na kukurupuka kuja kazini maji hayakuwa muhimu sana kwake.

All of the above maybe possible..




Cc: mahondaw... Get well soon love...
 
That was very rude kwa kweli. Mara nyingi tu unamsikia hata office mate ananuka mdomo ama jasho, lakini kutegemea na ukaribu ulionao na mhusika unaweza kuuchuna tu akirudi nyumbani ataambiwa na mkewe.

Asante kwa video imetukumbusha pia. Ila siku hizi watu wananuka midomo jamani hadi mi najistukia mwenyewe. Nyani Ngabu hii ni mtihani haswaa
 
Juzi kati wakati naenda kazini nimekuta dada kasimama pembezoni mwa barabara hapo mitaa ya msewe, Akanipungia mkono ishara ya kuomba nisimame, Nikashusha kioo akaniambia anaomba lift alikuwa anaelekea Posta. Kwakuwa na mimi nilikuwa naenda ofsini nikamwmbia apande. Akafungua akakaa kiti cha mbele jirani yangu.

Alikuwa mrembo kwakweli na alipendeza sana. Lakini chakushangaza pamoja na urembo ule alikuwa na harufu moja kali sana ambayo kwa uzoefu wangu nilihisi kama ni harufu ya K**a. Lakini kwa urembo ule sikuamini kama ni K**a so ikabidi nimuulize, "Samahani dada kuna harufu naisikia, ni nini iko?".

Nilishangaa maana hakuweza kujibu na ki ukweli niliona amekosa raha ghafla. Mpaka tunafika posta akashuka na mi nikaenda ofisini. Cha kwanza nilipofika ofisini nikaingia google, nikakuta hii video jamaa wanaelezea sababu za Uke kutoa harufu mbaya na namna ya kutibu, Kwakweli nilijisikia vibaya siku nzima maana nilihisi nimemkosea sana yule dada. Kama utaisoma Post hii, Samahani kwa swali lile, na hii video hapa ni special kwa ajili yako.


Mkuu asante sana. Maana hapa jirani kuna mtu akianika kufuli lake linakuwa kama shimo la choo. Sasa sijui huko kunako. Akikuvulia pichu lazima uzimie kabisaa. Tunavumilia mengi kwa kweli
 
Back
Top Bottom