Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

USAHIHI: Kuhusu Ukatibu Mkuu: Chadema ni Tasisi na Tasisi inaendeshwa kwa Sheria na Katiba na katika mamuzi yote ya Chama yanaongozwa na sheria na Katiba na kila jambo lina mamlaka yake mahususi ya kushugulikia kwa mujibu wa Taratibu za Chama ni vema tuachie taratibu zote za kikatiba kushugulikia swala la katibu mkuu na tuamini mamlaka usika tulizoziweka kikatiba Asanteni sana. Chadema Kwanza
 
Why all this kanda kanda kwani kiongozi anachaguliwa kutokana na sehemu anayotoka au sifa ya uongozi?! Sumaye naye awe muungwana uchu wa madaraka huu! waachieni vijana waongoze ni ninyi tu kila siku?
 
Hatuwezi kuchagua viongozi kwa vigezo vya kanda badala ya sifa na weledi
 
Atoke Tanzania bara au visiwani, kaskazini au kusini, magharibi au mashariki ni sawa tu ili mradi awe na sifa za nafasi ya katibu mkuu. Kama kuna mtu au watu wanalazimisha atoke kaskazini watakuwa wanakosea. Mtoa mada pia anakosea anapolazimisha mtu huyo atoke kanda ya ziiwa.

..ushauri wangu Katibu Mkuu ajaye awe mbunge wa kuchaguliwa.

..pia awe mwanaharakati mjenga hoja asiyeogopa vitisho vya dola.

..awe kijana au mwenye umri wa kati na awe ni kiongozi anayeandaliwa kuchukua madaraka makubwa zaidi.

..anatakiwa mwanachama asiyeyumba kimsimamo.

NB:

..kutokana na ukweli kwamba Raisi Magufuli anatoka kanda ya ziwa siioni CDM ikiimarika ktk kanda ya ziwa hivi karibuni. Exception hapa ni mikoa ya KAGERA na MARA. kwa hiyo kuchagua katibu mkuu toka kanda ya ziwa inaweza kuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

..kanda ya kaskazini tayari iko mikononi mwa CDM kwa hiyo hakuna haja ya kupeleka resources nyingi ktk kanda hiyo. CDM wanatakiwa wacheze defence tu ktk kanda hiyo.

..Nguvu kubwa zaidi ielekezwe ktk kusambaza na kuimarisha chama ktk kanda ya kati, kanda ya nyanda za juu kusini, kanda ya kusini.

..Kanda ya Ziwa[ziwa mashariki + ziwa magharibi] ni mikoa ya Kagera na Mara ndiyo naamini CDM ina nafasi.

cc Pakawa, Freeland
 
Last edited by a moderator:
KATIBU MKUU WA CHADEMA LAZIMA ATOKE KANDA YA ZIWA SIO KASKAZINI TENA.

Katibu Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa kila siku wa chama, kama mnavofahamu baada sintofahamu kutokea ndani ya Chama chetu katibu Mkuu wetu Dr. Slaa aliondoka na kutuacha katika sintofahamu kubwa sana. Ila Leo sitopenda kugusia chochote nitaweka akiba kwa hilo.

Jambo la msingi ni juu ya mustakabali wa chama chetu juu ya upatikanaji wa katibu Mkuu. Sasa mchakato wa katibu Mkuu unaendelea kimya kimya kwa vikao vya mashauriano juu ya nani anafaa kuwa katibu Mkuu wa chama japo Mwenyekiti Freeman Mbowe anashawishi anaowaomba ushauri wakubaliane na Jina analolipendekeza. Jina hilo alilonalo Mwenyekiti wetu ni Sumaye.

Uzalendo wa Sumaye kwa Chama hatuoni, Sumaye ambaye aliyeingia Ukawa kwaajili ya maslahi ya Lowasa hata kadi ya chama chetu aligoma kuchukua hadi uchaguzi kumalizika. Au mnataka kwamba tukubaliane na minong'ono ya mtaani kuwa Sumaye amechukua kadi la sharti ya kupewa ukatibu Mkuu na kuwania nafasi ya Urais 2020. Tutachekesha dunia kuwa na Katibu Mkuu asiyeifahamu itikadi wala falsafa ya chama na uadilifu wake kwa Taifa unatia shaka.

Tunaiomba Kamati kuu isikubali Jina hilo pindi litapoletwa na Mwenyekiti kupitishwa ni lazima safari hii katibu Mkuu atoke Kanda ya ziwa au basi Kanda ya Nyanda za juu Kusini, tumechoka kuwa wasindikizaji tu nasi Kanda ya ziwa tuna sifa za kushika nafasi hiyo kubwa ya chama ya ukatibu Mkuu.

Licha tu ya Sisi Kanda ya ziwa kuhitaji kuongoza kiti hicho, Mwenyekiti lazima aelewe Kanda ya ziwa ina mtaji mkubwa wa wapiga kura hawa watu wa Kanda ya ziwa ndio walimpa kura Magufuli kwahiyo lazima tuishike Kanda hii kama mtaji muhimu ndio ukanda wenye wapiga kura wengi sana wanafika takribani milioni 10

Pia Kanda ya ziwa ndio siku zote imekuwa ikiipa nguvu chadema kwa kuwapa wabunge na madiwani ni wakati Wa Sisi sasa kutupatia heshima.

Sifa ya mwisho kabisa watu wa Kanda ya ziwa tuna sifa kuu ya uadilifu pamoja na uaminifu vile mnavotuamini kuwa Redbriged watiifu basi mtuamini kushika nafasi kubwa sana uongozi na sio kuishia kutupa kuongoza Bavicha tu na kuwa walinzi wa chama huku wa kaskazini wao wakiwa daraja la juu la kuwa na sifa ya kuingia kwenye chombo cha maamuzi.

Tunasisitiza safari hii hatutokubali kabisa katibu Mkuu atoke kaskazini inatupa taabu sana kukitetea chama sio cha kikabila yaani cha kichaga na Kanda ya kaskazini kwa mapungufu ya makusudi, Dr. Slaa alikuwa wa Kanda ya kaskazini kwanini mrithi wake atoke tena Kanda ya kaskazini? Hilo hatotukubali kabisa litokee kuona Sumaye anakuwa katibu Mkuu.

Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa.

Nawasihi wanachadema wa Kanda ya ziwa tuungane, kama tulivoungana kutetea mwili wa Mawazo upatwe kuagwa kwa heshima basi umoja wetu ule tusikubali katibu Mkuu atoke kaskazini labda Mbowe atuweke wazi Sisi ni mitaji yake ya kisiasa ila ndugu zake hao wa kaskazini ndio wana sifa na uwezo ila Sisi hatuna sifa na uwezo wa kushika nafasi za juu ili nasi tuunde chama chetu cha kikanda kutokana na uwezo wetu na wao wenye akili kubwa wabaki na chama chao.

Tunawataka viongozi haswa Mwenyekiti uhamie Kanda ya ziwa kutafuta katibu Mkuu mzuri anayefaa Kama mlivohamia siku za nyuma kuupigania mwili wa marehemu Mawazo ili mpate mtaji wa kisiasa hamkuchoka mlikaa wiki zima ukanda huu nalo hili lina maslahi mapana kwa Chama maana tukitaja Jina la mtu mtaona tunampigia kampeni tunataka mje mtafute wenyewe. Ni muhimu sana kukijenga chama ambacho kitagawa madaraka katika kutuunganisha na sio Kanda fulani kuwa wasindikizaji sasa chama kimekua twende na kasi yake sasa.

Mwisho tunaomba Kanda zingine zituunge mkono na tumkanye Mwenyekiti Freeman Mbowe asithubutu kumleta Sumaye kuwa katibu Mkuu sababu ya ukaskazini wake na tunamuomba asijiamini kupita kiasi akatudharau Sisi wa Kanda ya ziwa kama alivyowadharau juzi madiwani wa Tarime kuwaambia maneno ya dharau na kukatisha tamaa nanukuu "chama changu kitaenda bila nyie Kanda ya ziwa na watu wa Tarime Jina la Mea nililopendekeza ndio hilo sitaki diwani wa kulipinga" mwisho wa kunukuu, dharau hizi hatutozivumulia tutachukua hatua. Wengine najua mtasema tunaleta ukanda huku mkisahau kuwa viongozi wa juu wote ni wa Kanda moja hilo sio ukanda yenyewe ni sawa! Ila Sisi tunaipania usawa tuonekane ni wakabila kuliko waliojazana kikabila na kikanda. Tunaitaka chadema yenye sura ya kitaifa ukanda wote kupewa nafasi sawa na hao wa kaskazini wanaochukuliwa daraja la juu.

By
Mfia chama
Toka Kanda ya Ziwa
Acha unafiki unaweza kutuambia katika uchaguzi huu umeisaidia nini kwani majimbo yote yamepotea isipokuwa Ukelewe tu na kata karibu zote huko zimeenda CCM kwa hiyo kiuhalisia nyie ni wanafiki na vigeugeu mmeendekeza ukabila tu.
 
Mkiambiwa nyie mna ukanda mnakataa ona sasa mnavyojivuwa nguo wenyewe .mbona ampendekezi kusini au pwani
 
KATIBU MKUU WA CHADEMA LAZIMA ATOKE KANDA YA ZIWA SIO KASKAZINI TENA.
,
Katibu Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa kila siku wa chama, kama mnavofahamu baada sintofahamu kutokea ndani ya Chama chetu katibu Mkuu wetu Dr. Slaa aliondoka na kutuacha katika sintofahamu kubwa sana. Ila Leo sitopenda kugusia chochote nitaweka akiba kwa hilo.

Jambo la msingi ni juu ya mustakabali wa chama chetu juu ya upatikanaji wa katibu Mkuu. Sasa mchakato wa katibu Mkuu unaendelea kimya kimya kwa vikao vya mashauriano juu ya nani anafaa kuwa katibu Mkuu wa chama japo Mwenyekiti Freeman Mbowe anashawishi anaowaomba ushauri wakubaliane na Jina analolipendekeza. Jina hilo alilonalo Mwenyekiti wetu ni Sumaye.

Uzalendo wa Sumaye kwa Chama hatuoni, Sumaye ambaye aliyeingia Ukawa kwaajili ya maslahi ya Lowasa hata kadi ya chama chetu aligoma kuchukua hadi uchaguzi kumalizika. Au mnataka kwamba tukubaliane na minong'ono ya mtaani kuwa Sumaye amechukua kadi la sharti ya kupewa ukatibu Mkuu na kuwania nafasi ya Urais 2020. Tutachekesha dunia kuwa na Katibu Mkuu asiyeifahamu itikadi wala falsafa ya chama na uadilifu wake kwa Taifa unatia shaka.

Tunaiomba Kamati kuu isikubali Jina hilo pindi litapoletwa na Mwenyekiti kupitishwa ni lazima safari hii katibu Mkuu atoke Kanda ya ziwa au basi Kanda ya Nyanda za juu Kusini, tumechoka kuwa wasindikizaji tu nasi Kanda ya ziwa tuna sifa za kushika nafasi hiyo kubwa ya chama ya ukatibu Mkuu.

Licha tu ya Sisi Kanda ya ziwa kuhitaji kuongoza kiti hicho, Mwenyekiti lazima aelewe Kanda ya ziwa ina mtaji mkubwa wa wapiga kura hawa watu wa Kanda ya ziwa ndio walimpa kura Magufuli kwahiyo lazima tuishike Kanda hii kama mtaji muhimu ndio ukanda wenye wapiga kura wengi sana wanafika takribani milioni 10

Pia Kanda ya ziwa ndio siku zote imekuwa ikiipa nguvu chadema kwa kuwapa wabunge na madiwani ni wakati Wa Sisi sasa kutupatia heshima.

Sifa ya mwisho kabisa watu wa Kanda ya ziwa tuna sifa kuu ya uadilifu pamoja na uaminifu vile mnavotuamini kuwa Redbriged watiifu basi mtuamini kushika nafasi kubwa sana uongozi na sio kuishia kutupa kuongoza Bavicha tu na kuwa walinzi wa chama huku wa kaskazini wao wakiwa daraja la juu la kuwa na sifa ya kuingia kwenye chombo cha maamuzi.

Tunasisitiza safari hii hatutokubali kabisa katibu Mkuu atoke kaskazini inatupa taabu sana kukitetea chama sio cha kikabila yaani cha kichaga na Kanda ya kaskazini kwa mapungufu ya makusudi, Dr. Slaa alikuwa wa Kanda ya kaskazini kwanini mrithi wake atoke tena Kanda ya kaskazini? Hilo hatotukubali kabisa litokee kuona Sumaye anakuwa katibu Mkuu.

Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa.

Nawasihi wanachadema wa Kanda ya ziwa tuungane, kama tulivoungana kutetea mwili wa Mawazo upatwe kuagwa kwa heshima basi umoja wetu ule tusikubali katibu Mkuu atoke kaskazini labda Mbowe atuweke wazi Sisi ni mitaji yake ya kisiasa ila ndugu zake hao wa kaskazini ndio wana sifa na uwezo ila Sisi hatuna sifa na uwezo wa kushika nafasi za juu ili nasi tuunde chama chetu cha kikanda kutokana na uwezo wetu na wao wenye akili kubwa wabaki na chama chao.

Tunawataka viongozi haswa Mwenyekiti uhamie Kanda ya ziwa kutafuta katibu Mkuu mzuri anayefaa Kama mlivohamia siku za nyuma kuupigania mwili wa marehemu Mawazo ili mpate mtaji wa kisiasa hamkuchoka mlikaa wiki zima ukanda huu nalo hili lina maslahi mapana kwa Chama maana tukitaja Jina la mtu mtaona tunampigia kampeni tunataka mje mtafute wenyewe. Ni muhimu sana kukijenga chama ambacho kitagawa madaraka katika kutuunganisha na sio Kanda fulani kuwa wasindikizaji sasa chama kimekua twende na kasi yake sasa.

Mwisho tunaomba Kanda zingine zituunge mkono na tumkanye Mwenyekiti Freeman Mbowe asithubutu kumleta Sumaye kuwa katibu Mkuu sababu ya ukaskazini wake na tunamuomba asijiamini kupita kiasi akatudharau Sisi wa Kanda ya ziwa kama alivyowadharau juzi madiwani wa Tarime kuwaambia maneno ya dharau na kukatisha tamaa nanukuu "chama changu kitaenda bila nyie Kanda ya ziwa na watu wa Tarime Jina la Mea nililopendekeza ndio hilo sitaki diwani wa kulipinga" mwisho wa kunukuu, dharau hizi hatutozivumulia tutachukua hatua. Wengine najua mtasema tunaleta ukanda huku mkisahau kuwa viongozi wa juu wote ni wa Kanda moja hilo sio ukanda yenyewe ni sawa! Ila Sisi tunaipania usawa tuonekane ni wakabila kuliko waliojazana kikabila na kikanda. Tunaitaka chadema yenye sura ya kitaifa ukanda wote kupewa nafasi sawa na hao wa kaskazini wanaochukuliwa daraja la juu.

By
Mfia chama
Toka Kanda ya Ziwa

kamanda naona unaongea mpka povu linakutoka. leo hii unaona Sumaye hafai eti amekaa chadema muda mfupi sana. je? alipokuwa anapiga kampeni na tukamwamini ampigie kampeni Lowasa akawa kampeni meneja mbona hatukuwa tunalalamika? ? ndio maana tunaitwa wapumbaf na malofa. kama tulimwamini kipindi kile basi ni lazima tumwamini na sasa na ikiwezekana hata ukatibu mkuu tumpe tuu. maana anajituma sana sana
 
Ni kweli tunahitaji mchapakazi.
Lakini kitendo cha katibu mkuu kutoka kaskazini italeta picha flani sio.
Naamini Kanda ya ziwa wapo wachapakazi.
kamanda kanda ya ziwa wote wamerudi ccm. hatuna chetu kule
 
Chadema bana,miezi mitatu inaisha bado wanaendelea kutafuta katibu
 
yan rais atoke hukuna katibu mkuu atoke huko ;kwanza kwa kura zipi mlizowapa cdm
 
Chadema bana,miezi mitatu inaisha bado wanaendelea kutafuta katibu


kabombe,

Isome Katiba ya CHADEMA. Jina la Katibu mkuu hupitishwa na Baraza Kuu baada ya kuteuliwa.Baraza kuu hukaa mara moja kwa mwaka.

Nimekemea tangu jana siasa za kibaguzi.Ni aibu karne hii

Tuwe tunazingatia meritocracy.Mediocrity ni mambo ya kijima sana.

Tuache ujinga huu
 
kabombe,

Isome Katiba ya CHADEMA. Jina la Katibu mkuu hupitishwa na Baraza Kuu baada ya kuteuliwa.Baraza kuu hukaa mara moja kwa mwaka.

Nimekemea tangu jana siasa za kibaguzi.Ni aibu karne hii

Tuwe tunazingatia meritocracy.Mediocrity ni mambo ya kijima sana.

Tuache ujinga huu
Mkuu kuna option ya kuita baraza kwa dharura ili kuilinda katiba,vinginevyo katiba yenu ina matatizo,kipingele kinasema nafasi ijazwe ndani ya siku 90,lakini baraza linakaa mwaka mara 1.
Nilivyoipitia katiba yenu juu juu upo uwezekano wa kuitisha baraza kuu kwa dharura kama mlivyofanya kwa Lowassa..
Msipokemea sasa viongozi wenu,mnakosa moral authority ya kukemea ccm na serikali zake
Na hata mbeleni mkipewa madaraka na chama chenu hamtaaminika,vijana lazima mfurukute,msiogope kutimuliwa,katambi hakuna kitu kabisa,wapiganaji wote mmefungwa midomo,Slaa kaondoka na demokrasia ya kukosoana
 
kabombe,

Isome Katiba ya CHADEMA. Jina la Katibu mkuu hupitishwa na Baraza Kuu baada ya kuteuliwa.Baraza kuu hukaa mara moja kwa mwaka.

Nimekemea tangu jana siasa za kibaguzi.Ni aibu karne hii

Tuwe tunazingatia meritocracy.Mediocrity ni mambo ya kijima sana.

Tuache ujinga huu[/QUOTE
Halafu kuna habari mbowe anaogopa wasomi kama ninyi msipate hata ukaimu,eti anasema mnatabia ya kuita jiwe ni jiwe na mnaangalia maandishi tu yanasema nini,na mzee nae ana list yake ya kina Lau masha wana troti eti ni kweli kamanda?
 
Back
Top Bottom