Salaamu kwa Wanaume.

Huwezi kunichonganisha na Lamomy huyo ni mzaramo mwenzangu wa mwanalumango,hana baya
 
Huwezi kunichonganisha na Lamomy huyo ni mzaramo mwenzangu wa mwanalumango,hana baya
hivi bado hua ana umahiri ule ule wa kucheza ngoma ya mkole ya kizaramo, japo anajulikana zaidi kwenye mdundiko

msalimie sana Mom πŸ’
 
Mom,
mbona daima mimi hua naeleza ukweli mtupu tu jukwaani, tena ni kwenye mambo ya msingi tu?
Labda kuna watu wanakupotosha hasa Lamomy maana saa zingine hua ananikasirika bure tu. kua nae makini sana huyu akieleza chochote kunihusu πŸ’
Machawa wote nna hasira nao 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…