Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Anajitoa sadaka kwa kutumia id fakeKuwa makini mkuu unaweza kupotezwa kweli hao ni mafia hatari sana.
Hongera kwa kujitoa sadaka.
Anajitoa sadaka kwa kutumia id fakeKuwa makini mkuu unaweza kupotezwa kweli hao ni mafia hatari sana.
Hongera kwa kujitoa sadaka.
Hivi jamaa wa msoga anaweza vipi jihusisha na Hawa watu.Said Alikua Mkorofi sana...akamwagiwa Tindikali mpaka leo ni kilema usoni....
Kashfa unayotaka kuleta inajulikana,kashfa ya kuwapa hela hapa unaichukulia china au dubai ni ishu ya kawaida sana..enzi ya Magu matajiri wengi waliitumia..yaani ipo hivi...uko dubai au china na unataka kuingiza hela bongo..unawapa hela china...saa hiyo hiyo unapewa bongo...
Wale ni wachafu na sasa hv wana nguvu kwasababu ya Mr. Born Town...
GSM 😂kwa kweli hawa waarabu wa Yemen wanayofanya ni aibu sana, hata Gharib ukimuona mbele za watu kama mtu lakini ni mtu m'baya sana.
Kuna watu huwawez kwa hela, kwa uchawi na umafia mda mwingine inabid ukubaliKama umedhulumiwa mali Yako na ukiangalia huwezi mfanya lolote mdhulumati sababu mazingira yanampendelea.
Tafuta na wewe njia haramu peleka kilio kwake
Ila kama imekuuma sana moyo na unaona kabisa huwezi vumilia
Kuna watu ni wapole sana ila Siku ukimtibua ndio utajua kuwa hata shetani aliwahi kuwa malaika.
Mimi ikija tokea siku wakanifanyia ubaya ubayani yaani ikaa affect maisha yangu completely aisee simwachi mtu nitalipiza maradufu chamoto atakiona sitomuua ila lakini ajutie maisha yake yote yaliyobakia duniani.
Nitamwinda kama digidigi anavyomwinda swala hadi aingie kwenye 18 zangu.
Kuna watu wanaona sifa kuumiza wenzio Kila siku kisa wanyonge anatakiwa aibuke mnyonge mmoja atelekeze mkakati wake barabara! Ili madhalimu nao waipate waipate fresh.
Yule kaka yao nae si alikuwa untouchable.Kuna watu huwawez kwa hela, kwa uchawi na umafia mda mwingine inabid ukubali
Sio rahisi hivyo unafikiri wao hawajui kama wanawindwa kwa sababu ya matendo yao wanajua sana siwatetei ila sio rahisiYule kaka yao nae si alikuwa untouchable.
Wahuni wakapita nae kiaina ushawahi msikia hadharani.
Ukiwatesa sana watu watatafuta gepu wanapita na wewe kwa namna inayofaa iliyo nje ya uwezo wao.
Labda uwe unayeyuka.
Otherwise ukikutana na wenye visasi walijisusa waliochoka mateso wanapita na wewe hivi hata uwe unalinda na mabaunsa au mitutu.
Tuache dhuluma hazifai. Na kudhuluma uhai wa watu na dignity zao.
Just wanakukodishia baunsa wale kinyeo chako halafu unakubali yaishe eti kisa huwawezi kudadeki ingekuwa Mimi natoka na roho ya mtu hakynani. Sikuachi kizembe.
😃😃😃😃😃😃Yule kaka yao nae si alikuwa untouchable.
Wahuni wakapita nae kiaina ushawahi msikia hadharani.
Ukiwatesa sana watu watatafuta gepu wanapita na wewe kwa namna inayofaa iliyo ndani ya uwezo wao.
Labda uwe unayeyuka.
Otherwise ukikutana na wenye visasi walijisusa waliochoka mateso wanapita na wewe hivi hata uwe unalinda na mabaunsa au mitutu.
Tuache dhuluma hazifai. Na kudhuluma uhai wa watu na dignity zao.
Just wanakukodishia baunsa wale kinyeo chako halafu unakubali yaishe eti kisa huwawezi kudadeki ingekuwa Mimi natoka na roho ya mtu hakynani. Sikuachi kizembe.
Teh teh daudi tenaMimi ni shabiki lia-lia wa yanga hata GENTAMYCINE ananijua vema ila hili la ukatili wa hii familia siungi mkono hata kidogo.
Mleta mada wauwee wamalise kabisa.
Master na Wewe unataka kushusha nondo zipi tena?Huu uzi ndiyo utatoa tafsiri fasaha ya kwamba NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE!.
Nasubiri hayo masaa 72 ili nishushe Nondo za ukweli.
Usiichukie sana ngozi nyeusi.Huu uzi ndiyo utatoa tafsiri fasaha ya kwamba NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELE!.
Nasubiri hayo masaa 72 ili nishushe Nondo za ukweli.
Mkuu,huwezi kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja,mleta mada ameshindwa kujibu maswali muhimu sana niliyomuuliza kwenye comment #34Matajiri wenu wakiguswa Mna baking kusema ohh chuki
Ova
NGOZI NYEUSI INA LAANA YA MILELEUsiichukie sana ngozi nyeusi.
We mwenye ushashuhudia hizo mbishe nyeusi nyeusi kwa Ali mpemba bro wake Zahra/mayah.
Ili ngozi nyeupe ije kutuheshimu ni lazima tuende nayo perpendicular.
Tuache unyonge
Nimeona Jana tShisekedi kamkazia macron mbele ya waandishi wa Habari. Ndivyo inavyopaswa kuwa ukiona uhushimiwi uhitaji diplomasia.
Tumwache mwamba ashushe nondoMkuu,huwezi kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja,mleta mada ameshindwa kujibu maswali muhimu sana niliyomuuliza kwenye comment #34
Mi ikitokea mtu Akala kinyeo simwachii Mungu akyanani nakupitishia hukumu hapa hapa duniani. Iwe Leo au 2030 huko ila hukumu lazima uipate.Sio rahisi hivyo unafikiri wao hawajui kama wanawindwa kwa sababu ya matendo yao wanajua sana siwatetei ila sio rahisi
Mambo mengine unaachia nguvu za asili zitafanya kazi