Sakata la mchele mbovu kutoka Tanzania, Rwanda

WaTanzania tuwe n Uaminifu katika biashara iwe maparachichi, mchele , mahindi, nyama, unga n.k tuzingatie matarajio, viwango vigezo na masharti, ama sivyo biashara za kuvuka mipaka na bahari fursa zake zitakufa.
Tumezowea kujitapeli wenyewe na kujiibia sasa tunafikiri kila sehemu ni kama Tanzania tunataka kuexport ujinga wetu.
 

Rwandan Revenue Authority Foils Shipment of Substandard Tanzanian Rice​

LAST UPDATED: 16/MAR/2024
TAARIFA3 MIN READ

20240316_082748-1536x1024.jpg


Rwandan Revenue Authority (RRA) thwarted an attempt by rice importers to dump substandard Tanzanian rice across the country.

Led by RRA’s Commissioner General, Pascale Ruganintwali, in collaboration with the Rwanda Food and Drug Authority (RwandaFDA), the operation took place at the Gatuna border post.
During the operation, authorities intercepted 26 trucks and only had rice that comformed to the declaration and import license.
This discovery underscores the vigilance of Rwandan authorities in ensuring that only quality products are allowed to be imported into the country.
 
Mutukula , Uganda

UGANDA NAKO WALALAMIKA UBORA WA MCHELE KUTOKA TANZANIA

View: https://m.youtube.com/watch?v=y8PsNfO9qmw
Wafanyabishara wa Uganda wazuia malori ya mchele mbovu ...

Takwimu idara ya Ushuru / Mapato Uganda URA zinaonesha kivuko cha mpaka cha Mutukula malori zaidi ya 200 kwa siku huvuka mpaka msimu wa mavuno yakiwa yamesheheni mchele unaozalishwa nchini Tanzania.

Uganda inajitosheleza kwa asilimia 6 tu kupitia kilimo cha mpunga nchini humo .Hivyo hutegemea 60% ya mchele wake unatoka Tanzania na kiasi kingine 34 % mchele unaagizwa kutoka Pakistani n.k


Rice importers at the Mutukula border have protested the impounding of trucks with rice suspected to have been imported from Pakistan.

Angry traders blocked the road not allowing vehicles from Tanzania claiming that URA authorities have charged them exorbitantly for allegedly trying to bring rice from Pakistan into the country packaged as rice from Tanzania.According to URA officials, this is a common tactic employed to evade taxes
 
Hao ni kupiga ban tu chochote toka kwetu.
Washinde njaa kidogo wataomba poo.
Kumkoma nyani giladi
 
This nation is cursed. Kila raia, top down, anafikiria kujipatia pesa bila kufanya kazi.
 
Hili jambo ni nyeti kwa maana ya mahusiano yetu na Rwanda kwenye mambo mengine.

Ila kama Uganda nao wamelalamika basi kuna tatizo mahali.

Ukiachana na viashiria vya vita vya kiuchumi Rwanda wafanyabiashara wetu nao wapunguze janja janja.

Watanzania mara nyingi mno wanajua kuharibu mambo.

Wakisikia jambo flani linalipa wanajazana humo na mwishowe kwa kuingiza ujuaji wao jambo linaishia kuharibika.

Tunapofanya biashara za kimataifa tupunguze ujanja ujanja.

Kwanini kama kuna soko la uhakika mtu usifanye kitu cha kueleweka ukatengeneza trust kwa wateja wako na kukuza biashara.

Kwanini upate faida kubwa kwa muda mfupi na kupoteza faida ndogo ya muda mrefu??
 
Hii serikali ya mama imeoza kabisa.mamlaka zilikuwa wapi Hadi mchele mbovu unapelekwa Rwanda?Mnataka wakulima tukose soko ili mtufanye wtz wote kuwa chawa wenu?
 
Mbona mimi nimepeleka Mchele kutoka Vietnam kutoka Daresalaam Port hadi Kigali.

Ninapoongea hapa nina experience.
Wanyarwanda wanapenda mchele asikwambie mtu maana wao kupika ugali ni tizi kubwa kwao. Mchele hupenda kuuita mcheli. Wataagiza kutoka VIETNAM na kwingineko ila DSM port hawaikwepi. Tozo za hapo atakazobambikwa atarudi tuuu kununua mchele wa tz other wise atulize msondo tuuu
 
Wataagiza kutoka VIETNAM na kwingineko ila DSM port hawaikwepi.
Nimeshawahi kubeba Shehena ya Mchele wa Wafanyabiashara wa Rwanda kutokea Mombasa Port hadi Kigali MAGERWA.
Hii tabia ya kijinga kwamba Tanzania haikwepeki au Zahabu ziko Tanzania pekee mnayolishwa na Wanasiasa wajinga ambao hawajawahi kutoka nje ya Vijiji vyao Dodoma na Dar.

Hata leo tukifunga mpaka wa Rusumo Mnyarwanda atakula Umucheli BILA WASIWASI sana atakaekula hasara ni sisi Wabongo.

Diet ya Mnyaru ni Wali,Ugali mix wa Udaga, Maharage, Ndizi Matoke, Viazi, Chipsi, MAZIWA, MAZIWA MGANDO, Samaki nk.

Hata Mchele ukikosekana Mnyaru ana MENU pana.

Nadhani Maharage wanayaita "Ibhishimbo"
 
Back
Top Bottom