Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Yaani mtu mmoja ana vyeo vyote hivi ? Huko CCM hakuna wengine katika maeneo hayo ? Kama hawapo akiondoka nani atashika nafasi zote hizo ama ataendelea kuwakilisha hadi katani ? Huyu nadhani ana mambo kama ya six huyu kuna jambo hapa si bure .

Hivi haya majukumu yake mengine anayatekeleza wakati gani maana naona kama vyeo vyake ni vingi sana kulinganisha na muda alinao. au inawezekana vyeo vingine ni kwa ajiri ya posho tu hakuna majukumu?
 
Hussein, tulikuwa twakusubiri kwa hamu kubwa maana taarifa tulizonazo kuwa jamaa wamekufata ili usigombee so kwa sasa tumefurahi ila kaa ukijua kama ni propaganda tu halafu usichukue form au vinginevyo jua tutakumwaga wewe na hao wanaokushawishi usigombee
All the best
Mboka Manyema
 
Hussein wapoteza muda wako bure mi Mfalme juha nimeshamuandaa Beno Malisa na UVCCM wapende wasipende watamchagua
 
Dah CCM mm iwa nashangaa sana utakuta mtu anavyeo kibao.........utafikiri wengine hakuna wenye sifa za kugombea utaona kila kitu flani kila kitu mwingine akijitokeza basi vikumbe na vita ndani yake...
Ila huyu Isaac mlopokaji mm na wasiwasi wataweza kumpitisha kwani amesha jitangazia jina kwa jinsi alivyo ongea pumba ila wanachama wanampongeza eti jasili..
 
Dear Model, do you have any special interest with this thread? coz you keep on waving out my quick reply threads now and then?
 
Hi Guys,

Maoni yangu: mtoto wa Raisi ni raia huru kama wewe na mimi. anahaki ya kuamua kumsupport mtu yoyote ambaye anaona kwa fikra zake kuwa ataweza kuwa kiongozi bora wa UVCCM.

Thanks.
 
Hi Guys,

Maoni yangu: mtoto wa Raisi ni raia huru kama wewe na mimi. anahaki ya kuamua kumsupport mtu yoyote ambaye anaona kwa fikra zake kuwa ataweza kuwa kiongozi bora wa UVCCM.

Thanks.

Agnes,

alishawahi kUja Fisadi Mtoto akajaribu,akasimama then akakimbia mwenyewe,na wewe tena ??

Umetumia vizuri ibara ya 19 kifungu cha kwanza amabyo inakuruhsu wewe kutoa maoni yako.Tatizo siyo Ridwahn Kikwete kumsupport mtu,ila kwa kutumia Jina la Mzee wake ili Benno apite.

I had you are looking for my Id,Naomba uniandikie gembe@jamboforums.com

I aint for anybody but i need a clean person with quality that any Tanzanian can approve hi/her because of who he his and not because he is behind someone.
 
ccm chama makini kwa watu makini
Mtu wa pwani uko sawa ila hii imekaa vizuri zaidi..

ccm chama makini kwa watu makini, bali CCM siyo mama Yangu aliye makini...kama kikiacha misingi yake nitakiacha

maneno mengine kwa hisani ya The late Mwalimu Nyerere(R.I.P)
 
Hi Guys,

Maoni yangu: mtoto wa Raisi ni raia huru kama wewe na mimi. anahaki ya kuamua kumsupport mtu yoyote ambaye anaona kwa fikra zake kuwa ataweza kuwa kiongozi bora wa UVCCM.

Thanks.

Kwa nini huyo Ridhiwani asigombee mwenyewe? Au kashifa za kampuni la kifisadi la IMMA zinamzuia?
 
Unajua tatizo sio Ridhwani wala kumsaidia mshkaji wake...kikwete's grip on CCM is not strong so obviously anacheza behind the scenes kuweka watu wake.. Mlaumuni JK na sio Ridhwani.. katumwa tuu yule... Lazima JK atake kukontrol UVCCM as a matter of strategy and not principle... This is what happened to the Malecela boy, its called Realpolitik, hakuna cha morals wala nini... JK mtumzima hawezi kuingilia directly lakini by using ridh1 wanaweka watu wao.. its the world of politics.. I would do the same probably... Hakuna chakujadili hapa.... thats how politics works..

Usipomuweka wako.. atawekwa wa mwengine... wewe utakuwa weakened... WHY WHY WHY would a Politician do that? Common sense relating to politics should be common in a political forum, I should imagine...lol
 
Mimi ni mwana CCM, na napenda nyie wagombea mnavyoleta habari humu!

Endeleeni, watangazieni wengine wote (wapiga kura) kuwa CCM tupo imara humu ndani ya JF.

CCM Hoyee
 
Hivi kuna ubaya gani hasa kwa mtoto wa Rais kumfanyia kampeni rafiki yake? Ina maana ukishakuwa mtoto wa Rais basi ukae tu nyumbani. Ridhiwani ni mwanasiasa na ana haki ya kufanya siasa ikiwemo kumfanyia kampeni mtu yeyote anayeona anafaa kwa utashi wake. Tuache longolongo zisizo na kichwa wala mkia. I mean what is the exact problem here, are we becoming obsessed with witch hunting?

Kitila
Unaijua rushwa ya kisiasa??
Angalia nyerere alisubiri atoke madarakani ndipo wanaye wapate kujiingiza ktk siasa wakipenda.

Endeleeni kuijadili CCM chama kongwe ambacho ssa kimegeuka kichaka cha waroho wa madaraka.
 
hivi hao wanahangaika kugombea uongozi ccm, hawajajua bado kuwa hiki ni chama mfu? bado wamelala kugundua kuwa hili dola limeanguka kama dola la warumi? ningewashauri wasife na tai shingoni, waelekeze nguvu zao kwa vyama vyenye akili
 
hivi hao wanahangaika kugombea uongozi ccm, hawajajua bado kuwa hiki ni chama mfu? bado wamelala kugundua kuwa hili dola limeanguka kama dola la warumi? ningewashauri wasife na tai shingoni, waelekeze nguvu zao kwa vyama vyenye akili

mwikimbi nani kama ccm?
 
Nahisi kabustani kapya ka mafisadi kanaandaliwa mapemaaaaa!!!! Kwa kweli we need to be careful maana ndio wanadai mbio za kupokezana vijiti hizi like father like son and so on...
 
ccm tunatesa, wapinzani wanahoomaa eee wanatetemeka.

macuf janja yao kwisha


mwiba wewe mtu makini kwa nn unabaki kuwa katika chama mfu
 
Binafsi nampongeza Hussein Bashe kwa kitendo chake cha kujitokeza wazi kuonyesha nia yake, nawashauri na wengine wenye nia kama hiyo wajitokeze wazi bila kujificha, namjua vizuri bwana Bwana Hussein kwa umahiri wa kujenga hoja za msingi, tunahitaji vijana wa aina ya Hussein Bashe na si Remote Controlled Leaders ! vyovyote itakavyokuwa mwezi Desemba tutahitaji vijana wa aina ya Hussein na si wale wanaopangwa makao makuu kama si Husein basi yeyote yule ili mradi asiwe anaepigiwa upatu na vibosile wa Hq
KILA MTANZANIA ANA HAKI YA KUGOMBEA,MRADI AWE AMETIMIZA MASHARTI YA UMOJA WA VIJANA.HUSSEIN ANA HAKI PIA.by the way umerudi dom au bd uko dar kaka?
 
Jamani Waje Na Sera Hatutaki Mitandao..yaoo Waje Watuharibie Umoja Wetu...maana Hata Sidhani Kama Lengo La Unoja Linatekelezwa Kana Adhma Yake Ilivyo...sijui Au Watu Wanatafuta Access To The Top??
 
Back
Top Bottom