Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,261
Endelea kubweka
Naona wapuuzi mnajipa moyo kwa ujinga wenu wa kutofikiria, sasa kama mna mashaka kwa nini msiunde tume yenu ifanye uchunguzi?
Yaan Tume idanganye? ili iweje labda? au mnadhani akina Prof. Mruma na Prof. Ossoro ni wendawazimu? kwamba washushe reputation zao na vyuo vyao wanavyofundisha?