Ramadhani Dugange
Member
- Oct 18, 2022
- 12
- 5
Habari, mimi naitwa Ramadhan, ni mgeni, hivyo naomba ushirikiano wenu kama wanachama wa JamiiForums.
Inabidi ulipie pesa ya uanachama la sivyo message zako zitakuwa hazionekani kwenye majukwaa🤣🤣.
Asisahau kulipia na tozo na Mimi ndio mpokeaji ,utampatia namba ya malipoNa mm ndo ninaekusanyaga pesa hio... Uje PM nkupe namba ya Malipo.
Futaa mwayaa huku sio Facebook
Nimependa shati lako...classy😚
Mwambie ukweli jamani😂😂😂Nimependa shati lako...classy😚
😝🙌Mwambie ukweli jamani😂😂😂
Watu wa Makete hao.Mwambie ukweli jamani😂😂😂
Brooo umejilipua ati.....fb tupu.
Karibu sana JF Ramadhani DugangeHabari, mimi naitwa Ramadhan, ni mgeni, hivyo naomba ushirikiano wenu kama wanachama wa JamiiForums.
Ha haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......la sikukuu. Watu bana.Nimependa shati lako...classy😚
Unawaonea ndugu zangu😂😂😂Watu wa Makete hao.
Umependeza