Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,904
Kutaja makosa ya rais hadharani ni makosa?
Kama kweli ni makosa, ni kwa mujibu wa sheria gani hiyo?
Utaijua tu kama ulikuwa hujawahi kuijua.
Kutaja makosa ya rais hadharani ni makosa?
Kama kweli ni makosa, ni kwa mujibu wa sheria gani hiyo?
muuweni tu halafu muone matokeo yake maana mwajiaminisha kwamba nyie ni miungu na nchi mumeiweka mfukoni na wananchi sio waajiri wenusidhani kama atapata dhamana. Kuna kitu kikubwa, I guess, I might be wrong kinapikwa! Muda ni mwamuzi anakuja soon!
Mag3,
Well said bro. Lakini let me say this, acha Magu ahangaike, he is also a human being like us, he is not an angel from heaven! Kuwa Rais haimaanishi kwamba wewe ni superior na kwamba wewe ndiyo kila kitu na unaweza ku-dictate anything bila ya kuwa questioned!!
ha ha muwe munakumbukumbu wazungu koko si ndio wanamlisha magufuli anawaomba hata wazungu wekendu jamani mbona munajianika na ujinga munalaana yakutoka chato nyieAndika tu ila hicho kivuvuzera kinachotumiwa na wazungu koko tayari kiko central police hadi kitoe documents
Huyu ndo mtu gani?Mlinzi wa amani
ha ha muwe munakumbukumbu wazungu koko si ndio wanamlisha magufuli anawaomba hata wazungu wekendu jamani mbona munajianika na ujinga munalaana yakutoka chato nyieAndika tu ila hicho kivuvuzera kinachotumiwa na wazungu koko tayari kiko central police hadi kitoe documents
Mtanyoosha maelezo pimbi nyie mmeifanya serikali mdori wenu kudadaaki. Boss wenu a jiandae kuvaa jezi za segerea. Kama alikuwa anabeep serikali umempigia tena kwa roaming
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi sana kusema hivyo lkn yanapotokea kweli usiombee ni heri uendelee kuishi kama mtumwa kwenye nchi isiyo na vita kuliko nchi nchi iliyo na machafuko. Omba lkn yasikupate kuwa mkimbizi kweliHii nchi bora iuzwe tu na kila mtu apewe chenchi yake tukawe wakimbizi kwenye mataifa ya watu.
Soma tena comment yanguKwa hiyo unatutangazia kwamba Magufuli anataka kumuuwa mbona Putin si lolote hapa duniani ni nchi maskini tuu Zaidi ya kuwa na jeshi kubwa hawafurukuti hata kwa Japan madkiteta they have no brain
Huyu ndo mtu gani?
Ndiyo, na ndiye msema kweli na mwenye uthubutu, wengine unaosema ni ma.snitch, ma.coward, wanafiki na wengine wanatukashifu.
Hujui kuhusu MKIRU ndugu better ukakaa kimya tu,usilolijua litakusumbuaKama wamejipanga mbona hawakwenda MKIRU? endeleeeni kujidanganya hivyo hivyo....hamjui kuwa hata jeshini moto unawaka
Delle Alli
Thubutu ndo kama ndani ya wiki hajaburuzwa chini ya mitaro ya magogoni kama GhadafiKuna kitu timu ya Magu haijajua, hawa hawatakiwi kukamatwa mchana.
Do it dirty.
mbona munakenuwa sana meno na kutoa press conference wazungu wanaokuja ikulu wakiwa na lissu wabaya na magufuli wazuri wanamwamini raisi wanaimani na vita yake ya ufisadi akiambiwa fisadi ahatakiGaddafi aliondolewa na kuawawa na baadhi ya walibya wenyewe ambao ni vibaraka wa wazungu kwa kutaka kuwasaidia wazungu kuiba raslimali za nchi hiyo namba moja MAFUTA.
Sasa hivi Libya ni nchi ya ajabu haijawahi kutokea.
Duuh bola tupo nyuma ya keyboards tungeishia wote central
Nchi inaendeshwa hivi kweli..... Dr. JPM achana na huyu Lissu piga kazi tu... Watu kama Lissu huwa wapo ilikuikosoa serikali. Ur the only one we depend for surviver of our good nation, is the time to move on Sir JPM siasa tuziacheView attachment 572420
Mbunge wa Singida Mashariki, Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha CHADEMA Mheshimiwa Tundu Lissu, amekamatwa na Mlinzi wa amani alipokuwa anatoka mahakamani Kisutu .
Wamesema wamemkamata kwa ajili ya mahojiano.
"Tumetoka Mahakama ya Kisutu muda huu ambapo Mwanasheria Mkuu wa Chama, Tundu Lissu alikuwa na kesi ya tuhuma za uchochezi (uchochezi one) lakini pia alikuwa ni wakili kwenye kesi inayomkabili Yericko Nyerere hapa hapa Kisutu.
Wakati gari la Lissu likiwa liko getini tayari kwa kutoka, likawa blocked na nyuma ya gari yake pia likasimama gari jingine likiwa na askari polisi wenye silaha, kisha wengine wakamfuata na kumwambia yuko chini ya ulinzi na atakiwa kwenda Central Police.
Wakamtaka ashuke kwenye gari lake na apande gari jingine la kwao kwa ajili ya kuelekea Central Police". Amesema Makene.
Stay tuned..
======
UPDATES; 1740hrs
Lissu alikamatwa mida ya 1330hrs, lakini Mpaka Sasa bado Lissu anashikiliwa na Polisi Katika kituo kikuu cha kati na mawakili waliopo bado hawajajibiwa kama atapata dhamana ama laaa. ....tutawajuza kadiri ya taarifa zinavyokuja.
UPDATES; 1745hrs
Mwanasheria mkuu wa Chama Tundu Lissu anatuhumiwa kwa kosa la kutaja makosa ya rais hadharani na uchochezi kuhusu ndege aina ya bombardier Q400.
Ok, ngoja tuone kesho magazeti yatabeba jina la nani ili yauze, jina la Pombe au Lissu!!Kiki ikizoeleka huisha nguvu na kuwa "empty kiki" in efficacy. Mpaka sasa hivi mi naona kama vile imezoeleka na hakuna jipya tena hata kama akikamatwa watu hawa-pay attention kama mwanzo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo makosa ya raisi yanatakiwa kuwa siri eeh.Kumbe Mheshimiwa sana Malaika Mkuu huwa hakosei ?...