Ni mtazamo tuu... Tanzania ina watu wangapi? Ni wangapi wameajiriwa serikalini? Wangapi wako sekta binafsi? Wangapi wamejiajiri? Je maisha hayaendi?Sio inasemekana,huo ndio ukweli
Kama una lengo la Kujenga nyumba ndani ya miaka kumi ya mwanzo wa ajira yako utayatimiza kwa job security au good salary/income?Usalama ni moja ya malengo boss
Ni mjanja yule kule ndo nafasi ya kutoka kimaisha iliko maana kazi nyingi za kiserikali atafanya na hela kule huenda akapata kuliko alikokuwaLeo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Swali mujarab..Kama una lengo la Kujenga nyumba ndani ya miaka kumi ya mwanzo wa ajira yako utayatimiza kwa job security au good salary/income?
Hahahaa umenikumbusha double G ......Godwin Gondwe aliyetokea TBC!Mnasemaje kapotea? Huenda kaahidiwa donge nono na longer term contract. Pia kule yupo karibu kabisa na uDC. Sometimes kuna watu wanaweka fame pembeni na kujiangalia future yao.
Kweli beef la sagnaAcheni unafki Kila mtu anapofanya kazi anaangalia Maslahi yake binafsi pengine Huko Itv hakuwa na mkataba Wa kudumu. Watu mshaingiza siasa duh.......
Tuanze na weweKaenda kwenye maslahi, ajira ya kueleweka sio kwenye chanel za kukaa kibarua miaka 10+
unatumikia kibarua chako wapi?
KaziniTuanze na weweunatumikia kibarua chako wapi?
![]()
Hivi yule mtangazaji alikuwa waporadio akahamia FISIEM RADIOLeo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
hivi yupo?