Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

namjua sam(salumu) mahela kiundani...alisoma kule mkoani tabora shule moja ya kanisa
 
Tatizo lake anajipodoa saana na kutinda nyusi kabla hajaingia studio
Sasa kuna mwanaume gani mwenye kutinda nyusi?
 
Kaburu!!
 
Yuko TBC na si unajua TBC huwa hatuiangalii sana kivile ndiyo maana humuoni. Ukiwa mpenzi wa TBC utamuona sana.
 

Ingekuwa wewe uchague kati ya laki nne uliyoizoea kila siku na milioni moja ya uhakika yenye security yakutosha kwa kazi yako unafkiri utaenda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…