Salamu Toka kwa Erickb52

Salamu Toka kwa Erickb52

Halafu weee uwe unaachaga katabia kako kakunichunguliaga!
Yummy una kashfa ya kumpoteza Asprin kwa kumpa dozi kupita kiasi....! Mr Rocky anataka kujinyonga baada ya wewe kupotea na Dena Amsi kumwambia ana mpango wa kuja kwa Sharo Erickb52 Milionea a.k.a Boss mtoto musee wa jiji la Ar
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ila Madame B hako kakasuku kako kanakocheza na Keyboard nakaenda sana aisee



Unajua Erickb52 huyo siyo kasuku ila wanaita PENGUIN hapa kwenu Tanganyika hayupo. Vipi za tangu jana? Yesterday was my day............... Nilifurahi sana aisee.
 
Last edited by a moderator:
Unajua Erickb52 huyo siyo kasuku ila wanaita PENGUIN hapa kwenu Tanganyika hayupo. Vipi za tangu jana? Yesterday was my day............... Nilifurahi sana aisee.
Heheheeeee Arushaone sisi ndio maisha yetu aisee Stress free zone ni Arusha!
Usijali tuko pamoja saaaana tu
 
Last edited by a moderator:
Mhh!
Haya bhana,
na leo ulivyoamka nazo ndo kabisa.

Afu Mchana huu!!


Wacha tu Madame B my YFU ila usiseme kwani wambea wataanza....... Ila wewe mkali aisee. He nimejisahau nikasema kwa nguvu eeeh. Nway nitakamilisha ahadi yangu nikitulia. Nitakustua nikimaliza. OK sweet? OK.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom