Salamu Toka kwa Erickb52

Salamu Toka kwa Erickb52

Wacha tu Madame B my YFU ila usiseme kwani wambea wataanza....... Ila wewe mkali aisee. He nimejisahau nikasema kwa nguvu eeeh. Nway nitakamilisha ahadi yangu nikitulia. Nitakustua nikimaliza. OK sweet? OK.

Ok wangu,
Ila anza mapema si unajua leo siku imeisha?
Manake nilienda nikakuta Empty.
Poa wangu.
 
Last edited by a moderator:
Wacha tu Madame B my YFU ila usiseme kwani wambea wataanza....... Ila wewe mkali aisee. He nimejisahau nikasema kwa nguvu eeeh. Nway nitakamilisha ahadi yangu nikitulia. Nitakustua nikimaliza. OK sweet? OK.
Mh Arushaone hatutambulishani aisee
 
Last edited by a moderator:
Thanx wangu!
Rutta wangu huyo!!!
Waooooo!!!
Pole na kazi baba,
Afu leo umechokachoka.
Nani kakuudhi kipenzi?
Usihadaike na rangi wangu,tamu ya chai sukari.
Ngoja nikakuletee Maziwa.....
 
We ulikuwa unamsikiliza yule wa pembeni?
Kawahadaa tu,
nilikuwa Kaunta,nime-Chill.

Usikute ndio wewe nilikutongoza ukaniambia unamsubiri mtu! Duh.....!? Nilifanya timing mbovu ukanywa toti mbili hivihivi....!?
 
Usikute ndio wewe nilikutongoza ukaniambia unamsubiri mtu! Duh.....!? Nilifanya timing mbovu ukanywa toti mbili hivihivi....!?

teh teh teh teh teh,
Mtatongoza mpaka majini mwaka huu.
Hapana yule sio mimi.
Mimi nilikuwa huku kwenye kagiza.
Si mlikuwa wana CC 5?
Anyway,mambo vp lakini?
 
teh teh teh teh teh,
Mtatongoza mpaka majini mwaka huu.
Hapana yule sio mimi.
Mimi nilikuwa huku kwenye kagiza.
Si mlikuwa wana CC 5?
Anyway,mambo vp lakini?

Uuuuuhu! Afadhali sio wewe. Nilihofu sana maana Blaki Woman angejua!
 
Usikute ndio wewe nilikutongoza ukaniambia unamsubiri mtu! Duh.....!? Nilifanya timing mbovu ukanywa toti mbili hivihivi....!?
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa hapo kwenye red nimecheka sana Filipo
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom