Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kila mwanaChadema anataka kuwaaminisha watanzania kuwa Mbowe amebambikizwa shitaka la ugaidi. Mbowe anaonewa maana sasa amewekwa kwenye sero ya wafungwa wa kunyongwa. Sawa, mnaweza kuwa sawa lakini suala lipo mahakamani.
Ibara ya 13 ya JMT ipo wazi kabisa kuwa hakuna mtu atakuwa na hatia mpaka mahakama imtie hatiani.
Sasa kama mahakama ndio chombo cha kumtia mtu hatiani mbona mnataka watanzania waingilie suala amabalo lipo mahakamani? Kama hana kosa basi acheni mahakama iamue,sio kutaka watanzania waingilie suala ambalo lipo ndani ya mahakama.
My take; Kulazimisha wananchi waamini kuwa Mbowe kaonewa is wastage of time.
Ibara ya 13 ya JMT ipo wazi kabisa kuwa hakuna mtu atakuwa na hatia mpaka mahakama imtie hatiani.
Sasa kama mahakama ndio chombo cha kumtia mtu hatiani mbona mnataka watanzania waingilie suala amabalo lipo mahakamani? Kama hana kosa basi acheni mahakama iamue,sio kutaka watanzania waingilie suala ambalo lipo ndani ya mahakama.
My take; Kulazimisha wananchi waamini kuwa Mbowe kaonewa is wastage of time.