Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

ndio maana nimekuambia mchafu hachafuki. Tuhuma sio uhalifu,tuhuma ni tetesi tu. na nchi hii hakuna mafanyabiashara ambaye hana Tuhuma hata huyo ndugu yako aliyefilisiwa kama ukitaka kuwa muwazi tuambie ukweli kwann ilifikia hapo lazima walidhulumiana
yote nitaanika, pia sio ndugu yangu, ni suala la muda yote tutaweka hapa kwa uwazi, na nakala tutampelekea Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, records lazima ziwepo.
 
yote nitaanika, pia sio ndugu yangu, ni suala la muda yote tutaweka hapa kwa uwazi, na nakala tutampelekea Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, records lazima ziwepo.
Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
 
Mfungulieni mashtaka ,hakuna mkubwa mbele ya sheria.Haki ya mtu itachelewa itakuja tu.Hakuna kizazi cha kudhulumiwa daima.Pambanieni haki yenu kisheria.
alikwenda Polisi wakakataa kumfungulia kesi, walisema wamepigiwa simu nyingi walipompa wito wa kuitwa Polisi hivyo wanalinda kazi zao. na kwa dharau jamaa wala hakuitikia wito wa kwenda Polisi.
 
Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
Imeanza sasa
 
Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Asante sana Mrs. Salaah, ni kweli mnaamini hivyo, hivi yule kaka yao jambazi aliyekuwa anaonea watu yuko wapi hivi sasa baada ya kumwagiwa tindikali? si anaishi kama mjusi hata msikitini hawezi kwenda wala kuonekana kwenye halaiki? mifumo ikishindwa kuchukua hatua hata wanadamu wanaweza chukua hatua.
 
Hakuna nayeweza kuinunua mahakama mkuu sema itakuwa wote ni wapiga dili walizidiana ama wamedhulumiana. Mahakamani ukiwa na ushahdi mzuri unaoeleweka hakuna kinachoshindikana
Kuna mtu alikuwa anadai kampuni ya bima na ushahidi wote anao, ila kapigwa danadana miaka zaidi ya 20 na hamna kitu, hawa wanachoma kwa makusudi viwanda vyao vya magodoro na wanalipwa mabilioni, papo hapo, hakuna usawa bhana
 
hii haina haja ya kwenda mahakamani, Si Rais ameunda Tume Jinai? tutaona hiyo tume kama ina dhamira kwa kupeleka kesi kama hizi, isiwe tume kuhalalisha wahujumu uchumi kurejeshewa mali zilizochukuliwa kwa mujibu wa sheria.
ile tume ya Mchongo tu wala usiiamini wale waliochaguliwa wengi wao walisha hudumu kwenye nafasi hizo hizo za hao wanaoenda akuwachunguza, nao pia hawakuwa wasafi hata mmoja
 
Back
Top Bottom