Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Atalikuta li Gabriel Zakaria huko cha moto atakiona, aende amwulize Barwaan Muhuza!!
 
Hata Vumilia Mwasha alitoka ITV kutimkia TBC, inaonekana kuna tatizo hapo ITV.
 
Umeona mkuu,, basi hebu gonga japo hewani!! Na mimi nilishakufaaaaaaa!!!
fw1u57is-jpg.595311
blob-jpg.594759
 
Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1

Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.


Usajili wa dirisha dogo au kubwa?

Kipindi chake cha dk 45 alikuwa akitafuta KIKI sasa ndio majibu yake
 
Bora angeenda Azam au hata star Tv huko alipoenda naweza pita miaka 2 sijafungua hiyo channel sababu vipindi vinaboa taarifa zao picha sio clear yaani ni yakizee haswaaa mara ya mwisho kuangalia Tbc kipindi cha chereko kilipokuwa hot mtangazaji sijui glory nani alivyotoka yule mtangazaji nikapotea na mie Sam hukuona nafasi hata Efm au TV1 kweliiii au ungeenda hata sibuka tv
Aende huko,mshahara ungemlipa wewe??
 
Nyie watanzania huwa mna roho za kichawi sana huwa nashindwa kuwaelewa kabisa hivi wakati anasoma kuna hata mmoja kati yenu humu mnaotoa povu alimchangia ada? acheni watu wafanye maamuzi yao kwa utashi wao sasa kama kapotea wewe inakuuma nini acheni roho za kishetani hizo za kuombeana mabaya tu
 
Jibu zuri, watu wanataka kufurahishwa nafasi zao wakati mwenzao anaangalia maslai yake.
Kweli kabisa,mtu anaangalia maslai yake..hapo ipp watu kibao tu wameondoka refer kina millard ayo
 
Back
Top Bottom