Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,904
Kivuvuzela kikitoa documents ndio deni linajifuta?
Hatambui mipaka yake ngoja awekwe mahala salama.
Kivuvuzela kikitoa documents ndio deni linajifuta?
View attachment 572420
Mbunge wa Singida Mashariki, Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha CHADEMA Mheshimiwa Tundu Lissu, amekamatwa na Mlinzi wa amani alipokuwa anatoka mahakamani Kisutu .
Wamesema wamemkamata kwa ajili ya mahojiano.
"Tumetoka Mahakama ya Kisutu muda huu ambapo Mwanasheria Mkuu wa Chama, Tundu Lissu alikuwa na kesi ya tuhuma za uchochezi (uchochezi one) lakini pia alikuwa ni wakili kwenye kesi inayomkabili Yericko Nyerere hapa hapa Kisutu.
Wakati gari la Lissu likiwa liko getini tayari kwa kutoka, likawa blocked na nyuma ya gari yake pia likasimama gari jingine likiwa na askari polisi wenye silaha, kisha wengine wakamfuata na kumwambia yuko chini ya ulinzi na atakiwa kwenda Central Police.
Wakamtaka ashuke kwenye gari lake na apande gari jingine la kwao kwa ajili ya kuelekea Central Police". Amesema Makene.
Stay tuned..
======
UPDATES; 1740hrs
Lissu alikamatwa mida ya 1330hrs, lakini Mpaka Sasa bado Lissu anashikiliwa na Polisi Katika kituo kikuu cha kati na mawakili waliopo bado hawajajibiwa kama atapata dhamana ama laaa. ....tutawajuza kadiri ya taarifa zinavyokuja.
UPDATES; 1745hrs
Mwanasheria mkuu wa Chama Tundu Lissu anatuhumiwa kwa kosa la kutaja makosa ya rais hadharani na uchochezi kuhusu ndege aina ya bombardier Q400.
Labda.LABDA TUNDU LISU ATALIPA DENI NDIO MAANA WAMEMKAMATA ASAIDIE KULIPA DENI
Kama wamejipanga mbona hawakwenda MKIRU? endeleeeni kujidanganya hivyo hivyo....hamjui kuwa hata jeshini moto unawakaJifariji.
Any way asante kwa kunitusi.
Ila hakuna , mtu wa kuingia porini wala cheche kuwasha moto , maana Rais na CDF Mabeyo wamejipanga vizuri.
Kumlinda na kumtetea dikteta uchwara kumekuwa ni ajira inayolipa ndugu yangu...hao wote ni ndugu zake Magufuli...utakuta kama si mtoto wa dada, ni mtoto wa shangazi au mtoto wa shemeji. Hawa wamemwagwa kila sehemu serikalini na ndani ya vyombo vya dola na sasa wamemwagwa mtandaoni na hasa humu JF. Kuna koo zingine si za kukabidhi madaraka...zina laana!
Hatambui mipaka yake ngoja awekwe mahala salama.
Poor argumentAchen kusingizia. Hivi Lissu ama.kabwe wana ubavu gan wa kuongea na hao wazungu wazuie hiyo ndege?
Unao uthibitisho? Mawasiliano aliyafanya wapi na lini? Kilicho ongelewa ni kipi? Ama mnahemuka tuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kujitakia,kwani msomi pekeyake? Sifa za kijinga tuHuyu lisu jamani mbona majanga
Na wewe ni mtoto wa mjomba nini!Gaddafi aliondolewa na kuawawa na baadhi ya walibya wenyewe ambao ni vibaraka wa wazungu kwa kutaka kuwasaidia wazungu kuiba raslimali za nchi hiyo namba moja MAFUTA.
Sasa hivi Libya ni nchi ya ajabu haijawahi kutokea.
na korea hakuna wanaoingia mikataba ya kuibia Nchi kama huyo RAHISI wenuingekuwa ndivyo kama unavyosema tusingekuwa naye kitambooooooooooo, korea huwa hawabembelezi wasaliti wa nchi yao
Mtakoma kuchagua malaika wabaya,mwisho watawaangamiza wote,nyoo mtashaa na ma Hitler wenuHii nchi bora iuzwe tu na kila mtu apewe chenchi yake tukawe wakimbizi kwenye mataifa ya watu.
Tundu Lissu (LLB-Hons), (LLM-Winter). The Honourable Member of Parliament, President of TLS and True figher for His Nation may his patriotism be upon Him. Amen. Yaani jamaa namkubali imebidi nimtambue hata kwa kiingereza cha kuunga unga!!Tafadhali muanzisha mada, next time baada ya jina Tundu Lissu ongezea LLB, LLM kama hautojali kuwa na heshima
UPDATES; 1745hrs
Mwanasheria mkuu wa Chama Tundu Lissu anatuhumiwa kwa kosa la kutaja makosa ya rais hadharani na uchochezi kuhusu ndege aina ya bombardier Q400.
Usipate shida nenda tu mwenyewe wala usichokeHii nchi nimeshaichoka jamani ajitokeze hata msomali tubadilishane.