Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

Hili ni jambo gumu hasa kutokana na malezi yetu kuwa hili ni tendo la "aibu" ,kama tungelelewa vingine ingekua kawaida tu!

Inawezekana ni kweli kabisa unachosema, malezi na tafsiri ya tendo lenyewe yanaweza kutufanya baadhi yetu tushindwe kupiga sala kabla ya kushiriki tendo ...!
 
Himidini mi bora niwe mkweli kusali na sali ila pale ufahamu ukishanitoka ndio nashusha verse balaa like Oog God jamani nashukuru kwa kunipa mume mtamu naomba umbariki anizidishie jamani nisishawishike na mwanaume wa aina yoyote.......! Huku shughuli ikiendelea....

Hahahaaa! burdaan sana....kweli Lady doctor unasali? shughuli kiendelea huku unasali si utaanza kunena kwa lugha kweli!
 
Last edited by a moderator:
Mungu aliposema anachukia kuachana, alikuwa na maana anachukia watu kutokaa ndani ya ndoa na kufanya kitendo hicho (Kula Papuichi). Hii ina maana usipokula Papuchi Mungu mwenyewe anachukia kwani aliishaibariki ndoa tokea bustani ya Eden.

Sasa wewe unataka uanze kumsumbua Mungu tena aanze kuwasikiliza wakati yeye anasubiria kitendo bila kuchelewa ili siku ya Kiyama apate Umati mkubwa. Mnamlazimisha Mungu aje kuwapiga chabo wakati alishawapa ruksa Toka eden na vile vile siku ya harusi yenu mlibarikiwa na Mtumishi wa Mungu mbele ya Mungu wa Dunia (Baba na Mama), unataka nini tena.

Mnataka kunifanya nifunguke zaidi bure, ngoja niishie hapa kwa leo niwapishe wengine bitarudi baadaye.
 
Sala kabla ya tendo la ndoa? hahahaha, I'm not sure it's a good idea! you be like:
Bwana tunakuomba utuwezeshe tendo hili tunalo taka kushiriki katika jina lako
Yutangulie, eh bwana, na utuhepushe na pepo zote zinazo wesha kutokosesha malengo yetu
Tunakemea katika jina lako tukufu pepo zote za dushelele kuishiwa nguvu baada ya goli la kwanza
Bwana tupe nguvu ya kushinda pepo la primaturity linalo shusha mbegu baada ya dakika chache
Tunakemeaa na kuzifungia pepo za STD, za Ukimwi, na pepo la magonjwa mengine ya zinaa.
Waongoze wageni wetu, eh bwana, wasije piga hodi wakati bado tunashiriki tendo hili tukufu,
Msaidie partner wangu huyu afurahie tendo kama nitakavo furahia mimi. Nipe inspiration eh Bwana
ya kuweza kumridhisha mwenzangu, kabla ya kumuingilia, wakati wa kumuingilia na kisha kumuingilia
Bwana tupe nguvu ya kushinda vishawishi vya kujipoteza njia wakati tunajua njia halali ilipo,
Bwana tupe nguvu ya kutovuta picha za wake za watu wakati umebariki kua na wake zetu wa ndoa
Na ikikupendeza eh bwana wa mabwana, Mungu muweza vyote, mchezo huu usife bure, tuzae mtoto.
Amen.
Taz, sala yako nimeisoma mara2 mbavu sina, wee mkali kwa maombi
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Taz
Hata kulifikiria sijawahi..haha! wengine hata wasaa wa kuvua pichu wanakosa, leo unawashawishi wasali?..
Sometimes ukitingwa nikiasi cha kusogeza tule tukamba kando unakula chakula kwanza utamu ukikolea kwenye kubadili mkao/wenyewe wanaita miondoko ndiyo unatuvua kabisa maana ukitoka na twenyewe tunaweza kurudi na kuziba njia, halafu ikawa shughuli meli kugonga ukingo.
 
Sometimes ukitingwa nikiasi cha kuusongeza tule tukamba twenu kando unakula chakula kwanza utamu ukikolea kwenye kubadili mkao/wenyewe wanaita miondoko ndiyo unatuvua kabisa maana ukitoka na twenyewe tunaweza kurudi na kuziba njia, halafu ikawa shughuli meli kugonga ukingo.

Ntake radhi mkuu... yaani huoni ndevu zangu! teh..
 
Kwa kuepuka hilo itabidi uwe unaombea asubui ili ikitokea hii mikitu basi isikubananishe na maombi na hutajifeel gilt. Yaani kama naziona sms zenyewe halafu kila mara unaitizama na kuirudia rudia kuisoma. Nakumbuka Enzi za uchumba kila ukipita karibu na kisteshenari lazima ununue kadi na huachi kuongeza maneno. Nakumbuka kipindi hicho nilikua nafanya kazi basi nikiwa ofisini lazima nitengeneze kadi kwa kuchora na maneno kibao . Siku hizi ni mwendo wa sms tu.

ha haaa, bora wewe ulikuwa mfanyakazi na una hela za card, wengine tulikuwa wanafunzi, mbona tulijifunza art bila kutaka! ila sms zimeondoa ladha yooote ya yale mambo jamani
Mlikumbuka na kupulizia pafyumu hizo kadi na barua zenu jameni, maana mimi nilikuwa na shughuli ya kununua pafyumu mara kwa mara kwani ilikuwa ina kazi nyingi.
 
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^

kama unaiba ndo uombe hata mungu akusamehe,ila kama ni tendo la ndoa limeshabarikiwa siku ya ndoa unabariki nn tena kama sikutafuta dhambi
 
Ntake radhi mkuu... yaani huoni ndevu zangu! teh..
Mkuu tule tupichu twa tukamba hatuna umri wa kuvaa. Kuna siku nilikuwa duka moja mitaa ya Posta akaingia mama mmoja mkubwa kiumri zaidi yangu tu akamaugiza mwenye duka, " nipe ule mzigo wangu wa kila siku". Nikashangaa muuzaji akimfungia uto tupichu twa kamba. Ikabidi nichekeleee kimoyo moyo tu, nikasema ama kweli fasheni haina umri.
 
^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^

hili linawezekana kwa wanandoa kabisa lakini kwa wazinifu huu ni mzigo mzito ambao hawawezi kujua waanzie wapi kuubeba
 
do! leo nimekutana na smile ya asubuhi naimani siku itakuwa nzuri sana.
kwetu tulianza wiki chache zilizopita wife alianza na kwakweli zinaleta matunda likini tunavyo fanya ni kumshirikisha roho mtakatifu katika tendo zima na mwisho kumshukuru.
jaribu na utaona furaha yake na hasa wanawake
 
Back
Top Bottom