Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Mimi nimeishamshtukia Kikwete,,,, amewaweka watu DHAIFU kuongoza mihimili ya dola ili awe anawaburuza anavyotaka kwa kutumia uchovu na udhaifu wao.

Mfano Spika wa bunge ni dhaifu na mchovu, anashindwa kuongoza bunge na maccm na serikali yao wanapitisha kila aina ya takataka bungeni...
Mkuu wa jeshi la polisi ni dhaifu kwa na mchovu, maccm yanapitisha kila aina ya dhuluma huko na kubambikia watu kesi...

Mwanasheria mkuu ni dhaifu, kila mtu anajua kuwa Werema ni kama hakusomea sheria vile..

Mbaya zaidi JAJI MKUU ndio dhaifuest, mahakama imegeuzwa kama jalala la kutupa kila aina ya uchafu. Sasa kama sheria zinakiukwa mchana kweupe maana yake wanataka watu wajuchukulie sheria mkononi, wanataka wanaCDM waandamane kumtoa Lwakatare ili wapate fursa ya kuua watu na kuisingizia CHADEMA. Hakuna dhambi mbaya kama kuutumia msingi wa haki kukandamiza haki. Lakini Kikwete aelewe kuwa 2016 sheria anazopindisha zitapindishwa pia kumsulubisha na yeye
 
Mawakili wa Lwakatare, Tundu Lissu, Mabere Marando, Prof.Safari, Peter Kibatala na Nyaronyo Kicheere.

Kwa jopo letu la mawakili tumejiridhisha kuwa hakuna kesi ya kujibu , hii ni kutokana na hati ya mashitaka ambayo iliwasilishwa mahakamani.

Sasa maswali.
 
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!

Kusema hati ya mashitaka ni kipande cha karatasi?

Hati gani haina hata muhuri wala signature?

Pole sana, kutaka nyekundu kuwa Blue...
 
Wee Zemarcopolo mi huwa sikuelewi tena narudia sikulewi......yaani kujifungia chooni kukwepa waandishi ni kujidhalilisha??? Kweli magamba mmeshikwa pabaya!
 
Mawakili wa
Lwakatare, Tundu Lissu, Mabere Marando, Prof.Safari, Peter Kibatala na
Nyaronyo Kicheere.

Kwa jopo letu la mawakili tumejiridhisha kuwa hakuna kesi ya kujibu ,
hii ni kutokana na hati ya mashitaka ambayo iliwasilishwa mahakamani.

Sasa maswali.

Hilo Jopo la mawakili linatisha; maCCM yatakuwa yanaogopa kichizi, endelea kutujuza mkuu...
 
Mahakama jana ilizuiliwa kutoa haki, wakati ndio chombo pekee cha kutoa haki nchini....
Nadhani waliamua kumuandaa hakimu wao. maana naye ni kama alikuwa standby akiwasubiri nadhani aliambiwa "tutawaleta kwako uwe tayari" na inaonekana kama vile walishamueleza asiruhusu hoja yeyote kutolewa na mawakili wa Rwakatare
 
Magereza, mahabusu, police, bunduki, majeshi kila kitu vyao, ila huyu anayeitwa Mola tunaye............
 
Kwanini amefuta mashitaka na kuyafungua yale yale....alifanya hivyo kwa lengo la kuizuia mahakama kutoa uamuzi, amefanya hivyo na kitendo hiki ni kuingilia uhuru wa mahakama ....ndicho tunakilalamikia
 
Kuhusu video, ameiona ila haiendani na kifungu cha 4 cha sheria ya ugaidi.

Hivi anataka kumteka Denis Msacky kwa sababu amemkuta anatembea na mke wake , au alitaka kubadilisha sera ya serikali ,au alitaka kwa sababu anamwandika vibaya,

Sheria ya mwenendo wa jinai inazungumzia kuhusu kosa la kuteka mtu nyara , ila huo sio ugaidi kwa mujibu wa sheria hiyo .....kuna aina tano za utekaji nyara kwa mujibu wa sheria hiyo...
 
Mbona wanasheria hawasemi ile video ni fake?

Kama ule mkanda nk genuine basi huo ni ugaidi.
Hiyo si ndio kesi yenyewe wanayoisubiri? - waulize waiofuta mashitaka maana wenye hamu kama ninyi wamewakosesha uhondo wa kujua kama ile video ni fake au genuine. Tumlaani DPP kutucheleweshea kujua hilo!
 
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!

Mahakama ndio inayoamua kesi, mahakama ilikuwa serious na ilichukulia hoja zake very seriously. Upande was pili yaani waendesha mashitaka nao walielewa point ndio maana waka preempt cause of justice kutendenka( Wakaamua kufuta kesi kabla mahakama haijatoa uamuzi juu ya uhalali wa kesi kuweko mahakamani au la).

Huo umati uliocheka sio unaomlipa lissu na wala sio unaoamua kesi.
 
Jamani sisi tulioko huku mikoani tunaomba Live Press Conference mtuwekee tujue kinachoendelea tafadhali!
 
Uhuru wa mahakama umebakwa na wenye mamlaka
 
Kwanini amefuta mashitaka na kuyafungua yale yale....alifanya hivyo kwa lengo la kuizuia mahakama kutoa uamuzi, amefanya hivyo na kitendo hiki ni kuingilia uhuru wa mahakama ....ndicho tunakilalamikia
Yule hakimu aliyekuwa atoe hukumu alikuwa hajawasiliana na Zoka. DPP akajawa hofu akamuwahi kabla ya hukumu. inaonekana yule waliyempelekea kesi walishamuandaa na kumpa mwongozo
 
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!

Wewe ni muumini wa gazeti la uhuru manake ndio gazeti pekee lililoandika hayo ingekuwa kweli TBC! siwangeonyesha kila baada ya saa
 
Back
Top Bottom