Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,502
- 22,882
Kuna kipindi inabidi uamini Mungu yupo hata kama mpagani
maana ikifika wakati wa mwisho ayupo hutokuwa na hasara
lakini weye ulieacha kuamini na ukamkuta kiama chake....&&&&
Kwenu wanandugu fL1 na wengineo jamani..tupeni ufafanuzi kuna
wanaume yaani wakisikia wake zao kwenda saloon wanahisi kichefu
chefu..sasa tunaitaji ukweli halisi
Wapo wanaaoamini saloon ni sehemu ya kufndishia umbea na hivyo
wanandoa ama wenye wachumba wengi hubeba upashu na kuishia
nao mwisho wa siku kuutumia kwa waume zao na kuharibu ndoa ama uhusiano
wao
wapo wanaoamini kama mkeo mpashu mpashu tu na wengine awaitaji
kwenda saloon kuja kuanzisha zali..wao kama ipo ipo na kama apana apana
sasa pengine wengine wamedanganywa sana kwa waume zao wako saloon
huku wakiwa sehemu za starehe...nakumbuka nikiwa mwanza nilishukia guest moja
mchana nasikia mwanmke saa nane anasema niko saloon mumewangu yaani ananipendesesha wacha mapaka utafurahi na jamaa anakuwa kama ana hamu kuona
alivyopendezwa..ninamaana wengi wa wanawake wanaobanwa hutumia saloon
kama sehemu za kwenda kufanya uharamia wao wa mapenzi.....
Mwenye uzoefu mtusaidie
maana ikifika wakati wa mwisho ayupo hutokuwa na hasara
lakini weye ulieacha kuamini na ukamkuta kiama chake....&&&&
Kwenu wanandugu fL1 na wengineo jamani..tupeni ufafanuzi kuna
wanaume yaani wakisikia wake zao kwenda saloon wanahisi kichefu
chefu..sasa tunaitaji ukweli halisi
Wapo wanaaoamini saloon ni sehemu ya kufndishia umbea na hivyo
wanandoa ama wenye wachumba wengi hubeba upashu na kuishia
nao mwisho wa siku kuutumia kwa waume zao na kuharibu ndoa ama uhusiano
wao
wapo wanaoamini kama mkeo mpashu mpashu tu na wengine awaitaji
kwenda saloon kuja kuanzisha zali..wao kama ipo ipo na kama apana apana
sasa pengine wengine wamedanganywa sana kwa waume zao wako saloon
huku wakiwa sehemu za starehe...nakumbuka nikiwa mwanza nilishukia guest moja
mchana nasikia mwanmke saa nane anasema niko saloon mumewangu yaani ananipendesesha wacha mapaka utafurahi na jamaa anakuwa kama ana hamu kuona
alivyopendezwa..ninamaana wengi wa wanawake wanaobanwa hutumia saloon
kama sehemu za kwenda kufanya uharamia wao wa mapenzi.....
Mwenye uzoefu mtusaidie