Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
😂😂😂😂 Alafu bado kuna watu wanamwamini eti. 💊💉Tokea huyu Mtumishi aseme angemfufua yule mdada akashindwa ndo basi
Usitusemee wote, jisemee nafsi yako wewe. Still we love our best President, we call her "Mama Afrika"Hv kama rais ameshajua hatakiwi na anaowaongoza kwann tu asiseme jmn nchi yenu hii hapa muwekeni mnayemtaka 🤔🤔
Kipi n kigumu
Hapana hatuelei, nahodha yuko imara sana. 👋Mbona saizi tunaelea tu na nahodha kasinzia?
😀😀😀😀 Sawa Mwenye mama yakeeUsitusemee wote, jisemee nafsi yako wewe. Still we love our best President, we call her "Mama Afrika
KomanyokoooUsitusemee wote, jisemee nafsi yako wewe. Still we love our best President, we call her "Mama Afrika"
Huyo ni nani?Mtu unajua kabisa hutakiwi ila unajilazimisha... Utaonekana kama kituko tu
Amiri Jeshi Mkuu ni kiongozi wa juu kabisa wa majeshi ya ulinzi na usalama wa taifa. Katika mataifa mengi duniani, wadhifa huu hushikiliwa na Rais wa Jamhuri au Mkuu wa Nchi. Yeye ndiye mwenye mamlaka ya juu ya kufanya maamuzi kuhusu matumizi ya majeshi, kuanzisha au kusitisha vita, kulinda amani na usalama wa taifa, pamoja na kuteua makamanda waandamizi wa vikosi vya ulinzi.Unafikiri Rais anatoa amri yeye binafsi!
Watu aina ya Gwajima wanatakiwa watu wenye utashi kuzijibu hoja zao kwa ufasaha hadi wajione wako na mental illness 😂😂😂Gwajima mpumbav sana