Sakata la Makinikia: Kuna aibu inatunyemelea

Endelea kubweka
Naona wapuuzi mnajipa moyo kwa ujinga wenu wa kutofikiria, sasa kama mna mashaka kwa nini msiunde tume yenu ifanye uchunguzi?

Yaan Tume idanganye? ili iweje labda? au mnadhani akina Prof. Mruma na Prof. Ossoro ni wendawazimu? kwamba washushe reputation zao na vyuo vyao wanavyofundisha?
 
Jingalao kweli
Unalinganisha kamati ya Bomani iliochukua data kutoka kwenye makaratasi yaliyoandaliwa na GST halafu unalinganisha na kamati iliyofanya sampling katika Makontena yaliyodakwa?

Nadhani utakuwa ni muhitimu wa Chuo cha kata.

Pili unaongeleaje uwepo wa Bi kejo ndosi ndani ya kamati ile?

Tatu Kamati ya Bomani iliongelea madini nyeti kama Rhadium??

Wasaliti wakubwa mnaohangaika na simu usiku wa manane kwa kuhongwa na Acacia
 
Mkuu,wacha tuone mwisho wa hili sakata.
JamiiForums-139524885_486x371.jpg
 
Back
Top Bottom