Sakata la Makinikia: Kuna aibu inatunyemelea

Takwimu zimepikwa

Sasa wewe umeangalia makontena mwaka 2017,

Unaweka majumuisho ya jumla eti kwa kuwa 2017 tumekuta hasara hii,basi tuweke assumption kwamba ulikuwa unafanya hivyo kila Siku

Yaani kama umeiba ngombe mmoja mwaka 2017,basi tunasema kila mwaka ulikuwa unaiba ngombe mmoja,

Ushahidi wa kwamba makinikia ya mwaka 2016,2015,2014,2013,2012,2011,2010 mpaka 1998 jamaa walikuwa wanafanya kosa lilelile na kwa kiwango kilekile bila kukosea wala kuzidi wala kupungua,je tuna evidence za makontena ya mwaka 1998,1999,2000,2001,2002......mpaka 2016?

Nani alichukua sample za mwaka 1998?1999?2000?

Unatumia sample ya 2017 kutoa hukumu kwa suala la 1998,2010.....

Exchange rate zilikwaje?thamani ya Dhahabu ilikuwaje?

Tunafanyiwa usanii
Mkuu umezoea movie za uongo ini?hebu enjoy tamthilia la ukweli lenye wasanii wa ukweli si sehemu ya kufikirika bali nchi halisi ikihusisha viongozi halisi!
Makinikia ni best drama ever!
 
Hawa jamaa kweli watakuwa wametuibia lakini findings za kamati hizi kuhusu viwango vya madini na hasara tuliyopata, mimi binafsi zinanipa mashaka sana na ninaona tunaweza kuja kuumbuka hapo baadae.

Ni hivi,kama mchanga tu unaweza kuwa na madini ya thamani ya trilioni mpaka 380.9 kwa kiwango cha juu kwa miaka hiyo 19,ni wazi nchi zenye rasilimali madini duniani na zenye mikataba mizuri zingekuwa ni nchi tajiri sana katika huu ulimwngu.

Cha kujiuliza, kama hiyo ni thamani ya makinikia tu,madini yenyewe(matofali ya dhahabu) yatakuwa na thamani kiasi gani kwa miaka yote hiyo?

Alafu kingine cha kujiuliza ni kwanini findings za kamati hizi mbili za sasa na ile ya Jaji Bomani zitofautiane katika data za viwango vya madini tu lakini zifanane katika matokeo mengine ikiwemo na mapendekezo?Tukumbuke hata hadidu za rejea zimeonekana kufanana kwa maelezo ya Lissu aliyoyatoa Bungeni jana huku akiwa na ripoti ya Jaji Bomani mkononi.

Kubiwa ni kweli tumeibiwa lakini hivyo viwango vya madini vilivyotajwa katika hizo ripoti inabidi tujiulize mara mbili mbili kama kweli vina uhalisia na hali ya nchi zingine zenye migodi tena kutuzidi.

Hizi ripoti hawa mabwana wanaweza kuzitafsiri kama ni defamatory kwao na hivyo tunaweza kuwa sued for defamation japo wametubia unless tuthibitishe usahihi wa hivyo viwango vya madini.
Labda swali la kuuliza ni kwamba ni maabara ngapi na zipi za kijiolojia zimefanyia analysis hayo makinikia? Normally at least maabara tatu zinapaswa kufanya analysis ili kuweza kuwa na uhakika wa results.

Lakini hata hivyo nadhani Acacia wenyewe wameridhika kwa kuwa sijasikia wakiliongelea.
 
Takwimu zimepikwa

Sasa wewe umeangalia makontena mwaka 2017,

Unaweka majumuisho ya jumla eti kwa kuwa 2017 tumekuta hasara hii,basi tuweke assumption kwamba ulikuwa unafanya hivyo kila Siku

Yaani kama umeiba ngombe mmoja mwaka 2017,basi tunasema kila mwaka ulikuwa unaiba ngombe mmoja,

Ushahidi wa kwamba makinikia ya mwaka 2016,2015,2014,2013,2012,2011,2010 mpaka 1998 jamaa walikuwa wanafanya kosa lilelile na kwa kiwango kilekile bila kukosea wala kuzidi wala kupungua,je tuna evidence za makontena ya mwaka 1998,1999,2000,2001,2002......mpaka 2016?

Nani alichukua sample za mwaka 1998?1999?2000?

Unatumia sample ya 2017 kutoa hukumu kwa suala la 1998,2010.....

Exchange rate zilikwaje?thamani ya Dhahabu ilikuwaje?

Tunafanyiwa usanii
Hats Mimi Nina Shaka sana
Tusubiri tuone.
 
Mtu akishaomba kukaa meza moja na mwizi wake lazima iko namna, wote wezi, au mwizi ameiba kilicho chake alichodhulumiwa, au mlalamikaji amepandisha thamani ya mali iliyoibiwa ili aonewe huruma..mwizi habembelezwi anashughulikiwa kwa mujibu wa sheria, ila huyu eti amekuumiza mpaka unatamani kufa, unalia umeumia halafu unamwambia njoo tuongee ..haahaaaaa...
Only in tz
 
Ndio maana makontena bado yako bandarini na yana ulinzi wa kutosha!Makontena 270 huwezi kuharibu ushahidi wake!
Kama ulimsikiliza mnenaji mkuu pale mjengoni jana utaelewa ni nini kilichomfanya na kwa mazingira yapi na sasa tunajitereaje
 
Unalinganisha kamati ya Bomani iliochukua data kutoka kwenye makaratasi yaliyoandaliwa na GST halafu unalinganisha na kamati iliyofanya sampling katika Makontena yaliyodakwa?

Nadhani utakuwa ni muhitimu wa Chuo cha kata.

Pili unaongeleaje uwepo wa Bi kejo ndosi ndani ya kamati ile?

Tatu Kamati ya Bomani iliongelea madini nyeti kama Rhadium??

Wasaliti wakubwa mnaohangaika na simu usiku wa manane kwa kuhongwa na Acacia
Leo unasemaje?

Muda ni mwalimu mzuri sana!
 
Hawa jamaa kweli watakuwa wametuibia lakini findings za kamati hizi kuhusu viwango vya madini na hasara tuliyopata, mimi binafsi zinanipa mashaka sana na ninaona tunaweza kuja kuumbuka hapo baadae.

Ni hivi,kama mchanga tu unaweza kuwa na madini ya thamani ya trilioni mpaka 380.9 kwa kiwango cha juu kwa miaka hiyo 19,ni wazi nchi zenye rasilimali madini duniani na zenye mikataba mizuri zingekuwa ni nchi tajiri sana katika huu ulimwngu.

Cha kujiuliza, kama hiyo ni thamani ya makinikia tu,madini yenyewe(matofali ya dhahabu) yatakuwa na thamani kiasi gani kwa miaka yote hiyo?

Alafu kingine cha kujiuliza ni kwanini findings za kamati hizi mbili za sasa na ile ya Jaji Bomani zitofautiane katika data za viwango vya madini tu lakini zifanane katika matokeo mengine ikiwemo na mapendekezo?Tukumbuke hata hadidu za rejea zimeonekana kufanana kwa maelezo ya Lissu aliyoyatoa Bungeni jana huku akiwa na ripoti ya Jaji Bomani mkononi.

Kubiwa ni kweli tumeibiwa lakini hivyo viwango vya madini vilivyotajwa katika hizo ripoti inabidi tujiulize mara mbili mbili kama kweli vina uhalisia na hali ya nchi zingine zenye migodi tena kutuzidi.

Hizi ripoti hawa mabwana wanaweza kuzitafsiri kama ni defamatory kwao na hivyo tunaweza kuwa sued for defamation japo wametubia unless tuthibitishe usahihi wa hivyo viwango vya madini.

Tutafakari na hii:
millard ayo on Twitter
Tayari tumekwisha dhalilika mjomba
 
Hawa jamaa kweli watakuwa wametuibia lakini findings za kamati hizi kuhusu viwango vya madini na hasara tuliyopata, mimi binafsi zinanipa mashaka sana na ninaona tunaweza kuja kuumbuka hapo baadae.

Ni hivi,kama mchanga tu unaweza kuwa na madini ya thamani ya trilioni mpaka 380.9 kwa kiwango cha juu kwa miaka hiyo 19,ni wazi nchi zenye rasilimali madini duniani na zenye mikataba mizuri zingekuwa ni nchi tajiri sana katika huu ulimwngu.

Cha kujiuliza, kama hiyo ni thamani ya makinikia tu,madini yenyewe(matofali ya dhahabu) yatakuwa na thamani kiasi gani kwa miaka yote hiyo?

Alafu kingine cha kujiuliza ni kwanini findings za kamati hizi mbili za sasa na ile ya Jaji Bomani zitofautiane katika data za viwango vya madini tu lakini zifanane katika matokeo mengine ikiwemo na mapendekezo?Tukumbuke hata hadidu za rejea zimeonekana kufanana kwa maelezo ya Lissu aliyoyatoa Bungeni jana huku akiwa na ripoti ya Jaji Bomani mkononi.

Kubiwa ni kweli tumeibiwa lakini hivyo viwango vya madini vilivyotajwa katika hizo ripoti inabidi tujiulize mara mbili mbili kama kweli vina uhalisia na hali ya nchi zingine zenye migodi tena kutuzidi.

Hizi ripoti hawa mabwana wanaweza kuzitafsiri kama ni defamatory kwao na hivyo tunaweza kuwa sued for defamation japo wametubia unless tuthibitishe usahihi wa hivyo viwango vya madini.

Tutafakari na hii:
millard ayo on Twitter
Swala la makinikia ulikuwa ni UBUNIFUU wa pekee sana, wa watu wachache sana
 
Back
Top Bottom