Sio lazima fomu kikao cha juu cha maamuzi ni mkutano mkuuNani alimteua, form alichukua wapi na kikao Gani kilimjadili, hayo ni maneno ya polepole
Mtu akipendekeza jina na mkutano mkuu ukaridhia hahitaji fomu tena
Sio lazima fomu kikao cha juu cha maamuzi ni mkutano mkuuNani alimteua, form alichukua wapi na kikao Gani kilimjadili, hayo ni maneno ya polepole
Fahamu UKWELI huu utakusaidia sana na usipotoshe watu kwa bandiko lako hili:
Mkuu, upunzani unaingizwa mkenge sana. kama kuna Rais ambaye wapinzani wanatakiwa wafanye chini juu aendelee basi ni SSH. SSH pekee ndiye Rais kutoka CCM kwa sasa anayeweza kuwapa wapinzani reforms za kueleweka (anazungumzika na kuna vitu ni rahisi kuelewana - ni kweli saiz kuna shida kidogo na upinzani kwa sababu labda zilizo nje ya uwezo wake) lakini baada ya SSH - Rais ajaye kama atatoka CCM atakuwa mtata balaa - reforms zitazungumzika baada ya miaka 10. Watu ni kama wanazisahau akili za kina pole pole na wahafidhina wengine ndani y Chama.Mkuu achana na wajinga hao ambao hata mgambo hawajawahi pita lakini wanajifanya wajuzi mambo ya jeshi
Wewe ni mchumia tumbo tu!Usitusemee wote, jisemee nafsi yako wewe. Still we love our best President, we call her "Mama Afrika