Sakata la Mchanga wa Madini: Rais Magufuli ateua kamati ya Wataalam Kuchunguza Makontena ya Mchanga

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
a93665e16ca0fda53aeae0ad4bf1cea7.jpg
 
Mi nilisikia awamu hii haina cha kuunda kamati bali ni maamuzi ya haraka tu

Kikwete anatakiwa aombwe msamaha kwani walimsema mno kuunda uchunguzi na kutochukua maamuzi ya haraka

Naona taratibu tunarudi kwenye utaratibu na kuanza kulamba matapishi mfano ni uchunguzi wa faru john na hili la mchanga
 
Alisema kuwa, kutakuwa na Visible Committee na Invisible Committee ambazo zote zitafanya kazi moja bila kuingiliana na wala kujuana ili kusaidia kupunguza upotoshwaji katika ripoti. Naona iliyotajwa hapo ni Visible Committee. Ile ya pili haitangazwi.
 
HILI KAMA CHADEMA HATUKUBALI, KWANINI ALIKATAZA MACONTEINER HALAFU ANAUNDA TUME.KWANINI HAKUUNDA MAPEMA HUKU MAONTAINER YAKIENDELEA KWENDA NJE. HII HATUKUBALI KABISA SISI CHADEMA HII TABIA YA MH RAIS YA KUINGILIA MIKATABA YA WAWEKEZAJI.
Mh rais hafanyi kazi kwa matakwa ya chadema wala kuwaridhisha vyama vya upinzani Bali kwa manufaa ya taifa. Ingekuwa kila kinachofanywa ni kuviridhisha vyama vyote bac nchi isingepiga hatua za kimaendeleo
 
Mojawapo anaweza kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Nishati na Madini hasa yule mwenye Kimberembere na Kujipendekeza!
 
Mkuu umechanganya!!CAG atafanya analysis kubwa zaidi kuhusu kodi....mikataba na utaratibu mzima wa migodi yetu yote......kuanzia mchakato mwanzo mwisho.....na kama kodi inalipwa sahihi na uhakiki wake migodini ni mzuri au una kasoro na zipi. Hawa ma Prof na Dr kazi yao ni zaidi kwa yale ma container 300 kasoro kidogo yanayoshikiliwa kama je ya mchanga na kiasi kile kidogo 0.02 walichosema ama zaidi ya hapo?.......kuchukua sample na kujua kuna gold kiasi gani na coppe kiasi gani etc.....kazi yao ni muda mfupi sana.....labda week 3 hivi....ila CAG inaweza fika miezi 6.....kuna ingine pia ya kuhusu gharama za kuchenjua hapa nchini au waendelee kuruhusu wapeleke nje!!!
Alisema kuwa, kutakuwa na Visible Committee na Invisible Committee ambazo zote zitafanya kazi moja bila kuingiliana na wala kujuana ili kusaidia kupunguza upotoshwaji katika ripoti. Naona iliyotajwa hapo ni Visible Committee. Ile ya pili haitangazwi.
 
Profesa Ntalikwa, katibu mkuu wa madini alitoa ushauri huu wa kuunda kamati ya kuchunguza mchanga. Kilichofuata ni kutumbuliwa on the same day. Sasa imekuwaje amekula Matapishi tena?. JPM Bwana. Mkurupukaji sana. I wonder his decions, ameshindwa kumtumbua Bashite, anatumbua watu wanaotoa right advices.

Ukitaka kupata details ya kilichotokea siku hio, soma link hii hapo chini. Utaona Profesa alitoa ushauri wa kuunda tume ya wataalam while mkurugenzi wa bandari alasema tofauti. Kilichofuatia ni Profesa kutumbuliwa.

Katibu Mkuu Madini abishana, atumbuliwa
 
Taarifa hiyo ya uundwaji wa Tume ina kasoro kadhaa....
1/Inawataka wajumbe wake waanze kazi haraka lakini haisemi wamalize lini hiyo kazi.

2/Taarifa inatangaza majina ya wajumbe na hapo hapo inawataka kesho wafike Ikulu (Hii inaashiria Rais ametangaza majina ya hao wajumbe pasipo kuwasiliana nao mmoja mmoja binafsi, wasiwasi ni kwamba huenda miongoni mwa hao wajumbe wakashindwa kutokea, maana wana majukumu mengine au wakakosa utayari).

3/Hadidu za Rejea hazijawekwa wazi (Lakini hili sio issue sana maana mambo mengine huwa yanakuwa ni ndani kwa ndani)

4/Nini msingi wa kuunda kamati badala ya Tume?
(Tume huwa inaundwa ili kuchunguza jambo, kamati huwa inaundwa kufanikisha jambo, Tume huwa inaundwa na wajumbe huru kutoka mazingira tofauti, Kamati huwa inaundwa na wajumbe wa namna moja wanaoshahabiana)
 
sasa kamati ni ya nini kama mkataba unawaruhusu kusafirisha huo mchanga , ivi wanajua maana ya mkataba kweli
Sasa si usubiri majibu ya kamati kama tatizo mkataba watasema.Vuta subira mkuu.
 
Back
Top Bottom