Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Wakati unaninukuu nilikuwa narekebisha hesabu zangu kuna sehemu nilikosea kilo 250 niliita tani 25.Mkuu tani moja ina kilo ngapi? kwa mahesabu yangu dola elfu kumi inanunua kilo 275 ya dhahabu
kwa gharama ya shilingi milioni themanini kwa kilo.Huenda nimekosea naomba nisahihishe.
Lakini hesabu za mwisho za dola milioni 10 kujaza almost 20% ya cintainer la 40ft with pure gold yako sawa tangu awali kwa sababu nilifanya hesabu kwa density na bei ya dhahabu na ujazo wa container.