beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
nawasalimu wana jf wote nataka jua kama uumzima au unaumwa au unamatatizo yoyote ambayo unahis u cn share it with beibe jaman. Mi leo mzima sema kichwa kinauma
beibe nasty...mm niko poa sana...ila hali ya hewa yanipa utata...can we share anything about this weather?...
beibe nasty...mm niko poa sana...ila hali ya hewa yanipa utata...can we share anything about this weather?...
beibe nasty hujambo?
Kwa niaba ya young bro wangu BAGAH naomba mjibu alichokuuliza bila mmung'unyo ! Ukimung'unya itakua umechakachua Uzi we mwenyewe.
Mjibu fasta , kipupwe hukioni ?
Mpenzi wangu nizimike wapi mama sema nilichelewa lala n mewahi amka aisee haya leo unapuyangia wapi mto wa k ya bwiruubeibe,me pouwa kabsa.km kawa naendelea na ujenz wa taifa. vp hko kichwa jna ulizimika sana?
Heee judgement we sema yako kwan bagha mtoto huyo
@beibe nasty umezidi kunichanganya hapo uliposema ungekua karibu...u-mbali kiasi gani mupenzi?...Oooh nyie huko ndo kuna jimvua eeh da poule sweetpie sasa unajua ufanyaje hebu vaa koti kipendhii ngekuwa karibu ngekupa kumbato hahaha
@TANMO za masiku ni poa aisee...mbona siku ile ukanidanganya hukuniletea ile BAPA bana!Maybe mafuriko?
Lol
Kaka habari za masiku..
Anyway nimeridhika na KUMBATO lako kwake !
Kiwinta hichi ! Alaaa !
beibe nasty...mm niko poa sana...ila hali ya hewa yanipa utata...can we share anything about this weather?...
nawasalimu wana jf wote nataka jua kama uumzima au unaumwa au unamatatizo yoyote ambayo unahis u cn share it with beibe jaman. Mi leo mzima sema kichwa kinauma
Mpenzi wangu nizimike wapi mama sema nilichelewa lala n mewahi amka aisee haya leo unapuyangia wapi mto wa k ya bwiruu
@beibe nasty umezidi kunichanganya hapo uliposema ungekua karibu...u-mbali kiasi gani mupenzi?...