Salaamu kwa Wanaume.

Naunga mkono hoja Wallah wa billah🔥🔥 ngoja tuendelee kua strong woman mpka siku tukutane na Mwana -mume

Ila ukikuta na sample ya Natafuta Ajira utazeeka ukiwa strong woman 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣My dia,Mungu akuepushe na hiyo type akukutanishe na mwana -mume,utalelewa hadi unajiuliza au huyu ni baba yangu mzazi jamani?
 
Huyu hizi salamu zimpite mbali kama mashariki na magharibi haya ni maji marefu😂😂hapa akija atafungua uzi ndani ya uzi
Ila tuseme ukweli kwenye hiyo quote huyo jamaa wa buti moja siku akibaini anachapiwa atajiuwa. Niwe mkweli siwezi kumnunulia mwanamke vyote hivyo ilihali namiliki boxer mbili na buti moja, NO.
 
Hupendi kuhudumiwa na hela ya mwanaume huku gazeti zima linasifia wanaumeme wanajitoa kwa ajili ya wanawake!!!

Mapenzi (mahusiano) ni 50 kwa 50.
Hilo la kugeuzana baba/mama/mzazi/mlezi ni kwa wanawake "masikini wa akili" na wanaume "masikini wa upendo na akili".

Mapenzi(mahusiano) sio biashara, bali ni utimilifu wa mtu kimwili, kiakili, kiroho na kijamii.
Utimilifu hauwezi kujengwa katika mambo ya kidunia (material things), bali unajengwa kihisia.
 
Ila tuseme ukweli kwenye hiyo quote huyo jamaa wa buti moja siku akibaini anachapiwa atajiuwa. Niwe mkweli siwezi kumnunulia mwanamke vyote hivyo ilihali namiliki boxer mbili na buti moja, NO.

Inategemea mkuu,
Ila kama ni mama watoto yuko homme ana behave fresh tu, hyo n kawaida.
 
I am afraid this sounds more like poverty anxiety than anything else.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…