FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,079
- 40,733
- Paulina Gekul na Salaah wa Silent ocean wote ni watu wenye nguvu na ushawishi katika jamii kwa kadiri ya kada zao za kimajukumu.
- Wote ni wana CCM kindaki ndaki
- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.
Paulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.
Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?
Sasa kama mjuavyo, jinai haina expiry date. Sitaki kuingiza udini, na sina nia hiyo. Serikali haipaswi kuwa na double standards, wahalifu wote dhidi ya ubinadamu washughulikiwe. Jinai haina expiry date, nimerudia.
1.) Salaah: Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72
- Wote ni wana CCM kindaki ndaki
- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.
Paulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.
Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?
Sasa kama mjuavyo, jinai haina expiry date. Sitaki kuingiza udini, na sina nia hiyo. Serikali haipaswi kuwa na double standards, wahalifu wote dhidi ya ubinadamu washughulikiwe. Jinai haina expiry date, nimerudia.
1.) Salaah: Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72