Sakata la Mchanga wa Madini: Rais Magufuli ateua kamati ya Wataalam Kuchunguza Makontena ya Mchanga

Alisema kuwa, kutakuwa na Visible Committee na Invisible Committee ambazo zote zitafanya kazi moja bila kuingiliana na wala kujuana ili kusaidia kupunguza upotoshwaji katika ripoti. Naona iliyotajwa hapo ni Visible Committee. Ile ya pili haitangazwi.
Huku ni kutojiamini na kusababisha conflicts zisizo za lazima. Lazima Rais ajiweke kwenye kuamini watu. Hatashuka malaika kwenye kusimamia na kutekeleza maendeleo.
 
Rais kafanya kizuri sana lakini wote hao kuna sehemu watapigwa chenga kwenye zoezi lao kwani wengi wao hawajafanya kazi migodini.Mining is about practical not theory.Kuna sehemu inahitaji ujanja fulani wa kimigodi.Ngoja nikae kimya.

Wasipomletea Majibu aliyonayo Kichwani aliyopewa na Kakoko wa Bandari atawataftia kona awakomeshe huko huko Udsm!
 
Hatua nzuri.

Nashauri katika baadhi ya hizo containers wafanye full extraction Ili tujihakikishie kama gold ni 0.02%, na si kuchukua sample.
 
Nimetazama majina ya kamati, ameweka wakata nyanga (academician) kasoro mmoja tu na ata uyo mmoja ana uzoefu wa mineral processing.
Nilitarajia kuona kamati ikiwa na prof c zaidi ya 1 na Dr 2(mining, metallurgy na geology) na kujaza watendaji ( processing engineers/Metallurgists) ili kamati isiishie kuchunguza mchanga uliopo kwenye ma container bali wafike mbali zaidi ya mapendekezo ya uwezekano wa kuchenjua huo mchanga, mana issue ya kuwa kuna Au nyingi kwenye containers kuliko ambavyo uhalisia hizo ni story za kijiweni tu ,ningefurahi kuona kamati ikifanya utafiti wa possibility ya installation ya smelter hapa bongo, lakini kamati kuchunguza mchanga uliopo bandarini tu ni kitu ambacho kingewezekana ata kwa kutumia vijana wetu wa mwaka wa kwanza pale udsm au udom.
 
Nimetazama majina ya kamati, ameweka wakata nyanga (academician) kasoro mmoja tu na ata uyo mmoja ana uzoefu wa mineral processing.
Nilitarajia kuona kamati ikiwa na prof c zaidi ya 1 na Dr 2(mining, metallurgy na geology) na kujaza watendaji ( processing engineers/Metallurgists) ili kamati isiishie kuchunguza mchanga uliopo kwenye ma container bali wafike mbali zaidi ya mapendekezo ya uwezekano.

Sidhani kama kamati imewekewa mipaka ya kutotumia wataalam zaidi itakapobidi.
 
Nimetazama majina ya kamati, ameweka wakata nyanga (academician) kasoro mmoja tu na ata uyo mmoja ana uzoefu wa mineral processing.
Nilitarajia kuona kamati ikiwa na prof c zaidi ya 1 na Dr 2(mining, metallurgy na geology) na kujaza watendaji ( processing engineers/Metallurgists) ili kamati isiishie kuchunguza mchanga uliopo kwenye ma container bali wafike mbali zaidi ya mapendekezo ya uwezekano wa kuchenjua huo mchanga, mana issue ya kuwa kuna Au nyingi kwenye containers kuliko ambavyo uhalisia hizo ni story za kijiweni tu ,ningefurahi kuona kamati ikifanya utafiti wa possibility ya installation ya smelter hapa bongo, lakini kamati kuchunguza mchanga uliopo bandarini tu ni kitu ambacho kingewezekana ata kwa kutumia vijana wetu wa mwaka wa kwanza pale udsm au udom.
Mm nadhani hakija haribika kitu.
Hiyo ni tume. Maana yake hawahaki na mamlaka ya ku engage any company ktk tafiti yao. Iwapo kuna kitu kitawahitaji kufanya hivyo. Pia tafiti zao ni za Maabara siyo makaratasi. Mfano Prof. Mhongo alikuwa ni Lecturer japo ni mtaalam wa Miamba Duniani.

Pia hiyo ni team ya Professionals. Goelogy huwezi fundisha kwa Theory kama History. Hao ni ma Expert. Naomba tusipende kudharau watu bila kujua historia ya utendaji wa watu.
 
Hili kama chadema hatukubali, kwanini alikataza maconteiner halafu anaunda tume.Kwanini hakuunda mapema huku macontainer yakiendelea kwenda nje.

Hii hatukubali kabisa sisi chadema hii tabia ya Mh Rais ya kuingilia mikataba ya wawekezaji.
Umewauliza wenzio au unasema tu sisi!!
 
Huu ni usanii mwingine wa huyu jamaa,alikuwepo wapi tangu aingie madarakani?leo ndo anajua kuwa mchanga hupitishwa bandarini?amereview hata kinachoongelewa kwenye mikataba kati ya nchi na hayo makampuni au ndo ukurupukaji as usual?once again i wil prove you wrong magu,just wait
 
Magufuli bwana, aseme kwanza sababu za kumtumbua Prof Ntalikwa, maana alishauri kuundwa kamati ya kufanya hilo akatumbuliwa siku hiyo hiyo bila kutoa sababu za kutumbuliwa kwake. Haiwezekani mtu kufikiri baada ya kutenda.
 
sera yetu ya kwanza kwa bidii someni sana, sera yetu ya pili kwa bidii kuleni sana. Sera yetu ya tatu kwa bidii chezeni sana! Mafanikio sera ya kwanza afadhali, nayo ya pili kidogo sana nayo ya tatu hakuna kituuu.
Nawe utakuwa mtu njia ile bila shaka ...Maana slogan za Baba Mrisho unazikumbuka.
 
Back
Top Bottom