Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

kwa sisi tunaopiga juu ya tanki la maji!WALAHI hii itakuwa ngumu mjue!
ah!

huwa napenda sana post zako ccta.
Leo umenichekesha had nimelia .
Napiga picha cjui ndo sahan zinakuwa mezan na chakula kishafunuliwa, mmm hiz sara zinakuwa za kimwil na si kiroho.
Thanx SNOWHITE you made my day
 
hahaaa nilivyoona tu hiyo heading nimechekaje
ndoa kuombewa kama chakula makubwa.....

Sasa kama sio mke na mume,bado mtaliomnea hilo
tendo,sijui sala yake itakuwaje

^^
Ila tukipata matatizo mbio mbio,,oo! Mungu Oo! Nisaidie Sikujua Maneno ya kuomba yanapatikana na hakuna aibu! Loo Mungu ni mwema
^^
 
Sasa kama chuma kikoli moto ukianza kuomba si kitapoa, na hata hicho chungu chenyewe si kitakauka wakati tayari kilishajaa maji. Hofu yangu unaweza ukajikuta umeanza kunena kwa lugha ukimaliza kila kitu kiko doro.

Kwanza ilishabarikiwa madhabahuni wakati nafunga ndoa ndio maana likaitwa tendo la ndoa takatifu hata Mungu anachukia tusipofanya
Hili nalo neon. Mwiongozo unahitajika kutoka kwa mtoa mada wa jinsi ya kukabiliana na madhara ya sala kama haya
 
Mbona ulisahau kufumba macho wakati unaomba? nilikuona unanichungulia kwa pembeni ukisubiria kusema ameeeen. Hahahahahahahaaaaaaaaa

Ha ha ha chezeiya muhemuko.....
hivi unakuwa unaomba kwa kusema maneno gani eti?
 
Sasa kama chuma kikoli moto ukianza kuomba si kitapoa, na hata hicho chungu chenyewe si kitakauka wakati tayari kilishajaa maji. Hofu yangu unaweza ukajikuta umeanza kunena kwa lugha ukimaliza kila kitu kiko doro

ha ha ha ameeeeen!!!!!!!!!!

Mbona ulisahau kufumba macho wakati unaomba? nilikuona unanichungulia kwa pembeni ukisubiria kusema ameeeen. Hahahahahahahaaaaaaaaa


Yaani nimechekaje baada ya kuisoma hii.....hahaaaa! hakya nani.duh haha!
 
Sijawahi hata kufikiria kitu hiki....duh!
Hata hao wakoloni waloleta dini hawaifati kama sisi, kuombea tendo la ndoa?
Hivi mnaanzaje, hembu wataalam wa ndoa watujuze manake mi sielewi
 
Sijawahi hata kufikiria kitu hiki....duh!
Hata hao wakoloni waloleta dini hawaifati kama sisi, kuombea tendo la ndoa?
Hivi mnaanzaje, hembu wataalam wa ndoa watujuze manake mi sielewi
kuna siku nilihudhuria ndoa fulani ndo nikasikia mchungaji anasisitiza hilo. inabidi mliombee kabla hamjafanya.....
nikawaza labda wanafanya hivi..... mkiona miili yenu inaelekea kuanza shughuli inabidi mkumbushane kukaribisha uwepo wa Mungu katika jambo mnalotaka kulifanya. mnashikana mikono, mnaoombaaa, huku mmefumba macho (sasa sijui mnakuwa mmevaa kwanza nguo! maana kuomba mkiwa watupu, mmmmhhhh! mi sijui). mnakemea mashetani wasiingilie tendo lenu Takatifu (ndo maana inasisitizwa liwe tendo la ndoa, i.e. kwa wanandoa tu umesikia Heaven on earth?). baadae mnaambiana haya tuanze, lol!
 
Last edited by a moderator:
Sijui hata unaombaje teh!

Naanza kutengeneza mistari ya sala ili nikioa niwe naitumia, teh! manake kama nitakremisha vizuri, hata nikishindwa kujizuia ntakuwa nasali wakati wa majamboz....hata sijui staili ipi itafaa..teeh!
 
kuna siku nilihudhuria ndoa fulani ndo nikasikia mchungaji anasisitiza hilo. inabidi mliombee kabla hamjafanya.....
nikawaza labda wanafanya hivi..... mkiona miili yenu inaelekea kuanza shughuli inabidi mkumbushane kukaribisha uwepo wa Mungu katika jambo mnalotaka kulifanya. mnashikana mikono, mnaoombaaa, huku mmefumba macho (sasa sijui mnakuwa mmevaa kwanza nguo! maana kuomba mkiwa watupu, mmmmhhhh! mi sijui). mnakemea mashetani wasiingilie tendo lenu Takatifu (ndo maana inasisitizwa liwe tendo la ndoa, i.e. kwa wanandoa tu umesikia Heaven on earth?). baadae mnaambiana haya tuanze, lol!

Nilisoma posts zako za mwanzo na nakubaliana na wewe!
Mimi nadhani, kama mtu anasali aamkapo, wakati wa chakula na jioni kabla ya kulala inatosha kabisa..Mungu ameshabariki yote ambayo mtayafanya, ili mradi tu muombe na kushukuru asubuhi na jioni (hii ni kwa wanandoa, wengine wote ni dhambi, kwa hiyo wala tusijishughulishe kusali)

Au FP utengeneze mistari special, iwe sala fupi ili usichanganye gwaride kabla hujamaliza kusali..teh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom