Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,957
- 20,511
mbona munakenuwa sana meno na kutoa press conference wazungu wanaokuja ikulu wakiwa na lissu wabaya na magufuli wazuri wanamwamini raisi wanaimani na vita yake ya ufisadi akiambiwa fisadi ahataki
They come through official channels na appointments zinakuwa confirmed na hiyo iko wazi.
Hii ya kukutana vichochoroni na kwenye mahoteli kwa kujificha ndiyo inatia mashaka.
Hizi ni official protocols na zipo nchi nyingi duniani.