Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

1.
Quote: Mambo Jambo

FMES!

Umeshikwa pabaya, tafadhari tafuta pakutokea.

About Commonwealth Open University


Ahsante kwa kunishika pabaya sana mkuu, lakini kama nilivyosema ninasimaimia facts na hoja na sio personal maana sina tatizo personal na wewe, wenzako wala Nchimbi, ila ninaweka utaifa tu mbele,

Humu ndani ya hii forum tuna wakuu wengi tu wenye PHDs, sasa naomba kuelewa eti wakuu, hasa kwako mkuu Kitila maana najua sasa uko kwenye hii kazi ya PHD, hongera sana kwanza, eti hizo shule mnazozisomea PHD au mlizowahi kuzisomea PHD, kwenye makaratasi ya kujisajili kuna mahali zilisema kuwa hizo PHD zenu zinaweza kuwa not accepted? Maana hiki chini ndicho chuo cha Commonwealth ambacho Nchimbi, amesoma Masters mbili na PHD, in three years, hebu soma chini hapa maelezo ya hiki chuo:-


1. COU provides adult continuing education. It was developed to meet the needs of adults by offering non-resident degree and other programs on an international basis.

2. There are no entry requirements for undergraduate courses.

3. You decide how long you will take to complete your course work. While you are studying,

4. a teacher will be available to offer help, answer questions, and guide you through the learning process, but students are free to choose their own study pace.

5. COU is committed to providing equal opportunities for study. We welcome applications from English speaking people of all nationalities and from any background, regardless of race, gender, sexual orientation, age, occupation, marital status, sensory or physical disability, religious or other beliefs.

6. Commonwealth Open University is an international institution registered and established in the British Virgin Islands (U.K.), which has many students all over the world.

7. Our graduates have had remarkable success in having their degrees accepted. Although we can not guarantee that a COU degree will be accepted, we will gladly supply information to potential or current employers or institutions.
 
7. Our graduates have had remarkable success in having their degrees accepted. Although we can not guarantee that a COU degree will be accepted, we will gladly supply information to potential or current employers or institutions.
 
Nafikiri Tanzania tunakoelekea ni kubaya mno na huenda hatujui kabisa nini kitakuwa mwokozi wetu. Mimi naamini njia pekee ya kutuokoa ni pale sheria zetu zitakapokuwa msumeno na kukata bila kuangalia mhusika ni nani.

Hata siku moja tusitegemee kutatua matatizo yetu kwa kuvunja sheria.

Mimi napenda kijana Nape apate madaraka umoja wa vijana lakini kama tu suala lake la umri halitavunja hiyo katiba yao.

Inashangaza watetea demokrasia hapa wanakuwa wa kwanza kutaka sheria zivunjwe pale wanaohusika wanapokuwa ni watu wenye mvuto upande wao.

Kwamimi sijali kabisa. Sheria lazima iwe msumeno. Na pia usibadili sheria hata siku moja kwa ajili ya kumsaidia mtu mmoja.

Sijaisoma hiyo katiba ya UVCCM lakini kama ni kweli suala la umri limetajwa, basi hata Nape mwenyewe atakuwa hafai kama atadai apitishwe kinyume na taratibu zao. Alichotakiwa kufanya ilikuwa ni kuipinga hiyo sheria wakati ule inapitishwa. Au sasa baada ya kuona madhara yake, basi kuipinga ili huko mbeleni isitumike tena.

Aliyenifundisha kwamba muda wa kuipinga sheria mbaya ni pale inapotaka kumkata adui wako bado namheshimu mpaka leo. Ogopa sana watu wanaotaka kubadili sheria kwa faida zao. Wakipata madaraka, tusishangae kuona miaka ya urais badala ya 10 wanataka waendelee milele.

Njia kuelekea demokrasia haina mkato, tunatakiwa kufuata sheria. Kama sheria ni mbovu basi tuzibadili haraka bila kusubiri mpaka zitukate.

Hii inanikumbusha miaka yetu mlimani, serikali ilipokuwa inaingiza sheria za cost sharing kwa vyuo vya chini, mlimani tulikuwa tunafurahia tu kwamba sisi hatukuguswa. Baadhi yetu tulitaka mlimani tuandamane kupinga na kuwaunga mkono hao wanafunzi, walio wengi hawakuona umuhimu. Baadaye serikali ilipokuja kwa watu wa mlimani, wanafunzi wakaja juu kweli kweli. Ulikuwa unafiki tu, binafsi hata sikuona umuhimu wa kushiriki.
 
Nafikiri Tanzania tunakoelekea ni kubaya mno na huenda hatujui kabisa nini kitakuwa mwokozi wetu. Mimi naamini njia pekee ya kutuokoa ni pale sheria zetu zitakapokuwa msumeno na kukata bila kuangalia mhusika ni nani.
Hata siku moja tusitegemee kutatua matatizo yetu kwa kuvunja sheria.

Mimi napenda kijana Nape apate madaraka umoja wa vijana lakini kama tu suala lake la umri halitavunja hiyo katiba yao. Inashangaza watetea demokrasia hapa wanakuwa wa kwanza kutaka sheria zivunjwe pale wanaohusika wanapokuwa ni watu wenye mvuto upande wao.

Mkuu Mtanzania,

Heshima mbele, this topic is about kushangiliwa kwa Nape bungeni, it has nothing to do na unayoyasema, binafsi sijawahi hata kuigusa hiyo ishu ya sheria za UV-CCM, kama zipo basi zipo na ni lazima ziheshimiwe, lakini kama hazipo zinalazimishwa then ni suala la CCM na wanachama wake,

Lakini hii topic ni kuhusu Nape na kushangiliwa bungeni, na pia tumeongeza record ya mkuu wa sasa wa UV-CCM, asiyemtaka Nape, lakini mengine yote uliyosema hapa sio mahali pake, au?
 
lOWASA ANA NGUVU SANA KWENYE nec VIPI KWENYE CC?MAANA NA YEYE ATAKUWEPO JE JK ANAWEZA KUMNYOSHEA KIDOLE EL LIVE?MAANA PALE USO KWA USO....SIO KAMA NEC.

Hii nguvu aliyonayo Lowassa ambayo wengine mnaiona lakini sisi wengine hatuioni mbona haikumuokoa akabaki kuwa Waziri Mkuu?
 
Mkuu Mtanzania,

Heshima mbele, this topic is about kushangiliwa kwa Nape bungeni, it has nothing to do na unayoyasema, binafsi sijawahi hata kuigusa hiyo ishu ya sheria za UV-CCM, kama zipo basi zipo na ni lazima ziheshimiwe, lakini kama hazipo zinalazimishwa then ni suala la CCM na wanachama wake,

Lakini hii topic ni kuhusu Nape na kushangiliwa bungeni, na pia tumeongeza record ya mkuu wa sasa wa UV-CCM, asiyemtaka Nape, lakini mengine yote uliyosema hapa sio mahali pake, au?

Mkuu FMES,

Hii thread ilikuwa na subject tofauti, imehamishwa na kuunganishwa na hii ambayo nyie mlikuwa mnajadili. Kwahiyo kuniambia nilichoandika hakina uhusiano na hii topic ni kunionea bure kwi kwi kwi!!

Tafuta thread iliyofutwa ambayo mimi ndiyo nilichangia, utagundua ilikuwa na uhusiano na nilichoandika. Kichwa chake kilikuwa "Re: Kamati kuu ya CCM itamkubatia mpambanaji dhidi ya ufisadi... "
 
Hii thread ilikuwa na subject tofauti, imehamishwa na kuunganishwa na hii ambayo nyie mlikuwa mnajadili. Kwahiyo kuniambia nilichoandika hakina uhusiano na hii topic ni kunionea bure kwi kwi kwi!!

Tafuta thread iliyofutwa ambayo mimi ndiyo nilichangia, utagundua ilikuwa na uhusiano na nilichoandika. Kichwa chake kilikuwa "Re: Kamati kuu ya CCM itamkubatia mpambanaji dhidi ya ufisadi... "

Ahsante mkuu kwa kuliweka wazi hilo, kuwa sisi wengine we have nothing to do na kubadilishwa kwa sheria ya anything,

maana sisi tunaamini kuwa sheria ni sheria haiwezi kubadilishwa kwa manufava ya wachache na haiwezi pia kutumiwa kwa manufa aya wachache, huku wengine wakiruhusiwa kuivunja na jamii hiyo hiyo, au chama hicho hicho.
 
Ahsante mkuu kwa kuliweka wazi hilo, kuwa sisi wengine we have nothing to do na kubadilishwa kwa sheria ya anything,

maana sisi tunaamini kuwa sheria ni sheria haiwezi kubadilishwa kwa manufava ya wachache na haiwezi pia kutumiwa kwa manufa aya wachache, huku wengine wakiruhusiwa kuivunja na jamii hiyo hiyo, au chama hicho hicho.

Mkuu FMES,

Nikiomba uniombe msamaha hapo juu nitakuwa nimekosea? Kwi kwi kwi!!!

Natania tu, sitaki kuifanya JF ukumbi wa kuombana misamaha unless mtu ametukana au kuandika uwongo huku anajua ni uwongo.
 
Wakuu,
EL kwa nnavyofahamu si mjumbe wa CC ya CCM. Yeye ni MNEC, alikua anaingia CC kwa kofia ya waziri mkuu anayetokana na CCM. Kwenye kuchagua wajumbe wa CC katika uchaguzi 2007, EL hakupigiwa kura kwa vile alikua ni waziri mkuu.

Kuhusu suala la umri kwenye uchaguzi wa UVCCM, utakuta kanuni zenyewe za UVCCM zinajichanganya. Na, hii ni kwa sababu kipengele cha umri kiliingizwa kimizengwe.

[*]Kanuni zinaainisha umri ambao mwanachama wa UVCCM atakua ni kijana wa miaka 15 mpaka 35.
[*]Kanuni hizohizo zinasema wakati wa uchaguzi, kila mwanachama atakua na haki ya kuchagua au kugombea nafasi ya uongozi wa UVCCM kama atakua na sifa.
[*]Halafu kanuni hizohizo tena zinakuja kusema, ili kugombea nafasi ya uongozi mwanachama unatakiwa usiwe umezidi umri wa miaka 30. Tayari haki mojawapo iliyoyajwa na kanuni za hapo juu imekiukwa.

Sasa hapa unaona kuna kundi kubwa sana(30-35yrs) ambao lina sifa za kupiga kura lakini haliwezi kugombea uongozi.

Kwa akili ya kawaida tu utaona hizi kanuni zina walakini. Hii ndio mifano ya kanuni zinazochomekwa kwa maslahi ya mtu mmojammoja badala ya kutizama maslahi ya chama kwa ujumla.

Kiko wapi chama cha Mwalimu???....
 
Natania tu, sitaki kuifanya JF ukumbi wa kuombana misamaha unless mtu ametukana au kuandika uwongo huku anajua ni uwongo.

Exactly what I have said time and time again, ahsante mkuu na huu ujumbe mzito sana, kwenye hili I am down!
 
Wakuu,
EL kwa nnavyofahamu si mjumbe wa CC ya CCM. Yeye ni MNEC, alikua anaingia CC kwa kofia ya waziri mkuu anayetokana na CCM. Kwenye kuchagua wajumbe wa CC katika uchaguzi 2007, EL hakupigiwa kura kwa vile alikua ni waziri mkuu.

Kuhusu suala la umri kwenye uchaguzi wa UVCCM, utakuta kanuni zenyewe za UVCCM zinajichanganya. Na, hii ni kwa sababu kipengele cha umri kiliingizwa kimizengwe.

[*]Kanuni zinaainisha umri ambao mwanachama wa UVCCM atakua ni kijana wa miaka 15 mpaka 35.
[*]Kanuni hizohizo zinasema wakati wa uchaguzi, kila mwanachama atakua na haki ya kuchagua au kugombea nafasi ya uongozi wa UVCCM kama atakua na sifa.
[*]Halafu kanuni hizohizo tena zinakuja kusema, ili kugombea nafasi ya uongozi mwanachama unatakiwa usiwe umezidi umri wa miaka 30. Tayari haki mojawapo iliyoyajwa na kanuni za hapo juu imekiukwa.

Sasa hapa unaona kuna kundi kubwa sana(30-35yrs) ambao lina sifa za kupiga kura lakini haliwezi kugombea uongozi.

Kwa akili ya kawaida tu utaona hizi kanuni zina walakini. Hii ndio mifano ya kanuni zinazochomekwa kwa maslahi ya mtu mmojammoja badala ya kutizama maslahi ya chama kwa ujumla.

Kiko wapi chama cha Mwalimu???....

Sober,

Asante mkuu kwa ufafanuzi kuhusu kanuni za UVCCM. Kama ulivyosema ni kweli kabisa, sheria zote zinazotungwa kumkomoa mtu mmoja au kumpendelea mtu, zinaishia kuwa bomu kweli kweli.

Hiyo ya Lowassa, CCM walivyo huenda bado anaendelea kuwa mjumbe wa hiyo CC.

Tatizo CCM wenye hata hawafuati katiba yao yaani ni ubabaishaji tu mpaka kwenye
vikao vya maana ambavyo hata rais wa nchi ni mjumbe.

Kwa mwendo kama huo kweli kuna nchi kuendelea?
 
Wakuu,

1. Kuhusu suala la umri kwenye uchaguzi wa UVCCM, utakuta kanuni zenyewe za UVCCM zinajichanganya. Na, hii ni kwa sababu kipengele cha umri kiliingizwa kimizengwe.

2. [*]Kanuni zinaainisha umri ambao mwanachama wa UVCCM atakua ni kijana wa miaka 15 mpaka 35.

3. [*]Kanuni hizohizo zinasema wakati wa uchaguzi, kila mwanachama atakua na haki ya kuchagua au kugombea nafasi ya uongozi wa UVCCM kama atakua na sifa.

4. [*]Halafu kanuni hizohizo tena zinakuja kusema, ili kugombea nafasi ya uongozi mwanachama unatakiwa usiwe umezidi umri wa miaka 30. Tayari haki mojawapo iliyoyajwa na kanuni za hapo juu imekiukwa.

5. Sasa hapa unaona kuna kundi kubwa sana(30-35yrs) ambao lina sifa za kupiga kura lakini haliwezi kugombea uongozi.

6. Kwa akili ya kawaida tu utaona hizi kanuni zina walakini. Hii ndio mifano ya kanuni zinazochomekwa kwa maslahi ya mtu mmojammoja badala ya kutizama maslahi ya chama kwa ujumla.

Kiko wapi chama cha Mwalimu???....

Mkuu Sober,

Ahsante sana exactly nilichosema, mimisijawahi kuigusa hii topic ya umri huko UV-CCM, lakini kilichonishangaza ni kwa nini kama Nape anajua kuwa umri wake haulingani na sheria za hicho chama alilie tu nafasi huku akijua kuwa anazidi umri?

Halafu why? this time ya Nchimbi tu ndio huko UV-CCM kuna matatizo yasiyokwisha?
 
Wakuu hapa tumkumbuke kidogo ndugu yetu Amina Chifupa (RIP), aliyekuwa akijitayarisha kugombea uenyekiti wa UV-CCM, lakini tunajua jinsi Bwana Nchimbi, kwanza jinsi alivyoivunja ndoa yake marehemu Amina, na jinsi the next thing marehemu mbunge Amina, alivyotangulia kwenye haki baada tu ya kuonyesha nia yake ya kutaka kugombea nafasi ambayo sasa Nape, naye anajaribu kugombea na tayari ameshaanza kukutwa na mashambulizi yanayofanana na yale yaliyomkuta Marehemu wetu mpendwa Amina Chifupa, Mungu amuweke mahali pema peponi:-

AMINACHIFUPA BLOG YA AMINA CHIFUPA-DAIMA TUTAKUKUMBUKAFeed on Posts Comments Karibuni kwenye BLOG ya AMINA CHIFUPA

Hii ni blo maalum kwa ajili ya DADA YETU na KIJANA mwenzetu AMINA CHIFUPA (MB). Japo kuna baadhi ya watu watakereka na wataka kuondoa memory yake lakini tumeamua kuanzisha hii blog ambayo haitokuwa moderated na mnaombwa mtoe kumbu kumbu zenu kwa heshima

Responses to "Karibuni kwenye BLOG ya AMINA CHIFUPA"

1. on June 27, 2007 at 5:03 pm1 Kadampinzani

Hongera kwa kufungua blog hii kwani tutaweza kuweka hisia zetu humu kuhusu dada Amina na hatimae itafungua milango kwa kisa cha kweli kilichotokea na si maneno ya juu juu ya watu wanaotaka kuendelea kufanya maovu yao freely.
Asanteni
M/Mungu amrehemu dada Amina Chifupa.

2. on June 27, 2007 at 7:42 pm2 Emmanuel

Amina,
I never met you, but I heard you,
I feel like I knew you and will miss you.

3. on June 29, 2007 at 9:00 am3 Gilbert Wilson

Hakika ninapongeza jitihada zote za uanzishwaji wa blog hii kwani bado tunahitaji kumkumbuka kijana mwenzetu ambaye daima alisimama kwa ajili yetu na sasa ametangulia kutuandalia makazi! Ninawashukuru sana
May God rest her soul in eternal peace

4. on July 3, 2007 at 4:33 pm4 Kaka Gano

Nilifanikiwa kukutana na Mhe. Amina Chifupa mara moja. ilikuwa baada ya kutoa hoja Bungeni kuhusu madawa ya kulevya. Niligundua kuwa hana ubaguzi wala hadharau watu kama wengi wanavyodhania.
Nimeumia sana kwa kumpoteza mpambanaji mwenzangu, sitamwona tena ila nitamkumbuka mpaka mwisho wa maisha yangu. Nawapongeza ninyi mliotengeneza blogu maalumu ya kumkumbuka marehemu.

Kama marehemu Princes Diana anakumbukwa kwa matamasha makubwa, naamini inawezekana kumkumbuka mpendwa wetu kwa njia hiyo

Buriani Dada,
buriani Amina

5. on February 13, 2008 at 5:53 am5 Fatuma M. Uledi Mlugwanza
Nakupongeza sana kaka Michuzi kwa kufungua hii Website ya Dada Amina, kwa kweli mimi iliniuma sana kuhusu huyu Binti mchapakazi kupoteza maisha angali kinda lakini yote nimapenzi ya mungu.

6. on July 25, 2008 at 9:21 am6 suzana abraham mvella
kwanza kabisa napenda kuwapongeza ndugu na jamaa wa mheshimiwa amina kwa ushilikiano wao katika mazishi,pili nawapongeza wazazi wa amina kwakumrea vizuri mpaka kufikia mwenzi mungu anatwa roho yake,

Buriani!
,
 
Mkuu FMES,

Hii thread ilikuwa na subject tofauti, imehamishwa na kuunganishwa na hii ambayo nyie mlikuwa mnajadili. Kwahiyo kuniambia nilichoandika hakina uhusiano na hii topic ni kunionea bure kwi kwi kwi!!

Tafuta thread iliyofutwa ambayo mimi ndiyo nilichangia, utagundua ilikuwa na uhusiano na nilichoandika. Kichwa chake kilikuwa "Re: Kamati kuu ya CCM itamkubatia mpambanaji dhidi ya ufisadi... "

We acha tu! hili la kuunganisha threads zenye vichwa vya habari tofauti linaharibu kweli mtitiriko wa majadiliano. JF sasa inaanza kuboa. Hakuna lazima yoyote ya kuunganisha kila mjadala unaohusiana na Lowassa au mwingine wowote ule. Mtiririko unakuwa shakalabaghala hata uchangiaji wakati mwingine unakuwa mgumu kwa jinsi mtiririko ulivyoharibika
 
wakuu wote salute kwa kuendelea kuchangia huu mjadala,

sasa wakuu kama hapo ndani ya uvccm kwenyewe umafia unafanyika wazi wazi,je wakuu kwa mtanzania wa kawaida hali itakuaje?

Mbaya zaidi huyo mhunzi wa vyeti ndiye engineer wa hiyo dirty game kwa gharama za damu ya watanzania wenzetu,walipa kodi na wakati mwingine burden inamungukia mtanzania wa kule kijijini atembeaye kilomita nyingi kutafuta maji ambayo yanasapoti uhai wake kwa 75%.

Inawezekana kabisa Nape asingegusa interest za watu fulani pengine hata hayo mapungufu ya kisheria yasingeibuka
 
kayaona hayo wakati anataka u-enyekiti wa uvccm cio? Watu wengine bwana...
hii ni siasa bwana lazima uwe na hoja nzito hoja ya obama ni vita vya iraq na uchumi kuweweseka wa marekani kaona sasa ndiyo, ndiyo swala la siku hilo, ia nape kaliona hilo .......nampenda kijana japo baba yake sikumkubali
 
Haya wote walio na deni la fadhila kwa marehemu nawiye saa ni wakati wa kuilpa fadhila
 
Mkuu Ben,

Heshima mbele sana, yaani unaoneglea hiki chuo hapa chini, ambacho mkuu wetu amepata Masters mbili na PHD pamoja, in three years? Hivi hiki hcuo nacho ni cha UV-CCM, au mtandao? Yaaani kiongozi wa juu kama yeye amesoma Masters mbili na PHD kwenye chuo kinachosema tahadhari huenda degree yetu isikubaliwe lakini tutajaribu kuwaelewesha kwa niaba yako?

Talking about record! Record inaanzia shuleni ukiwa mtoto, huyu mkuu amesoma Sangu Secondary, je kuna wananfunzi waliopasi Primary school waliokuwa wakipelekwa Sangu? Maana yake ni moja kuwa mkuu hata uwezo wa kupasi Primary school hakuwa nao,

Great maisha ni mzunguko na bongo tunatoa second chance, kupewa tu huyoo mara amekuwa na Masters mbili na PHD, tena in three to four years? Halafu huyu kiongozi tena, anakuwa na ubavu wa kujaribu kuwa-intimidate viongozi wenye record wanapotaka kugombea uongozi wa taifa letu, haya ni ya kusadikika, tizama maelezo ya shule aliyosoma mkuu, masters mbili na PHD in three to four years:-



QUOTE:- COU - Commonwealth Open Universirty

7. Our graduates have had remarkable success in having their degrees accepted. Although we can not guarantee that a COU degree will be accepted, we will gladly supply information to potential or current employers or institutions.
 
wakuu wote salute kwa kuendelea kuchangia huu mjadala,

sasa wakuu kama hapo ndani ya uvccm kwenyewe umafia unafanyika wazi wazi,je wakuu kwa mtanzania wa kawaida hali itakuaje?

Mbaya zaidi huyo mhunzi wa vyeti ndiye engineer wa hiyo dirty game kwa gharama za damu ya watanzania wenzetu,walipa kodi na wakati mwingine burden inamungukia mtanzania wa kule kijijini atembeaye kilomita nyingi kutafuta maji ambayo yanasapoti uhai wake kwa 75%.

Inawezekana kabisa Nape asingegusa interest za watu fulani pengine hata hayo mapungufu ya kisheria yasingeibuka

Ben,
Nakubaliana na baadhi uliyoandika hapo juu ila ni muhimu mno kufuata sheria/taratibu na pia
hakuna sababu ya kubadili sheria kwa ajili ya mtu mmoja.

Nape alikuwa na miaka zaidi ya mitano ya kuipinga hiyo kanuni mbovu na hakufanya hivyo. Kama ni kweli ana umri zaidi ya unaotakiwa ningelikuwa mimi Mwenyekiti wa CCM ningelimpiga stop!

Sheria ni sheria wakuu hata kama inakukaba mwenyewe bado ni sheria na inabidi ifuatwe.

Ila kwa jinsi CCM walivyo wanaweza kubadili na kumwacha Nape agombee.

Nape mwenyewe kama anang'ang'ania kuwa Mwenyekiti pamoja na kujua hana sifa, inaonyesha tuna aina gani za wanasiasa Tanzania. Ma opportunists ambao wako tayari kusema lolote ili wachaguliwe. Binafsi siwataki wanasiasa wa namna hiyo.

Maneno ya kale ka mama ka McCain yamenigusa sana hata kama siwapendi Republicans. Aliongea kitu karibu na haya maneno "some use change to further their careers while others use their careers to bring change"

Siasa za slogans zimepitwa na wakati, vijana mnaotaka kuingia kwenye siasa lazima muamini na kutenda mnayohubiri. Yale ya slogan nzito kama JK huku matendo sifuri hayatufai kabisa.

Nape kama umri umepita basi asubiri 2010 na awe cheche kwenye ubunge.
 
ikram Says: August, 11, 2008 at 8:23 am

1. NAPE HOJA ZAKO NI NZITO NA NAKUBALIANA KWAMBA JUMIYA YETU SASA HAINA TOFAUTI NA CCM YENYEWE, IMEZONGWA NA WALAFI NA WEZI WA KILA AINA,

2. MASHAKA YANGU KWAMBA HAWA JAMAA HAWATAKUFANYIA MIZENGWE MANA KILA DALILI ZINAONYESHA JK YUKO NA MAFISADI WENZAKE NA KUMTENGANISHA FISI NA MFUPA NI SAWA NA KUSEMA BINADAMU ANAWEZA KUISHI BILA YA KUPUMUA,

3. JK NA MAFISADI NI KITU KIMOJA NA KWA HILI HATA UFANYE NINI HAWEZI KUTENDA HAKI, WOTE WANAOSEMA HUKUTUMIA PLATFORM HUSIKA WANAJIDANGANYA NA HAWAIJUI CCM,

4. MANA HATA UNGEKWENDA NDANI YA VIKAO VYA CCM BASI UNGEAMBIWA AJENDA HIYO ISUBIRI MUA WAKE, NA USHAHDI ULIOTOA KWAMBA ULIKATAA WEWE NA WENZAKO KWENYE VIKAO VYA JUMIYA NA MLIMTAKA NCHIMBI NA TIMU YAKE WALETE KWENU ILA WALIAMUA KUTUMIA NJIA YA MKATO, KWA MANA HAKUNA KIKAO WALA NINI,

5. NI MAAMUZI YAKE NA SHOGA ZAKE, HHI NI KWA SABABU TOKEA BARAZA KUU LA MWAKA 2007 MWANZONI HAKUNA KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI, BARAZA KUU WALA SECRETARIET ILIYOKAA KULIONGELEA HILI WALA JENGINE LA JUMUIYA,

6. HAPO INA MANA JUMUIYA NI NCHIMBI NA SHOGA ZAKE TU NDIO WAAMUZI NA HAKUNA JUMUIYA KWA MAANA HIYO, HIVYO JIANDAE KWA MAWIMBI MAKUBWA HAWA JAMAA UMEWAKAMATA PABAYA NA UFISADI NDIYO STYLE YA WANA MTANDAO,

7. KILA MTU KAPEWA ENEO LA KUJIFARAGUA ILI IWE NDIYO FADHILA ZA JK KWAKE, HATUTARAJII MEPESI ZAIDI NI KUKUTAFUTIA MAOVU, ILA SISI VIJANA WENZAKO TUKO NA WEWE NA TUTASHINDA VITA YA MAFISADI,

8. HIYO BODY YA WADHAMINI TUMEITEUA SISI NA HAINA MAMLAKA YA KUPITISHA MAAMUZI AMBAYO HATUJAKUBALIANA NAYO NA WALA YENYEWE HAINA MAMALAKA YA KUPELEKA LOLOTE MBELE YA KAMATI KUU YA CCM BILA YA SISI KUKUBALIANA NAYO NA SISI NDIYO WAPELEKAJI SIYO BODY.

9. SASA TUJIANDAE KUWAWEKA SAWA ANGALAU WAELEWE NINI KANUNI NA MAMALAKA YAKE NA MIPAKA YAKE NA WAELEWE NANI KAMTEUA NANI KWA MADHUMUNI GANI. KAZA BUTI HAPO HAKUNA HOJA YA FORUM ULIYOTUMIA,

10. CCM NI WABABE HAWANAKANUNI WALA VIKAO, YALE WANAYOYATAKA WAO WATAYAFANYA BILA YA LOLOTE NA HAKUNA WA KUWAULIZA NA YALE WASIYOYATAKA HATA UKITUMIA NJIA GANI BADO UTAKUWA MKOSA TU, NA

11. WEWE MBELE YA JK NA WENZAKE HUTAPATA JEMA LOLOTE, SIO WEWE TU HATA WENGINE WA AINA YAKO AMBAO HAMKUKUBALI KUWA SEHEMU YA UCHAFU WAO WA KUWAPELEKA IKULU, MANA NJIA ZAO ZAKWENDA IKULU ZILIKUWA ZA KURUKA.

TUKO NAWE NA NCHIMBI ATAONDOKA KWA AIBU KUBWA SANA HAJAWAHI KUIPATA MAISHANI MWAKE NA SIASA ATAIONA CHUNGU KWAAIBU YEYE NA WOTE WANAOMZUNGUKA AKIWEMO MKUU WA MAFISADI MWENYEWE MR JACK.
 
Back
Top Bottom