Lowassa na Lema hawajawahi kuwa maswahiba tangu ule uchaguzi wa Arumeru wa "ni heshima kubwa kwa Mungu kumzomea...".
Hata kampeni za 2015 zilipita kwa shida sana kati ya hawa mabwana mawili.
Tangu hapo sijawahi sikia wakipena maneno yeyote ya furaha...
Haiwezekani Lema yupo gerezani miezi miwili sasa hajaenda hata kumjulia hali hata Mala tatu wakati ni majirani Monduli na Arusha mjini.
Yupo yupo tu kimya Lema anakamatwa kimya,Mwalimu alikamatwa kimya,Lissu akikamatwa kimya.
Na siku akikamatwa yeye kwa ufisadi sisi tutakaa kimya.
Chadema ni Lema na Lema ndio nembo halisi ya Chadema.
Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Lema hajawai kunyamaza kuhusu ukandamizaji wa haki maana haujaanza Leo .
Lakini Lowassa eti ameanza kuwatetea wananchi baada ya kuamia Chadema.
mtu hana hata mvuto tena kama walivyo wakin Cheyo na wenzie .
Mtu ambaye kafanikisha kuwaziba midomo wakina Msigwa na Mnyika wanapotea kisiasa.
Hivi Lowassa huyu huyu aliyekataa katiba mpya ya Warioba ambayo matokeo yake tunaendelea kutumia katiba ya 1977 inasababisha Lema aendelee kusota gerezani maana baada ya kupata katiba mpya tungerekebisha sheria zote mbovu.
Alafu kuna watu wanamsapoti eti awe Rais wa nchi serious?...
Pombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Lowassa ni mbinafsi hawezi kuwa rais wa Tanzania tena.
Lowassa hawezi na hatoweza kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwatetea watanzania maana alishawasaliti huko nyuma .
Hahahahaha..... Hivi Lowassa kawapa nini ninyi viumbe?Nadhani mods wampime mtoa mada kwa kipimo kilekile wanachotumia pale wanapokashifiwa walioko madarakani,
Mleta mada aondoe maneno ya kashfa kwenye mada yake au apigwe ban
As nonsense as usual
Hivi kutomtembelea ndio anakuwa na "gundu na mbinafsi"? Unataka Lowassa aishi kwa remote yako.....?
Mkuu kuwa na nidham, alaf siasa za keyboard uzifanye kistaarabu.... Kujitoa ufaham kumewaumiza wengi, if at all politics is your career....
Lowasa alishawasoma akina Lema and company akawaona mburula tu.Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
.
Lema yupo mahali panapostahili.......Haiwezekani Lema yupo gerezani miezi miwili sasa hajaenda hata kumjulia hali hata Mala tatu wakati ni majirani Monduli na Arusha mjini.
Yupo yupo tu kimya Lema anakamatwa kimya,Mwalimu alikamatwa kimya,Lissu akikamatwa kimya.
Na siku akikamatwa yeye kwa ufisadi sisi tutakaa kimya.
Chadema ni Lema na Lema ndio nembo halisi ya Chadema.
Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Lema hajawai kunyamaza kuhusu ukandamizaji wa haki maana haujaanza Leo .
Lakini Lowassa eti ameanza kuwatetea wananchi baada ya kuamia Chadema.
mtu hana hata mvuto tena kama walivyo wakin Cheyo na wenzie .
Mtu ambaye kafanikisha kuwaziba midomo wakina Msigwa na Mnyika wanapotea kisiasa.
Hivi Lowassa huyu huyu aliyekataa katiba mpya ya Warioba ambayo matokeo yake tunaendelea kutumia katiba ya 1977 inasababisha Lema aendelee kusota gerezani maana baada ya kupata katiba mpya tungerekebisha sheria zote mbovu.
Alafu kuna watu wanamsapoti eti awe Rais wa nchi serious?...
Pombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Lowassa ni mbinafsi hawezi kuwa rais wa Tanzania tena.
Lowassa hawezi na hatoweza kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwatetea watanzania maana alishawasaliti huko nyuma .
Kama mmiliki unamaanisha hawapendi watumishi wake?Wewe ni nani mpaka unamtuhunu hivyo mmiliki halali wa chama cha chadema? Hujui kuwa hata Lema mwenye anaweza kuondolewa hapo chadema Lowassa akiamua?
Lema alishawahi kumuomba msamaha Lowassa kwa kusema kumtukana Lowassa kuwa ni mwizi na ufisadi ni thawabu?Kwa hili la Lema , Lowasa mamvi kabugi.
Utadhani yupo bado kijani, anaboa na haleti chachu yoyote katika CDM.
Mshaurini Lema amuombe msamaha Lowassa kwanzaNajua mleta mada humpendi Lowassa lakini hili la kutomtembelea Lema yeye na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwamo na wabunge wa chama kwakweli ni kosa kubwa sana kwao.
Inasikitisha kuona ni Zitto,Sheikh Ponda, Salum Mwalimu na watu wengine wachache ndio wameenda kumjulia hali Lema huko gerezani Kisongo.
Eleweni Leo ni Lema kesho ni nyinyi unless mtakaa kimya mpaka 2020.
Niwatahadhirishe tu siku mkilalamika Lema kuwekwa ndani, CCM watawabeza/watawahoji kama mna uchungu na Lema mbona hata gerezani hamkwenda kumtembelea?
Watu kama kina Kibajaji hawawezi kushindwa kusema maneno haya ndani ya Bunge iwapo swala hili mtaliongelea Bungeni na hata kwenye majukwaa ya kisiasa.Kwa hili lazima watubeza tu.