Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Heshima zenu Wakuu.

Mh. Kitila Mkumbo,KUDOS!!!. Infact tunakoelekea sasa ni kubaya. Every Tanzanian has a right to participate in the democratic process of their country. Watoto wa the so-called Vigogo included.

Katika hili nakubaliana na wewe

Namshauri mtoa hoja naye atafute mtu wake and let the ballot speak. Pesa za kampeni wanakozitoa can not be an issue unless you can prove beyond reasonable doubt kuwa wamefisadi mahali . Otherwise, speculation, allegation na accussation zisizo za msingi hazitufikishi popote.

Hili la pesa mkuu naomba kutofautiana nawewe! Pesa za kampeni ni sumu kubwa sana kwenye siasa za Tanzania. Kikwete alitumia pesa za Rostam Azizi kupata nomination ya ccm na za wizi wa BoT kupata uraisi wa Tanzania na matokeo yake umeona nini kimefanyika BoT ili kurudisha deni la Rostam na la BoT.

Kujua pesa za kampeni ni issue kubwa sana na ningemshauri mtoto wa JK kuwa makini sana na pesa atakazotumia kwenye huu uchaguzi. Otherwise, mtori wangu uko tayari kabisa for this very interesting movie!
 
Kitila mkumbo acha ubepari ana haki ya kuhoji,,,just for ur information na labda apitishwe bila kura,,,hapiti,,benno kijana tunamjua tangu akiwa chuo mlevi malaya mtu kama ndugu yako ridhi unaemtetea sitaki kuanzisha mjadala mwingine,,ila kwa heshima ya taifa tatizo si rafiki yake.....bali ni nani na mtu wa tabia gani tunakwenda kumpa madarakakama hayo,,,,yeye binafsi anajijua ila kwa ushabiki wa chama baada ya kuona jamaa amekamata bagamoyo anatak na yeye si mbaya ila tunamshauri ajirekebishe,,benno we luv u men sisi hatuna matatizo na wewe kuongoza swala ni kwamba ubadilike mkuu kile cheo bado kikubwa kwa tabia yako,,,,na kwa ushauri tu hao waheshimiwa watafute details zake AKIWA CHUO...,

JERRY:HUYU KIJANA YUKO SAFI SIJUI KAMA AMEANZA KUBADILIKA NAOMBA MAWAZO JUU......YA KIJANA HUYU.....NAFIKIRI BADO NI DIWANI NA NINA UHAKIKA NI DIWANI KIJANA MUWADILIFU MDOGO KULIKO WOTE KWENYE CCM,HANA MAKUU,,SI MLEVI,,KAMA NI WASICHANA NAFIKIRI WA IDADI INAYOTAKIWA AJATOKA KWENYE MSTARI,,,ULIZENI HUYO BENO NA NDUGU YAKE RIDHI,,??????

BENO USHAACHA KUMBEBEA MIZIGO RIDHHIWANI,, MWACHENI AMSAIDIE JAMAANI AMETESEKA SANA NA RIDHIWANI KUMFANYA KAMA MTOTO ,,,,WAKIWA CHUO KIKUU NATUMAINI UTUMWA HUU UMESHAUCHA MDOGO WETU RIDHI,,,JARIBU KULIPA FADHILA,,ILA KWA MAONI YANGU WADOGO ZANGU BADO KABISA KWA CHEO KAMA HICHO,,,PUNGUZENI POMBE NA UHUNI MTAKUBALIKA HADI UBUNGE,,,MSIINGIE KWA KUTUMIA INFLUENCE YA WAZAZI AU MTU,,UKIFANIKIWA UNAWEZA KUJUTA

NATOA HOJA
 
Mimi binafsi sijui hata mmoja wa hao wagombea lakini I will like the following::

Mtu ambaye Nchimbi anamtaka mtueleze ni nani.
Kama mtu huyo ni tofauti na huyo Benno, then itabidi watu wote wamsapoti Benno so that Nchimbi dictatorship of UVCCM ends.

Kwa hiyo ridhwani na wenzako kazeni buti ili huyo mtu wenu ashinde na hata mkiona anashindwa, wekeni nguvu zenu behind mwingine ili mradi tu mtu wa Nchimbi ashindwe.

Jamani hii ni personal opinion maana najua watu watachonga
 
CCM mtamwagana . Mkaanza mwaka 2005 watu wakaitwa majina na makundi yakajengwa hadi sasa yanawamaliza sasa mmehamia kwenye Vijana .Mna kazi kubwa sana .Ila mjue kabisa mambo ya ndani ya CCM JF si waamuzi japokuwa mna haki ya kuleta habari zetu hapa tukajua uozo wenu zaidi.
 
Sihitaji chama kuelezea mawazo yangu.

Sula hili nila CCM,llakini lazima tukubali ukweli kuwa hapo baadaye hawa tunaowaona ni CCM ndo wanakuja kuwa viongozi wa Tanzania na kuatuathiri hata sisi tusio na vyama.

Mtoto wa JK ni kweli ana haki ya kushiriki katika siasa kama Watanzania wengine ila lazima pia tujiulize anafanya hivyo kwa manufaa ya nani? Yake binafsi au ya Chama chake. Kama kweli yuko tayari kuhahakisha rafiki yake anapita kwa namna yeyote, Je ni kwa sababu anaamini rafiki yake bora kuliko wagombea wengine au nikwa manufaa binafsi?Anaanza kupalilia njia kwa ajili ya kumfikisha kule anakotaka kufika ( mikakati ya muda mrefu) bila kumulikwa tutakuwa tunafanya kosa.
 
Sihitaji chama kuelezea mawazo yangu.

Sula hili nila CCM,llakini lazima tukubali ukweli kuwa hapo baadaye hawa tunaowaona ni CCM ndo wanakuja kuwa viongozi wa Tanzania na kuatuathiri hata sisi tusio na vyama.

Mtoto wa JK ni kweli ana haki ya kushiriki katika siasa kama Watanzania wengine ila lazima pia tujiulize anafanya hivyo kwa manufaa ya nani? Yake binafsi au ya Chama chake. Kama kweli yuko tayari kuhahakisha rafiki yake anapita kwa namna yeyote, Je ni kwa sababu anaamini rafiki yake bora kuliko wagombea wengine au nikwa manufaa binafsi?Aanze kupalilia njia kwa ajili ya kumfikisha kule anakotaka kufika ( mikakati ya muda mrefu).


Mtoto wa nyoka hawezi kuwa chatu abakia kuwa nyoka wa aine ile ile .Na maji hayapandi mlima bali hufuata mkondo wa kuteleza so figure out .
 
Hivi Ridhiwani anaweza kwenda kinyume na Nchimbi (mtandao wa baba yake)?
 
Hivi Ridhiwani anaweza kwenda kinyume na Nchimbi (mtandao wa baba yake)?

Good question. It can be possible maana hapa ni maslahi binafsi na future watu wanajiandalia so you never know .
 
Mwk, lazima utakuwa umelewa maana hizi propoaganda si mchezo na mtoto Fisadi sijui atasimama upande upi!!

KAKA NASHUKURU KWA KUPENDA KUJUA WAPI NITASIMAMA,NI HIVI KIJANA YEYOTE WA CCM ANAWEZA KUSHINDA,LAKINI KATI YA HAWA WAGOMBEA WALIOJITOKEZA

1.BENO MALISA,
2.JERRY SLAA
3.ZAINAB KAWAWA
4.HUSSEIN MOHAMED
5.ASHA
6.NAPELELE MOSES NNAUYE
7.EDWIN SANDA
8.VIOLET MZINDAKAYA

MGOMBEA AMBAYE KAMWE NAWAAPIA HAWEZI KUWA MWENYEKITI WA UVCCM NI HUYO NAMBA 6.MAISHA YAKE HAWEZI KUPAT HUYO aka BWANA ACHEBE.SABABU NI KUWA KAPITA UMRI.
 
KAKA NASHUKURU KWA KUPENDA KUJUA WAPI NITASIMAMA,NI HIVI KIJANA YEYOTE WA CCM ANAWEZA KUSHINDA,LAKINI KATI YA HAWA WAGOMBEA WALIOJITOKEZA

1.BENO MALISA,
2.JERRY SLAA
3.ZAINAB KAWAWA
4.HUSSEIN MOHAMED
5.ASHA
6.NAPELELE MOSES NNAUYE
7.EDWIN SANDA
8.VIOLET MZINDAKAYA

MGOMBEA AMBAYE KAMWE NAWAAPIA HAWEZI KUWA MWENYEKITI WA UVCCM NI HUYO NAMBA 6.MAISHA YAKE HAWEZI KUPAT HUYO aka BWANA ACHEBE.SABABU NI KUWA KAPITA UMRI.

basi kazi rahisi mwenyekiti wa UVCCM ni kati ya JERRY SLAA na BENNO!!!
 
Mimi binafsi sijui hata mmoja wa hao wagombea lakini I will like the following::

Mtu ambaye Nchimbi anamtaka mtueleze ni nani.
Kama mtu huyo ni tofauti na huyo Benno, then itabidi watu wote wamsapoti Benno so that Nchimbi dictatorship of UVCCM ends.

Kwa hiyo ridhwani na wenzako kazeni buti ili huyo mtu wenu ashinde na hata mkiona anashindwa, wekeni nguvu zenu behind mwingine ili mradi tu mtu wa Nchimbi ashindwe.

Jamani hii ni personal opinion maana najua watu watachonga
HUWEZI KUMZUIA MTU WA NCHIMBI KUSHINDA NDANI YA UVCCM,KUMBUKA NCHIMBI ANAIJUA CCM NA AMEKALIA KITI KWA MIAKA KUMI,MAKATIBU WOTE WA MIKOA WAMETEULIWA YEYE AKIWA MADARAKANI HIVYO AMEWATEUA YEYE,MAKATIBU WA WILAYA NUSU KAWATEUA YEYE,MFATE MGOMBEA YEYOTE MUULIZE KAMA ANGALPENDW KUPINGWA NA NCHIMBI ATAKUPA JIBU,KUMUULIZE MUSA NTIMIZI AU OMARY KIMBAU ALIPOWAPINGA UENYEKITI WA DAR BAADA YA KUANZA KUSHINDANIA PESA NINI KILIWAKUTA..NDIO MAANA NIKO TAYARI KUWEKA DAU ATA LA MILIONI MIA MOJA KUWA NAPE HAWEZI KUSHINDA KAMWE.
 
Wewe M-bongo, pambana kwenye kampeni, acha longolongo. Huyu Ridhiwani kama anamfanyia kampeni Benno, kuna ubaya gani? Wewe pambana acha kuliakulia. Tena ukipambana ukamshinda mtoto wa Rais utajisikia vizuri maana utakuwa umeangusha kisiki sio, sasa unalialia nini? Kama huna hoja za kujiuza kwenye kampeni, omba upewa hapa JF kuna vichwa vimebobea hapa, na kuna wengine wapo kwenye timu ya Obama na Hillary🙂

Mkuu analialia kama Mbowe na deni lake la miaka kumi na nane hataki kulipa, First Lady wana Chadema anaenda mahakamani kwa deni la Mbowe.
Dawa ya deni ni kulipa sio kulialia.
 
Hivi kuna ubaya gani hasa kwa mtoto wa Rais kumfanyia kampeni rafiki yake? Ina maana ukishakuwa mtoto wa Rais basi ukae tu nyumbani. Ridhiwani ni mwanasiasa na ana haki ya kufanya siasa ikiwemo kumfanyia kampeni mtu yeyote anayeona anafaa kwa utashi wake. Tuache longolongo zisizo na kichwa wala mkia. I mean what is the exact problem here, are we becoming obsessed with witch hunting?

Exactly mkuu ndio ukweli wenyewe huuu, I love JF maana ni kumkoma nyani tu, tena bila ya kumuangalia usoni
 
Ndugu Ridhwani amekuwa akiendesha kampeni za kichini chini ili rafiki yake amabye anaitwa Benno Malisa achukue Uenyekiti wa UVCCM taifa,na vikao vya kampeni zao vimekuwa vikifanyika pale Rose Garden,
Kwanini wameeza kampeni mapema sana,Je wanatoa wapi pesa za Kampeni??sababu Benoo ni mwajiliwa wa Chama cha Mapinduzi.Tukilfumbia mamcho sula hili ndio mambo ya kagoda yanapoanzia,Naomba wanabodi kuanzia hivi sasa tuanze kufuatilia vikao vyao na kujua wapi wanatoa pesa na wametumwa na nani.
Hakuna hoja, chuki binafsi ondoa..when you have done your home work come back, otherwise wacha majungu.Kama baba yake kampa, wewe inakuuma nini??
 
Anachokifanya Ridhiwani ni ushabiki tu ili baadae aje alipwe fadhila na Benno,hawa jamaa ni marafiki tangu walipokua pale mlimani.Na ni Benno ndio alikua anampiga tafu Ridhiwani kitaaluma kwa sababu uwezo wa Ridh'unajulikana kwamba pale faculty of Law alibebwa tu lakini alikua ni mtu wa kurudishwa nyumbani.

Anachofanya Ridh'kwa upande fulani analipa fadhila na hapohapo anaandaa kuja kulipwa fadhila na Benno,hawa vijana wameondoka pale mlimani 224/2005 kwa hiyo tunawafahamu.

Benno kuingia ktk siasa nakushabikiwa na Ridh'is not an issue,lakini COMMITMENT kwa taifa wanayo?Au wanaiga tu kwamba kwa sababu baba ni fulani kanyaga twende.Mizaha aliyonayo JK ni nafuu sana kuliko Ridh'na kama ni Uloverboy basi Ridh'na Benno ni zaidi.

Ridh'kwanini usitafute shughuli zingine kama uakili hivi ukatulia huko ukila kuku kwa mlija au unaogopa arguement capacity ya mahakamani ni very low.Kila kukicha Ridhiwani kwani na wewe unataka kuchukua nafasi ya Lowasa?Achana na mambo ya siasa.Mwambie mzee akupe Capital kata maleseni yako halafu uone kama kuna mtu atakufuata.
 
Mtoto wa nyoka hawezi kuwa chatu abakia kuwa nyoka wa aine ile ile .Na maji hayapandi mlima bali hufuata mkondo wa kuteleza so figure out .

Nia yangu ilikuwa ni kupinga wale wanaosema kuwa mambo ya CCM hayawahusu hivyo haipaswi kuyajadili.Mimi msimamo wangu ni tofauti na huo. Watu kama Mtoto wa JK wako tayari kutumia njia chafu kuhakikisha wana-achieve kile wanachotaka kwa manufaa yao binafsi,na tusipowajadili sasa tunajidanganya sisi kwani baadaye tunakuja kushtuka wanagombea urais na watatumia mbinu hizohizo chafu.
Sina tatizo na yeye kushiriki siasa,ila anashiriki kwa namna gani nakwa madhumuni yapi?
 
Anachokifanya Ridhiwani ni ushabiki tu ili baadae aje alipwe fadhila na Benno,hawa jamaa ni marafiki tangu walipokua pale mlimani.Na ni Benno ndio alikua anampiga tafu Ridhiwani kitaaluma kwa sababu uwezo wa Ridh'unajulikana kwamba pale faculty of Law alibebwa tu lakini alikua ni mtu wa kurudishwa nyumbani.

Anachofanya Ridh'kwa upande fulani analipa fadhila na hapohapo anaandaa kuja kulipwa fadhila na Benno,hawa vijana wameondoka pale mlimani 224/2005 kwa hiyo tunawafahamu.

Benno kuingia ktk siasa nakushabikiwa na Ridh'is not an issue,lakini COMMITMENT kwa taifa wanayo?Au wanaiga tu kwamba kwa sababu baba ni fulani kanyaga twende.Mizaha aliyonayo JK ni nafuu sana kuliko Ridh'na kama ni Uloverboy basi Ridh'na Benno ni zaidi.

Ridh'kwanini usitafute shughuli zingine kama uakili hivi ukatulia huko ukila kuku kwa mlija au unaogopa arguement capacity ya mahakamani ni very low.Kila kukicha Ridhiwani kwani na wewe unataka kuchukua nafasi ya Lowasa?Achana na mambo ya siasa.Mwambie mzee akupe Capital kata maleseni yako halafu uone kama kuna mtu atakufuata.

Si vizuri kumsingizia Ridhwan katika mambo ambayo hayamuhusu. Jadili hoja ya Uenyekiti UVCCM. Hayo mambo ya sijui ni loverboy sijui what hayana maana kabisa. Ni loverboy ndio, ana wapenzi wake wawili Arafa na Jokate na wote anatarajia kuwaoa hivi karibuni. Kwa hiyo afadhali yeye ana maadili, ana mapenzi ya kweli. Hao wagombea wengine wapo pia ma-play boy. Acheni hayo mambo ya ndani, fikirini ufanisi wao kwenye siasa. Fanyeni upaparazi kamili mulete habari kwa uwazi badala ya kuchonganisha tuu

PM
 
Back
Top Bottom