Sala kabla ya tendo la ndoa...

Sala kabla ya tendo la ndoa...

Nilisoma posts zako za mwanzo na nakubaliana na wewe!
Mimi nadhani, kama mtu anasali aamkapo, wakati wa chakula na jioni kabla ya kulala inatosha kabisa..Mungu ameshabariki yote ambayo mtayafanya, ili mradi tu muombe na kushukuru asubuhi na jioni (hii ni kwa wanandoa, wengine wote ni dhambi, kwa hiyo wala tusijishughulishe kusali)

Au FP utengeneze mistari special, iwe sala fupi ili usichanganye gwaride kabla hujamaliza kusali..teh
ha haaa, hivi yale mambo yanapoanza mtu waweza kumbuka kwamba kuna kuomba?
sijui kwa wengine, lakini sisi wala hatujawahi panga kwamba sasa tufanye, huwa inatokea tu tunajikuta tumeshafanya, tulianzaje, hakuna anayeweza kusimulia, sasa hapo sala itakaa wapi? mwanzo hakueleweki, labda mwisho, lol!
 
yewomieeeeee itabidi unilipe mbavu zangu lol
sala ilivo ndefu nani atasubiri hadi iishe??????

Sala kabla ya tendo la ndoa? hahahaha, I'm not sure it's a good idea! you be like:
Bwana tunakuomba utuwezeshe tendo hili tunalo taka kushiriki katika jina lako
Yutangulie, eh bwana, na utuhepushe na pepo zote zinazo wesha kutokosesha malengo yetu
Tunakemea katika jina lako tukufu pepo zote za dushelele kuishiwa nguvu baada ya goli la kwanza
Bwana tupe nguvu ya kushinda pepo la primaturity linalo shusha mbegu baada ya dakika chache
Tunakemeaa na kuzifungia pepo za STD, za Ukimwi, na pepo la magonjwa mengine ya zinaa.
Waongoze wageni wetu, eh bwana, wasije piga hodi wakati bado tunashiriki tendo hili tukufu,
Msaidie partner wangu huyu afurahie tendo kama nitakavo furahia mimi. Nipe inspiration eh Bwana
ya kuweza kumridhisha mwenzangu, kabla ya kumuingilia, wakati wa kumuingilia na kisha kumuingilia
Bwana tupe nguvu ya kushinda vishawishi vya kujipoteza njia wakati tunajua njia halali ilipo,
Bwana tupe nguvu ya kutovuta picha za wake za watu wakati umebariki kua na wake zetu wa ndoa
Na ikikupendeza eh bwana wa mabwana, Mungu muweza vyote, mchezo huu usife bure, tuzae mtoto.
Amen.
 
ngoja mimi nijisemee ukweli....
sijawahi kuombea tendo kabla ya kuanza kufanya, ila, kila siku huwa tunasali pamoja kabla ya kwenda kulala, baada ya sala za pamoja huwa tunakuwa na kipindi cha ukimya ambapo kila mtu anaomba anachotaka. huwa mara kwa mara siachi kumwomba Mungu abariki tutakachokifanya usiku huo, kwa hiyo haijalishi tutafanya muda gani. na asubuhi pia huwa naomba hilo, kwa hiyo ikitokea tunafanya any time mchana basi nakuwa nilishaliombea.
unajua haya mambo huwa hatuambizani "haya sasa tuanze", huwa yanatokea tu.... sasa sipati picha mzuka umepanda mnaambiana "No....ngoja kwanza tuombe"...... mpaka maombi yanaisha zile hamasa zinaweza zikawa zilishakimbia......
Sipati picha wakati unaomba unajikuta umezama kwenye maombi na unanena kwa lugha shuti unaomba kwa kububujika . Nadhani baada ya maombi mzuka kwishnei, hakuna tena tendo la ndoa hapo kitachobaki ni kulazimishana tu.
 
Sijawahi hata kufikiria kitu hiki....duh!
Hata hao wakoloni waloleta dini hawaifati kama sisi, kuombea tendo la ndoa?
Hivi mnaanzaje, hembu wataalam wa ndoa watujuze manake mi sielewi
Nadhani itakua ngumu yaani mtu aanze kukemea mapepo ya kila aina , mara nyingi watu wana sala ndefu utafikiri kitu gani. Baada ya maombi hayo yote si stimu itakatika wajameni . Ngoja tuwasubiri wataalamu watuambie inakuaje.
 
Sipati picha wakati unaomba unajikuta umezama kwenye maombi na unanena kwa lugha shuti unaomba kwa kububujika . Nadhani baada ya maombi mzuka kwishnei, hakuna tena tendo la ndoa hapo kitachobaki ni kulazimishana tu.
ha haaa, unajua mama Mchungaji ilikuwa nikuite hapa utupe mwongozo tunaombaje? kumbe na wewe hili limekushinda? hata mchungaji jamani?.... chezeya mzuka weye, lol!
 
Nadhani itakua ngumu yaani mtu aanze kukemea mapepo ya kila aina , mara nyingi watu wana sala ndefu utafikiri kitu gani. Baada ya maombi hayo yote si stimu itakatika wajameni . Ngoja tuwasubiri wataalamu watuambie inakuaje.
umeniangusha sana mama mchungaji, sana....
unajua wewe ndo role model wangu kwa hili? nilikuwa nasubiri tu uje utupe mistari ya kuangusha hasa KABLA..... BAADA nina uhakika tukiamua inawezekana kabisaaaaa
 
yewomieeeeee itabidi unilipe mbavu zangu lol
sala ilivo ndefu nani atasubiri hadi iishe??????
na wamama tukizamaga deep kwenye maombi, mbona unaweza shitukia umeshavamiwa na AMEN wakati maombi yanaendelea.
nakumbuka tulipokuwa wadogo muda wa kusali, kama siku ni zamu ya mama kusalisha, kila mtu ana kanga yake maana tunajua sala mpaka ziishe tayari unakuwa umeshalala. na mimi siku hizi napita mule mule, lol! chezeya kuwa mama.... unajua umuhimu wa kuomba..... nitataja jina la kila mtu na kazi alizozifanya siku hiyo, kama ni msimu wa kilimo na kuna vibarua shamba nao watatajwa kila mtu na familia yake..... husband utamsikia "nawe sasa umezidi, ungewataja kwa ujumla"
 
ha haaa, unajua mama Mchungaji ilikuwa nikuite hapa utupe mwongozo tunaombaje? kumbe na wewe hili limekushinda? hata mchungaji jamani?.... chezeya mzuka weye, lol!
Hahahahahahaha unajua ni afadhari ukawa mkweli ndugu yangu. Mara nyingi tendo hili huwa hatupangi kuwa leo litafanyika saa ngapi . Inatokea tu linafanyika sasa hii kitu kufanya maombi ni ngumu. Nakumbuka niliomba siku ya kwanza ya ndoa maana niliandaa somo langu nikamshirikisha mwenzangu tena lilikua linatoka kwenye kitabu cha tobiti , somo lile lilikua sala yangu ya maisha yangu yote nitakayoishi na mwenzangu. Baada ya hapo huo utaratibu uliishia pale. Kwa imani yangu binafsi naamini Mungu amelibariki tendo hili toka siku tuliyofunga ndoa na ndio maana huwezi kulifanya tena na mtu mwingine lkn vyakula tunakula sehemu mbali mbali ndio maana tunaviombea. Kama nilivyosema kwa imani yangu hivi ndivyo ninavyoamini na sizuii mtu kuipinga .
 
na wamama tukizamaga deep kwenye maombi, mbona unaweza shitukia umeshavamiwa na AMEN wakati maombi yanaendelea.
nakumbuka tulipokuwa wadogo muda wa kusali, kama siku ni zamu ya mama kusalisha, kila mtu ana kanga yake maana tunajua sala mpaka ziishe tayari unakuwa umeshalala. na mimi siku hizi napita mule mule, lol! chezeya kuwa mama.... unajua umuhimu wa kuomba..... nitataja jina la kila mtu na kazi alizozifanya siku hiyo, kama ni msimu wa kilimo na kuna vibarua shamba nao watatajwa kila mtu na familia yake..... husband utamsikia "nawe sasa umezidi, ungewataja kwa ujumla"
hahahahahaha maombi ya wamama acha tu . Yaani mtu ataanza kuomba kama anasimulia hadithi vile yaani utamention kila alichofanya mtu binafsi kwa siku hiyo kumbuka bado hujawaombea majirani wanaokuzunguka . Sijazungumzia kazini kwako nao unawaombea kwa nyazifa zao na kama kuna mgonjwa mama yangu hapo ndio usiseme utazama kuliko kawaida . Kwa utaratibu huu unajikuta umezama kwenye ulimwengu ambao ni wewe pekee unayeujua. Hebu niambie baada ya maombi ya namna hii kuna cookies tena.
 
Hahahahahahaha unajua ni afadhari ukawa mkweli ndugu yangu. Mara nyingi tendo hili huwa hatupangi kuwa leo litafanyika saa ngapi . Inatokea tu linafanyika sasa hii kitu kufanya maombi ni ngumu. Nakumbuka niliomba siku ya kwanza ya ndoa maana niliandaa somo langu nikamshirikisha mwenzangu tena lilikua linatoka kwenye kitabu cha tobiti , somo lile lilikua sala yangu ya maisha yangu yote nitakayoishi na mwenzangu. Baada ya hapo huo utaratibu uliishia pale. Kwa imani yangu binafsi naamini Mungu amelibariki tendo hili toka siku tuliyofunga ndoa na ndio maana huwezi kulifanya tena na mtu mwingine lkn vyakula tunakula sehemu mbali mbali ndio maana tunaviombea. Kama nilivyosema kwa imani yangu hivi ndivyo ninavyoamini na sizuii mtu kuipinga .
ha haaaa, bora wewe siku ya ndoa ulikumbuka........ na namsifu bwana harusi alikuwa mvumilivu....
 
umeniangusha sana mama mchungaji, sana....
unajua wewe ndo role model wangu kwa hili? nilikuwa nasubiri tu uje utupe mistari ya kuangusha hasa KABLA..... BAADA nina uhakika tukiamua inawezekana kabisaaaaa
Unajua Mungu ni baba si askari kama tunavyomchukulia sisi wengine. Unaweza ukajikuta umejiongezea dhambi pasipo kujua . Ukishasema lazima niliombee tendo hili kabla na baada na siku ikitokea hujaombea basi kwako itahesabika kua umetenda dhambi na itabidi utubu. Hebu chukulia mfano wa mtoto wako umemnunulia zawadi nduri sana anayoipenda na siku ya kwanza ulipofika nyumbani na kumkabidhi alishukuru sana sana. ungependa umuone akiifurahia siku zote na wala hutauliza kwanini hunishukuru kila siku kwani hujui mimi ndiye niliyekuletea hii. Hapana Mungu wetu anatupenda sana na anafurahi anapoona tunapendana na kuendelea kumtukuza yeye ktk maisha yetu ya kila siku. Kwangu mimi niliomba kwa Mungu anipe mume nitakaempenda na atokae mikononi mwake akanipa , nikamshukuru sana tena sana na kila mara moyo wangu umejaa furaha na shukrani . Sisemi kwamba watu wasibariki tendo hili hapana bali kwa mtazamo wangu ni kua lilishabarikiwa toka siku ya kwanza.
 
mwelewe mtoa mada rafiki,
amesema ombea tendo la ndoa, siyo ngono.
sasa unakuwa na kigugumizi gani kuombea tendo la ndoa? Mungu anajua
unatakiwa kulifanya ili ndoa yako ikamilike, sasa kwa nini
umwogope?

Dada @F.P, tendo la ndoa lenyewe ni ibada, halaf uombee ibada ili iweje?
 
ha haaaa, bora wewe siku ya ndoa ulikumbuka........ na namsifu bwana harusi alikuwa mvumilivu....
Nafikiri iliwezekana kwa sababu kila mmoja alikua anamuogopa mwenzake na kumuonea aibu. Mbona ilikua kazi dear. Hapo bi dada nikatoa somo langu hilo na mahubiri meengi kumbe ulichanganyika na uoga
 
Unajua Mungu ni baba si askari kama tunavyomchukulia sisi wengine. Unaweza ukajikuta umejiongezea dhambi pasipo kujua . Ukishasema lazima niliombee tendo hili kabla na baada na siku ikitokea hujaombea basi kwako itahesabika kua umetenda dhambi na itabidi utubu. Hebu chukulia mfano wa mtoto wako umemnunulia zawadi nduri sana anayoipenda na siku ya kwanza ulipofika nyumbani na kumkabidhi alishukuru sana sana. ungependa umuone akiifurahia siku zote na wala hutauliza kwanini hunishukuru kila siku kwani hujui mimi ndiye niliyekuletea hii. Hapana Mungu wetu anatupenda sana na anafurahi anapoona tunapendana na kuendelea kumtukuza yeye ktk maisha yetu ya kila siku. Kwangu mimi niliomba kwa Mungu anipe mume nitakaempenda na atokae mikononi mwake akanipa , nikamshukuru sana tena sana na kila mara moyo wangu umejaa furaha na shukrani . Sisemi kwamba watu wasibariki tendo hili hapana bali kwa mtazamo wangu ni kua lilishabarikiwa toka siku ya kwanza.
sawa mama mchungaji..... tupo pamoja
 
Nafikiri iliwezekana kwa sababu kila mmoja alikua anamuogopa mwenzake na kumuonea aibu. Mbona ilikua kazi dear. Hapo bi dada nikatoa somo langu hilo na mahubiri meengi kumbe ulichanganyika na uoga
ha haaaa, nimechekaje sasa!
nimekuelewa saaaaanaaaa mama mchungaji
 
Back
Top Bottom