Dominus Vobiscum
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 432
- 493
Na kama tutadaiwa utatoa pesa zakoSasa si usubiri majibu ya kamati kama tatizo mkataba watasema.Vuta subira mkuu.
Safi Sana Mhe.Rais Wetu Kwa Hatua Hii Nzuri. Tunaomba Wataalam Hao Waitendee Haki Tanzania Kwa Kuhakikisha Usomi Wao Unalinda Rasilimali Zetu. Pia Tunaomba Tanzania Ijitoe kwenye mahakama za kimataifa za usuluhishaji wa migogoro ya kiuwekezaji kama walivyofanya BOLIVIA ili tuepukana na kushtakiwa hovyo na wazungu hao katika mahakama zao wenyewe na hatimaye kutudai Kulipa mamilioni ya dola endapo tunavunja mkataba (Wanasheria waliangalie hili na kufuata taratibu stahiki za kujitoa kwetu kwenye hizo MIGs na BITS - wakisoma hapa watanielewa).
Mkuu umeua nimecheka mpaka watu wananishangaa!jamaa akomae na kiswahili tu,hii lugha ilikuja na meli ni shida.Mkuu, komaa na kiswahili tu utaeleweka....lugha ya malkia ngumu balaa!
Labda alitumbuliwa kwa issue nyingine lakini hiki kinachofanyika sasa kusema kweli ndicho alichokishauri Prof.Ntalikwa.Profesa Ntalikwa, katibu mkuu wa madini alitoa ushauri huu wa kuunda kamati ya kuchunguza mchanga. Kilichofuata ni kutumbuliwa on the same day. Sasa imekuwaje amekula Matapishi tena?. JPM Bwana. Mkurupukaji sana. I wonder his decions, ameshindwa kumtumbua Bashite, anatumbua watu wanaotoa right advices.
Ukitaka kupata details ya kilichotokea siku hio, soma link hii hapo chini. Utaona Profesa alitoa ushauri wa kuunda tume ya wataalam while mkurugenzi wa bandari alasema tofauti. Kilichofuatia ni Profesa kutumbuliwa.
Katibu Mkuu Madini abishana, atumbuliwa
Mh rais hafanyi kazi kwa matakwa ya chadema wala kuwaridhisha vyama vya upinzani Bali kwa manufaa ya taifa. Ingekuwa kila kinachofanywa ni kuviridhisha vyama vyote bac nchi isingepiga hatua za kimaendeleo
Nope, uyo ni prof wa geology ,udsmHivi huyu no2. ndie aliyetumbuliwa au? Katibu Nishati na Madini
Hakika aisee...miaka ile ya 98/00Unamaana ya Ile Shule kongwe ama
Thank you.Nope, uyo ni prof wa geology ,udsm
Umenichekesha sana mkuu.Mkuu, komaa na kiswahili tu utaeleweka....lugha ya malkia ngumu balaa!