Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

Cdm siyo uozo wenu ccm,cdm ni taasisi inayokubalika bila kutumia mizinga na vifaru

Unajitutumua tu! CDM inasubiri mazishi tu, CDM haifikii nukta ya chama cha ukombozi
 
Unajitutumua tu! CDM inasubiri mazishi tu, CDM haifikii nukta ya chama cha ukombozi

Ccm isha jifia na sasa inategemea nguvu za dola
 

Attachments

  • 1451125221395.jpg
    1451125221395.jpg
    67.8 KB · Views: 363
Mleta mada ukanda hautakisaidia chama chako CHADEMA wala watanzania. Anayetafutwa ni katibu mkuu wa chama atakayekidhi sifa na vigezo vya nafasi hiyo.
 
Mleta mada ukanda hautakisaidia chama chako CHADEMA wala watanzania. Anayetafutwa ni katibu mkuu wa chama atakayekidhi sifa na vigezo vya nafasi hiyo.

Yeye anauliza lazima atoke kaskazini? Kanda zingine hawapo?
 
Ni uteuzi wa katibu mkuu siyo kanda na siyo kila mtu anaweza uwa katibu mkuu....ingekuwa hivyo bado isingekuwa kama unavyotaka wewe bali matakwa ya kanuni na katiba ya chama
 
wakuu watu wa kusini Mbeya,Iringa Ruvuma na Lindi na sisi ni wakati wetu wa kutoa katibu mkuu wa CHADEMA tusikubali kama hatoki kusin basi atoke Lake Zone

Taarifa

Akitoka kaskazini basi yafuatayo yafanyike
kila zone wawe kitu kimoja undeni chama chao,zone hio ni

Central zone
Lake zone
Northern zone (CHADEMA)
Southern zone

kutokana na CHADEMA kugawanyika tutapata vyama 4 Imara kila zone watakuwa wanajitegemea
asenteni
 
hii maada tumeiona kule fb kwa karama kaila wa act, kaja nayo na huku! ndio kosa mnalofanya wapinzani kutuaminisha kuwa watawala watoke kaskazini au magharibi.
 
Yeye anauliza lazima atoke kaskazini? Kanda zingine hawapo?

Atoke Tanzania bara au visiwani, kaskazini au kusini, magharibi au mashariki ni sawa tu ili mradi awe na sifa za nafasi ya katibu mkuu. Kama kuna mtu au watu wanalazimisha atoke kaskazini watakuwa wanakosea. Mtoa mada pia anakosea anapolazimisha mtu huyo atoke kanda ya ziiwa.
 
Back
Top Bottom