Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Kama kuna mtu yeyote ana listi ya wajumbe wa NEC aiweke hapa halafu tuangalie kama kuna mtoto ambaye si wa kigogo humo ndani!

Hata wasipompa mmoja wapo...Yoyote watakayempa kitu ni kile kile..Iwe huyo Kawawa, Nnauye na ama hata huyo Malissa wote wajumbe wa NEC ambao ndio wenye ku qualify kugombea uongozi humo ccm ni watoto wa vigogo..Ni mpango maalum na si bahati mbaya!
Ni style ya kisaddam saddam.

Nadhani ccm imeshakufa long time na nilshaanzisha thread yenye kueleza ni kwanini naamini hivyo.
 
Wote humo ndani ya NEC ni watoto wa vigogo...Sasa nyie mnataka wamchaguwe nani nje ya NEC?

INVISCIBLE// MWENYEKITI
NAIBU MWANAKIJIJI!

NASIKIA WAMEANZA KUFUNGUA MATAWI YA CCM MAREKANI MSHINDWE NYIE
 
Tuachane na hawa,tujadili yale mema ambayo wananchi wanayataka..
 
Mkuu Gembe
Hata Kujadili Tunayoyataka Kama Tutaendelea Kuongozwa Na Hawahawa Mafisadi Hakuna Watakayopata Wananchi Ni Bora Tuwawahi Kabla Awajaaribu Hekalu!!!!!

Kuna Thread Ngapi Za Mafisadi Wamekamatwa??????
Tungewawahi Wasingechota

Mashirika Ya Umma Yametajwa Mpaka Yasiyojulikana
Wizi Wote Mpaka Na Mbinu Wanataja Umesikia Chochote
???hakuna!!!!!

Kama Hatuawapasha Mapema Wanatujeruhi

Unakumbuka Tulimtangazia Hali Ya Hatari Lowassa Na Tukamtumia Ujumbe Ajiuzulu Akachelewa Umeona Yaliomkuta Haya Ndio Ya Kufumua Then Pesa Za Richmond Baadae !!!!lakini Si Tunapga Kelele Huku Jamaa Wameshika Mpini Wakikichezesha Wanatumaliza


Ushauri!!!!!mama Zainab Embu Pumzika Na Wnezako Mkiwa Mnakunywa Pesa Za Baba Na Mama Zetu Pale Kempinsiki Embu Shushe Huu Ujumbejaman Wana Jf Wameshuri Tupumzike Acieni Maskini Wakina Jerry Na Wengine Wajaribu Kamawatatusaliti Kama Baba Zenu!!!!


Hakika Motto Utwashukianyinyi Watoto Wa Vibopa Mnataka Kuuzika Kabisa Nchi Hii Si Muanzishe Ukoo Wa Kifalme

Eg: Mfalme Rashid Kawawa

Mfalme Rip:moses Nnauye

Mfalme Malissa

Nk:::
 
Dawa ni na sisi wananchi kwenda kuchukua hizo fomu na kugombea ili tuwashinde na ku-send a strong message kwa wazazi wao kuwa wananchi wamechoka,

Otherwise, kikatiba ni haki ya kila Mtanzania kugombea nafasi yoyote nchini kwa sababu experience inaonyesha kuwa Mbowe ni kiongozi mzuri tu pamoja na kwamba baba mkwe wake aliwahi kuwa mwenyekiti wa kwanza wa Chadema,

Hii ya Chadema ni mifano ya kuigwa kwa taifa.
 
Kazi kweli kweli mafisadi kweli wataisha nchi hii kama hivi wanalithishana anatoka fisadi mkubwa anaingia fisadi mtoto huyu anaweza akapita kwa kupitia mgongo wa mafisadi mapapa.Tayari Makamba amesha aanza kampeni za chini kwa chini dhidi ya Nayo sijui kama atapita kwa kauli yake dhidi ya mafisadi.
 
Rashidi HAKUTUIBIA waTanzania; yeye alikuwa mwanaume wa SHOKA tu. Huenda na Zainabu sio mwizi.
 
kinachotaka kutokea tanzani sasa hivi ni kuletwa kijiaina cha usultan kama babako au mamaako yuko ktk uongozi wa juu na watoto wanafuatia humohumo,
 
Mi nashauri wote tumpe support, kama kuna wana ccm tafadhari mchagueni Ridhiwani JK.
Nawaomba sana, kwa kuwa kwa kufanya hivyo tutakuwa tumepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza ccm tayari kulitumbukiza ardhini.
 
Let the boy run... Nothing wrong with following your old man's footsteps!!! If he is not competent than he wont win right??? and if there is a better person for the Job then they will get the position right??? I really dont see where the problem is... Unless watu wa CCM are are more impressed by names and inherited status as opposed to the substance of candidates.
 
Tamaa na uchu wa madaraka vitampeleka pabaya Ridh Kikwete kuna watu wanampa kichwa sana jamaa. Lakini huu ni wakati wa mavuno mpaka siku mwana wa Adam atakapo kuja kuwahukumu watu wake 2010.
 
Hakuna tatizo lolote kuzaliwa mtoto wa kiongozi, wala sio kuvunja sheria Tanzania ya sasa ni ubavu wa mwananchi tu, Zitto sio mtoto wa kiongozi, wala Dr. Slaa, tutafute mbinu na sisi tujitose,

Maana hivi vilio bila sababu za msingi, tutaishia kuwa sour grapes, Lowassa na Rostam sio watoto wa viongozi, mafisadi wanajulikana na sijui kama kuna mtoto hata mmoja wa official fisadi, ambaye ni kiongozi,

suala la ufisadi ni lazima tuliseme kwa mantiki yake, ama sivyo tunakuwa kama wananchi wa vijiweni, hasa baada ya kufahamika wazi kuwa kuna mpaka viongozi wa upinzani ambao wanapewa hela na mafisadi, na kwamba sio viongozi wote,

Tukachukue fomu za kugombea badala ya kukata tamaa, kila m-Tanzania anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote mradi tu anatimiza masharti ya anachogombea, ni suala la kufikiri kidogo tu kabla ya kurusha unfounded accusations, JF we are not anti-watoto wa viongozi kwa sababu tu ni watoto wa viongozi, maana mawazo ya namna hiyo ni mufilisi kama sio ulofa!

Kama maji ni ya shingo omba msaada utasaidiwa, lakini sio kulaumu tu bila sababu kwa sababu tu huwezi au mvivu wa kufikiri na kutenda kama viongozi wetu, na kama wewe huwezi haina maana kuwa wananchi wengine wote hatuwezi, wewe ni kukaa pembeni, maana kulia lia bila kujaribu watatuwala kweli hao mpaka kufa!
 
Hakuna tatizo lolote kuzaliwa mtoto wa kiongozi, wala sio kuvunja sheria Tanzania ya sasa ni ubavu wa mwananchi tu, Zitto sio mtoto wa kiongozi, wala Dr. Slaa, tutafute mbinu na sisi tujitose,

Maana hivi vilio bila sababu za msingi, tutaishia kuwa sour grapes, Lowassa na Rostam sio watoto wa viongozi, mafisadi wanajulikana na sijui kama kuna mtoto hata mmoja wa official fisadi, ambaye ni kiongozi,

suala la ufisadi ni lazima tuliseme kwa mantiki yake, ama sivyo tunakuwa kama wananchi wa vijiweni, hasa baada ya kufahamika wazi kuwa kuna mpaka viongozi wa upinzani ambao wanapewa hela na mafisadi, na kwamba sio viongozi wote,

Tukachukue fomu za kugombea badala ya kukata tamaa, kila m-Tanzania anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote mradi tu anatimiza masharti ya anachogombea, ni suala la kufikiri kidogo tu kabla ya kurusha unfounded accusations, JF we are not anti-watoto wa viongozi kwa sababu tu ni watoto wa viongozi, maana mawazo ya namna hiyo ni mufilisi kama sio ulofa!
I second FMES,

Mie siyo mtoto wa kigogo,sijui nikachukue Fomu kwa jina la Gembe?Mie nitasema neno moja tu...."Vijana tumechoka kukaa na viongozi wa juu ambao wanalea mafisadi na wamewakumbatia"

Mko tayari kuniunga mkono?
 
Katika siasa za taifa lolote lile kuna mbinu za kuffuata ili uingie kwenye siasa, sasa ni lazima u-research halafu ujue kinachotakiwa, ndio ufuate mpangilio, hata majuu huwezi kukurupuka tu ama isvyo utaishia kupata kura yako mwenyewe kama Sumaye alipogombea umakamu wa CCM, akiwa Waziri Mkuu aliishia kupata kura yake mwenyewe,

Sasa kama Waziri mkuu imekuwa hivyo wewe itakuwaje, lazima kufuata mbinu zake mkuu!
 
Katika siasa za taifa lolote lile kuna mbinu za kuffuata ili uingie kwenye siasa, sasa ni lazima u-research halafu ujue kinachotakiwa, ndio ufuate mpangilio, hata majuu huwezi kukurupuka tu ama isvyo utaishia kupata kura yako mwenyewe kama Sumaye alipogombea umakamu wa CCM, akiwa Waziri Mkuu aliishia kupata kura yake mwenyewe,

Sasa kama Waziri mkuu imekuwa hivyo wewe itakuwaje, lazima kufuata mbinu zake mkuu!
Mkuu FMES,
Naomba unipe hizo Mbinu za Ushindi.na itakua faida kwa sisi sote tulio na nia ya kuingia katika holy alliance.
 
Katika siasa za taifa lolote lile kuna mbinu za kuffuata ili uingie kwenye siasa, sasa ni lazima u-research halafu ujue kinachotakiwa, ndio ufuate mpangilio, hata majuu huwezi kukurupuka tu ama isvyo utaishia kupata kura yako mwenyewe kama Sumaye alipogombea umakamu wa CCM, akiwa Waziri Mkuu aliishia kupata kura yake mwenyewe,

Sasa kama Waziri mkuu imekuwa hivyo wewe itakuwaje, lazima kufuata mbinu zake mkuu!

Interesting!?

Jana hiyo hiyo pia majina ya wajumbe wapya wa Halmashauri Kuu ya Taifa yalitangazwa na miongoni mwao wapo ambao hawakuwa wana mtandao lakini ni vigogo wenye majina mazito kama vile Bw. Frederick Sumaye, Bw. Jackson Msome, Bi Kate Kamba, Profesa Samuel Wangwe, Anne Kilango Malecela, Zainabu Gama Profesa Juma Kapuya, kitendo kinachodhihirisha kuwa makundi sasa yamekwisha.

Wengine ni Kingunge Ngomable Mwiru, Anna makinda, Zakhia Meghji, John Chiligati na Yusufu Makamba. Mara baada ya majina ya wajumbe wa Halmashauri Kuu kutangazwa, kulilipuka shangwe na kusakata muziki uliokuwa upigipwa na Bendi ya TOT Plus chini ya Kapteni John Komba ambaye pia alichaguliwa kuwa mjumbe wa NEC pamoja na Khadija Kopa.

Mwenyekiti wa jopo la uchaguzi, Spika Samuel Sitta aliyetangaza matokeo alisema uchaguzi ulikuwa huru na haki na kwamba walioshinda wameshinda kihalali.

Nafasi ya ukatibu mkuu iliyokuwa ikishikiliwa na Bw. Yusuf Makamba na wajumbe wa Sekretarieti zitajazwa leo.

Sasa kwa utaratibu huo hapo juu..Nani wa kukatiza?
 
Wote humo ndani ya NEC ni watoto wa vigogo...Sasa nyie mnataka wamchaguwe nani nje ya NEC?

INVISCIBLE// MWENYEKITI
NAIBU MWANAKIJIJI!

NASIKIA WAMEANZA KUFUNGUA MATAWI YA CCM MAREKANI MSHINDWE NYIE

Hii kali.
Hata hivyo sikuijuwa hii...Kama una taarifa za kufunguwa tawi hapa ziweke ili tuwaulize hao waliofunguwa matawi hayo kuwa ni vigezo gani walivyotumia!
Kumbuka nilikuwa mstari wa mbele kuzipinga vikali hatuwa hizo hata ilivyokuwa kwa kule uingereza.
Hivo kwa upande wangu bado hakuna ccm ilichoni convince.
 
Hadija Kopa na Komba wameingizwa humo kwa vigezo vya MIPASHO!
NDIO KAZI YAO...USANII,MIPASHO...Badala ya sera za maendeleo ni TAARAB KWA MWENDO WA MBELE.

Wengine ni Kingunge Ngomable Mwiru, Anna makinda, Zakhia Meghji, John Chiligati na Yusufu Makamba. Mara baada ya majina ya wajumbe wa Halmashauri Kuu kutangazwa, kulilipuka shangwe na kusakata muziki uliokuwa upigipwa na Bendi ya TOT Plus chini ya Kapteni John Komba ambaye pia alichaguliwa kuwa mjumbe wa NEC pamoja na Khadija Kopa.
 
Acha wampe kichwa sanaaaa tu, atakapoingia na kuumbuka ndipo atakapo jifuza. Hakuna cha baba atasaidia yeye ni yeye tu. Hizi dhama za kunyanyuana zinafika mwisho hivi karibuni
 
Back
Top Bottom