William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
4. Mimi ninavyojuwa na tunavyoambiwa ni kwamba Mapinduzi yale yalikuwa ni ya Wazanzibari, kwamba kiongozi wa Mapinduzi alikuwa Mzee Abeid Amani Karume na wenzake kina Said Washoto. Tunaambiwa ni Wazanzibari ndio waliofanya Mapinduzi, au sio? Haya Kikwete ni Mzanzibari? Mimi ninavyojuwa na Profesa (Lipumba, ambaye ni Mnyamwezi na kimila ni mtani wa Kikwete) kwamba Kikwete ni Mkwere. Zanzibar haimuhusu shikio wala ndewe. Leo vyereje Kikwete asema: Tutayalinda Mapinduzi yetu! Vyereje!?
- Ni wajibu kikatiba kwa rais wa Muungano kuulinda kwa nguvu zake zote kama alivyosema Kikwete hapa hilo sio suala la mjadala, hata Seif alipokuwa Waziri wa CCM, aliapa maneno hayo hayo, again hapa Seif hana hoja ila uchochezi kwa wananchi.