Heshima wakuu,
Mambo ukiyatazama jujuu ni rahisi lakini ndani kwa kina yanatisha. Pengine tumwangalie msemaji ni nani na katoka wapi kwa kifupi halafu tuijadili hoja aliyoitoa.
Francis Isack-Kaiumu Katibu mkuu wa UVCCM(T),ni zao na pandikizi la Emanuel Nchimbi ndani ya UVCCM.Bado ni mwenyekiti wa uvccm mkoa wa Singida, kijana aliyemaliza chuo kikuu SUA. kAANZA pilika za siasa mda mrefu lakini kichwa ni bua tupu lisilojua laenda wapi na latoka wapi(ziro)...si ajabu kutoa tamko kama hili.
Aligombea NEC ya CCM mara ya kwanza mwaka 2002 jina lake halikurudishwa na vikao vya chama chake na wkati huo alichukua fomu na Nape Nnauye kutokea mkoa wa Singida,jina la Nape likarudi akaanza kumpiga vita asishinde uchaguzi ule matokeo kuja Nape mshindi wa kwanza.
Ni kijana huyu kwa kumbukumbu aliwahi kupata kesi ya kuua kwani alimlazimisha girl friend wake akanywa sumu Singida mjiaka ya tisini,akasaidiwa na Mama mmoja kwa jina CHILOLO (MB),ambaye nilishangaa juzi anamtukana mama huyu kwa matusi ya nguoni...
Mwaka jana ameshindwa kupata hata ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM aliogombea Singida,wakamkataa hata kuwa mweka hazina wa CCM mkoa wa Singida na kipigo cha mwisho akashindwa vibaya UNEC mwishoni mwa mwaka jana uchaguzi mkuu wa CCM.Wakati huo alikuwa akijipanga kumrithi Nchimbi na kwakweli akiwa chaguo la Nchimbi badala ya Nape na wengine wanaoitaka nafasi hiyo.
Lakini mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka huu wapambe wa Nape waliibua hoja kuwa Francis alidanganya viokao vya CCM umri wake wakaja na evidance toka SUA,KANIOSANI ALIKOFUNGIA NDOA YAKE NA BINTI MOJA ANAITWA BLANDINA,WIZARA YA KAZI INA CV YAKE ALIKIMBIZA MWENGE MWAKA 2004/2005, na vithibitisho vingi,akaona maji marefu,Nchimbi kamchukua na kumpa ukaimu katibu mkuu UVCCM ILI ASAIDIE KUMVUSHA FISADI MTOT BENNO MALISA AWE MWENYEKITI NAYEYE AWE KATIBU MKUU WA UVCCM.....hili ni gemu wacha ninywe chai ntaendelea nalo...