Inashangaza sana kwanini hili suala limepata msukumo mkubwa sasa hivi....huenda kuna jambo nyuma yake.Kufuata historia, je? Ni Wamaasai wameingilia hifadhi ya wanyama au wanyama waliwakuta Wamaasai pale?
Mbona hili jambo limeshikiliwa kidedea leo?
Hapa kuna siri kubwa. Kama kipindi cha mtawala fulani walijenga kwenye njia ya Tembo!! Kwanini tusiamini hata sasa kuna mtawala ana taka eneo???
Wawaamishie ZanzibarMbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Haha Hahahaha thanksWamasai wote ni chadema waondolewe tu
Hayo mazungumzo yapo zaidi ya miaka mitano baada ya utafiti wa athari za mazingira ila wanaharakati wamekuwa wakitumiwa na wenye maslahi kushawishi watu wagomee mpango, kisingizio wapo kisheria. Mazungumzo ya hivi karibuni na wadau yameongozwa na Waziri Mkuu. Kelele zimeibuka baada ya Kamati ya Bunge na waandishi wa habari kwenda kuona hali halisi na kuripoti mkwamo.Itumike busara kwa sababu hata hio miaka ya 90 watu waliongea kwa utu sio kuoneshana ubabe! Theres alot good inda being wise than being arrogant!
Huonukoo wa wahuni wamejimilikisha serikali ndiyo wahuni tunao sema kila sikuKina Makamba kumbe wapo wengi eeh
Viti maalumu vipigwe matufuku watz hatuvitaki huo ni uhuni wa kuchezea democracyViti maalumu huletwa na chama hawachaguliwi na wananchi.
Mbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Vita vya gorilla vinanukia iwapo hilo litatekelezwaMbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Wewe hata ukifa hakuna atakaye sikitika.Wamasai wote ni chadema waondolewe tu
Yaani raisi mwenyewe analipwa mshahara na serikali,Ni dubwasha fulani hivi.
Huyu ni mbunge wa chama gani ?Mbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Bawacha haina mtu ndani ya bunge la TanzaniaAkili za Bawacha!
Lowasa na Ole Sendeka ni WamasaiWamasai wote ni chadema waondolewe tu
Kwaiyo huyo na yule wa nishati ni ndugu?Kina Makamba kumbe wapo wengi eeh
Wote hao chademaLowasa na Ole Sendeka ni Wamasai
Hakusema hivyo umemsingizia kumbe na wewe ni mzushi kama jamaa waleMbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Huyu mbunge hovyo kabisa, kutumia magari ya washa washa kivipi? Ina maana magari yataenda kila nyumba kumwagilia hao wamasai au anafikiri huko ngorongoro wamasai wote wanakaa nyumba moja?Kwani hawawezi kutumia utaratibu wa kistaarabu kuwaamisha au akili yake imegotea hapo
Huyu Salome ni ndugu na January?Mbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Hvi hyu mama anamiaka mingap?? Je anamahusiano yoyote na makamba family?? Elim yake ipoje?? Aliipatia wapi?? Anajua maana ya utalii??anajua kwa nn inaitwa ngorongoro?? Anajua wamasai walifikaje hapo? Anaelimu sahihi ya utamaduni wa mtanzania?? Anajua nn kuhusiana na hifadhi?? Na la mwisho ameolewa au bado??Mbunge wa viti maalumu, Salome Makamba ameitaka Serikali itumie magari ya Washawasha kuwaondoa Wamasai huko Ngorongoro badala ya kuyatumia kudhibiti Wapinzani.
Makamba amesema yeye ni balozi wa tembo hivyo anaelewa kinachoendelea hifadhini Ngorongoro kiukweli mbuga inaangamia kwa ukorofi wa Wamasai na matajiri kutoka Arusha na nchi jirani.
Mbunge huyo amekuwa wa pili kuitaka serikali itumie nguvu kuondoa Wamasai baada ya yule wa Mtwara mjini kutaka Vifaru vya Jeshi vitumike kuwaondoa.
Chanzo: TBC 2
Maendeleo hayana vyama!