Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Busara zinatakiwa ktk kipindi hiki,Nashauri Maoni ya wanachama yazingatiwe,Chama kiachane na Decree za Mwenyekiti katika kuliendea hili.
Wewe ndio unastahili kuwepo kwenye jukwaa la wacheza lede,
Mbowe hawezi kupumzika chama kitakufa
Chadema is chaga company
Ccm bana na fitina za kizamani, hizo zama ndo goodbayi, anzeni kujenga chama chenu upya
Hii Habari( copy na paste)
iko kwenye Mitandao mpaka Facebook inasambaswa Na Act wa Mwalim Mwaijage !?
Tokea lini Act /ccm wakaipenda chadema ??
kwani nani kasema sumaye atakuwa katibu mkuu.vipi nafasi ya Mbowe ikichukuliwa na hao uliowataja?
kama Mwalim hana uzoefu.. basi Sumaye hana hata haja ya kujadiliwa.
Mwanzoni nilitaman kuwa mwanachadema ila baada ya kuona siasa ni siasa tu.. nimekaa pembeni.. anaefanya vema nampa hongera zake.. anaevuruga sioni haya kumkosoa.. ufia chama nimeacha.
Ccm bana na fitina za kizamani, hizo zama ndo goodbayi, anzeni kujenga chama chenu upya
kwani nani kasema sumaye atakuwa katibu mkuu.
Acheni uquma
Wewe unatuharibia chama hujui kitu mbulula wewe
Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa...
Utakufa wewe cdm itabaki ina meremeta
Bila Mbowe Chadema will die, kama unabisha muondoeni muone