Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

Sakata la Katibu Mkuu: CHADEMA vipande vipande

mwobho

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
808
Reaction score
352
KATIBU MKUU WA CHADEMA LAZIMA ATOKE KANDA YA ZIWA SIO KASKAZINI TENA.

Katibu Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa kila siku wa chama, kama mnavofahamu baada sintofahamu kutokea ndani ya Chama chetu katibu Mkuu wetu Dr. Slaa aliondoka na kutuacha katika sintofahamu kubwa sana. Ila Leo sitopenda kugusia chochote nitaweka akiba kwa hilo.

Jambo la msingi ni juu ya mustakabali wa chama chetu juu ya upatikanaji wa katibu Mkuu. Sasa mchakato wa katibu Mkuu unaendelea kimya kimya kwa vikao vya mashauriano juu ya nani anafaa kuwa katibu Mkuu wa chama japo Mwenyekiti Freeman Mbowe anashawishi anaowaomba ushauri wakubaliane na Jina analolipendekeza. Jina hilo alilonalo Mwenyekiti wetu ni Sumaye.

Uzalendo wa Sumaye kwa Chama hatuoni, Sumaye ambaye aliyeingia Ukawa kwaajili ya maslahi ya Lowasa hata kadi ya chama chetu aligoma kuchukua hadi uchaguzi kumalizika. Au mnataka kwamba tukubaliane na minong'ono ya mtaani kuwa Sumaye amechukua kadi la sharti ya kupewa ukatibu Mkuu na kuwania nafasi ya Urais 2020. Tutachekesha dunia kuwa na Katibu Mkuu asiyeifahamu itikadi wala falsafa ya chama na uadilifu wake kwa Taifa unatia shaka.

Tunaiomba Kamati kuu isikubali Jina hilo pindi litapoletwa na Mwenyekiti kupitishwa ni lazima safari hii katibu Mkuu atoke Kanda ya ziwa au basi Kanda ya Nyanda za juu Kusini, tumechoka kuwa wasindikizaji tu nasi Kanda ya ziwa tuna sifa za kushika nafasi hiyo kubwa ya chama ya ukatibu Mkuu.

Licha tu ya Sisi Kanda ya ziwa kuhitaji kuongoza kiti hicho, Mwenyekiti lazima aelewe Kanda ya ziwa ina mtaji mkubwa wa wapiga kura hawa watu wa Kanda ya ziwa ndio walimpa kura Magufuli kwahiyo lazima tuishike Kanda hii kama mtaji muhimu ndio ukanda wenye wapiga kura wengi sana wanafika takribani milioni 10

Pia Kanda ya ziwa ndio siku zote imekuwa ikiipa nguvu chadema kwa kuwapa wabunge na madiwani ni wakati Wa Sisi sasa kutupatia heshima.

Sifa ya mwisho kabisa watu wa Kanda ya ziwa tuna sifa kuu ya uadilifu pamoja na uaminifu vile mnavotuamini kuwa Redbriged watiifu basi mtuamini kushika nafasi kubwa sana uongozi na sio kuishia kutupa kuongoza Bavicha tu na kuwa walinzi wa chama huku wa kaskazini wao wakiwa daraja la juu la kuwa na sifa ya kuingia kwenye chombo cha maamuzi.

Tunasisitiza safari hii hatutokubali kabisa katibu Mkuu atoke kaskazini inatupa taabu sana kukitetea chama sio cha kikabila yaani cha kichaga na Kanda ya kaskazini kwa mapungufu ya makusudi, Dr. Slaa alikuwa wa Kanda ya kaskazini kwanini mrithi wake atoke tena Kanda ya kaskazini? Hilo hatotukubali kabisa litokee kuona Sumaye anakuwa katibu Mkuu.

Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa.

Nawasihi wanachadema wa Kanda ya ziwa tuungane, kama tulivoungana kutetea mwili wa Mawazo upatwe kuagwa kwa heshima basi umoja wetu ule tusikubali katibu Mkuu atoke kaskazini labda Mbowe atuweke wazi Sisi ni mitaji yake ya kisiasa ila ndugu zake hao wa kaskazini ndio wana sifa na uwezo ila Sisi hatuna sifa na uwezo wa kushika nafasi za juu ili nasi tuunde chama chetu cha kikanda kutokana na uwezo wetu na wao wenye akili kubwa wabaki na chama chao.

Tunawataka viongozi haswa Mwenyekiti uhamie Kanda ya ziwa kutafuta katibu Mkuu mzuri anayefaa Kama mlivohamia siku za nyuma kuupigania mwili wa marehemu Mawazo ili mpate mtaji wa kisiasa hamkuchoka mlikaa wiki zima ukanda huu nalo hili lina maslahi mapana kwa Chama maana tukitaja Jina la mtu mtaona tunampigia kampeni tunataka mje mtafute wenyewe. Ni muhimu sana kukijenga chama ambacho kitagawa madaraka katika kutuunganisha na sio Kanda fulani kuwa wasindikizaji sasa chama kimekua twende na kasi yake sasa.

Mwisho tunaomba Kanda zingine zituunge mkono na tumkanye Mwenyekiti Freeman Mbowe asithubutu kumleta Sumaye kuwa katibu Mkuu sababu ya ukaskazini wake na tunamuomba asijiamini kupita kiasi akatudharau Sisi wa Kanda ya ziwa kama alivyowadharau juzi madiwani wa Tarime kuwaambia maneno ya dharau na kukatisha tamaa nanukuu "chama changu kitaenda bila nyie Kanda ya ziwa na watu wa Tarime Jina la Mea nililopendekeza ndio hilo sitaki diwani wa kulipinga" mwisho wa kunukuu, dharau hizi hatutozivumulia tutachukua hatua. Wengine najua mtasema tunaleta ukanda huku mkisahau kuwa viongozi wa juu wote ni wa Kanda moja hilo sio ukanda yenyewe ni sawa! Ila Sisi tunaipania usawa tuonekane ni wakabila kuliko waliojazana kikabila na kikanda. Tunaitaka chadema yenye sura ya kitaifa ukanda wote kupewa nafasi sawa na hao wa kaskazini wanaochukuliwa daraja la juu.

By
Mfia chama
Toka Kanda ya Ziwa
 
Imani kwa kanda ya Ziwa imetoweka kwa vile mlimpa JPM kura nyingi sana pia CDM ni chama cha kanda ya kule_______ wengine ni wadandiaji tu hivyo hampaswi kuuliza chochote!!!
 
Kuhusu ukanda nimekuona wewe ni ----. Tunahitaji mchapa kazi siyo "Mkanda ya Ziwa''. Mimi natokea Kanda hii ila sikuungi mkono.
 
kwa nini umetumia majina yanayofanana na Tundu Lisu?
 
Kumbe unyumbu unaanza kuisha nyie kazi yenu redbriged tu inawatosha na uenyekiti Bavicha ha ha ha ha
 
nyanda za juu kusini tuache unyumbu kwa kuburuzwa na Northenpole mafia's.
 
KATIBU MKUU WA CHADEMA LAZIMA ATOKE KANDA YA ZIWA SIO KASKAZINI TENA.

Katibu Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa kila siku wa chama, kama mnavofahamu baada sintofahamu kutokea ndani ya Chama chetu katibu Mkuu wetu Dr. Slaa aliondoka na kutuacha katika sintofahamu kubwa sana. Ila Leo sitopenda kugusia chochote nitaweka akiba kwa hilo.

Jambo la msingi ni juu ya mustakabali wa chama chetu juu ya upatikanaji wa katibu Mkuu. Sasa mchakato wa katibu Mkuu unaendelea kimya kimya kwa vikao vya mashauriano juu ya nani anafaa kuwa katibu Mkuu wa chama japo Mwenyekiti Freeman Mbowe anashawishi anaowaomba ushauri wakubaliane na Jina analolipendekeza. Jina hilo alilonalo Mwenyekiti wetu ni Sumaye.

Uzalendo wa Sumaye kwa Chama hatuoni, Sumaye ambaye aliyeingia Ukawa kwaajili ya maslahi ya Lowasa hata kadi ya chama chetu aligoma kuchukua hadi uchaguzi kumalizika. Au mnataka kwamba tukubaliane na minong'ono ya mtaani kuwa Sumaye amechukua kadi la sharti ya kupewa ukatibu Mkuu na kuwania nafasi ya Urais 2020. Tutachekesha dunia kuwa na Katibu Mkuu asiyeifahamu itikadi wala falsafa ya chama na uadilifu wake kwa Taifa unatia shaka.

Tunaiomba Kamati kuu isikubali Jina hilo pindi litapoletwa na Mwenyekiti kupitishwa ni lazima safari hii katibu Mkuu atoke Kanda ya ziwa au basi Kanda ya Nyanda za juu Kusini, tumechoka kuwa wasindikizaji tu nasi Kanda ya ziwa tuna sifa za kushika nafasi hiyo kubwa ya chama ya ukatibu Mkuu.

Licha tu ya Sisi Kanda ya ziwa kuhitaji kuongoza kiti hicho, Mwenyekiti lazima aelewe Kanda ya ziwa ina mtaji mkubwa wa wapiga kura hawa watu wa Kanda ya ziwa ndio walimpa kura Magufuli kwahiyo lazima tuishike Kanda hii kama mtaji muhimu ndio ukanda wenye wapiga kura wengi sana wanafika takribani milioni 10

Pia Kanda ya ziwa ndio siku zote imekuwa ikiipa nguvu chadema kwa kuwapa wabunge na madiwani ni wakati Wa Sisi sasa kutupatia heshima.

Sifa ya mwisho kabisa watu wa Kanda ya ziwa tuna sifa kuu ya uadilifu pamoja na uaminifu vile mnavotuamini kuwa Redbriged watiifu basi mtuamini kushika nafasi kubwa sana uongozi na sio kuishia kutupa kuongoza Bavicha tu na kuwa walinzi wa chama huku wa kaskazini wao wakiwa daraja la juu la kuwa na sifa ya kuingia kwenye chombo cha maamuzi.

Tunasisitiza safari hii hatutokubali kabisa katibu Mkuu atoke kaskazini inatupa taabu sana kukitetea chama sio cha kikabila yaani cha kichaga na Kanda ya kaskazini kwa mapungufu ya makusudi, Dr. Slaa alikuwa wa Kanda ya kaskazini kwanini mrithi wake atoke tena Kanda ya kaskazini? Hilo hatotukubali kabisa litokee kuona Sumaye anakuwa katibu Mkuu.

Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa.

Nawasihi wanachadema wa Kanda ya ziwa tuungane, kama tulivoungana kutetea mwili wa Mawazo upatwe kuagwa kwa heshima basi umoja wetu ule tusikubali katibu Mkuu atoke kaskazini labda Mbowe atuweke wazi Sisi ni mitaji yake ya kisiasa ila ndugu zake hao wa kaskazini ndio wana sifa na uwezo ila Sisi hatuna sifa na uwezo wa kushika nafasi za juu ili nasi tuunde chama chetu cha kikanda kutokana na uwezo wetu na wao wenye akili kubwa wabaki na chama chao.

Tunawataka viongozi haswa Mwenyekiti uhamie Kanda ya ziwa kutafuta katibu Mkuu mzuri anayefaa Kama mlivohamia siku za nyuma kuupigania mwili wa marehemu Mawazo ili mpate mtaji wa kisiasa hamkuchoka mlikaa wiki zima ukanda huu nalo hili lina maslahi mapana kwa Chama maana tukitaja Jina la mtu mtaona tunampigia kampeni tunataka mje mtafute wenyewe. Ni muhimu sana kukijenga chama ambacho kitagawa madaraka katika kutuunganisha na sio Kanda fulani kuwa wasindikizaji sasa chama kimekua twende na kasi yake sasa.

Mwisho tunaomba Kanda zingine zituunge mkono na tumkanye Mwenyekiti Freeman Mbowe asithubutu kumleta Sumaye kuwa katibu Mkuu sababu ya ukaskazini wake na tunamuomba asijiamini kupita kiasi akatudharau Sisi wa Kanda ya ziwa kama alivyowadharau juzi madiwani wa Tarime kuwaambia maneno ya dharau na kukatisha tamaa nanukuu "chama changu kitaenda bila nyie Kanda ya ziwa na watu wa Tarime Jina la Mea nililopendekeza ndio hilo sitaki diwani wa kulipinga" mwisho wa kunukuu, dharau hizi hatutozivumulia tutachukua hatua. Wengine najua mtasema tunaleta ukanda huku mkisahau kuwa viongozi wa juu wote ni wa Kanda moja hilo sio ukanda yenyewe ni sawa! Ila Sisi tunaipania usawa tuonekane ni wakabila kuliko waliojazana kikabila na kikanda. Tunaitaka chadema yenye sura ya kitaifa ukanda wote kupewa nafasi sawa na hao wa kaskazini wanaochukuliwa daraja la juu.

By
Mfia chama
Toka Kanda ya Ziwa

Mwandishi wa mada hii hawezi kuwa Tundu Lissu. Beware of the laws!!!!!
 
Kwa 2020 CDM imekula kwenu tayari wala hamtapata kitu kwenye uchaguzi huo, ila umechelewa kuamka na asemacho Mbowe hakuna wa kukipinga pale sio kamati sio nani ye akisema wengine wote ndio mzee hivo basi fikiri nje box
 
KATIBU MKUU WA CHADEMA LAZIMA ATOKE KANDA YA ZIWA SIO KASKAZINI TENA.

Katibu Mkuu ndio mtendaji Mkuu wa kila siku wa chama, kama mnavofahamu baada sintofahamu kutokea ndani ya Chama chetu katibu Mkuu wetu Dr. Slaa aliondoka na kutuacha katika sintofahamu kubwa sana. Ila Leo sitopenda kugusia chochote nitaweka akiba kwa hilo.

Jambo la msingi ni juu ya mustakabali wa chama chetu juu ya upatikanaji wa katibu Mkuu. Sasa mchakato wa katibu Mkuu unaendelea kimya kimya kwa vikao vya mashauriano juu ya nani anafaa kuwa katibu Mkuu wa chama japo Mwenyekiti Freeman Mbowe anashawishi anaowaomba ushauri wakubaliane na Jina analolipendekeza. Jina hilo alilonalo Mwenyekiti wetu ni Sumaye.

Uzalendo wa Sumaye kwa Chama hatuoni, Sumaye ambaye aliyeingia Ukawa kwaajili ya maslahi ya Lowasa hata kadi ya chama chetu aligoma kuchukua hadi uchaguzi kumalizika. Au mnataka kwamba tukubaliane na minong'ono ya mtaani kuwa Sumaye amechukua kadi la sharti ya kupewa ukatibu Mkuu na kuwania nafasi ya Urais 2020. Tutachekesha dunia kuwa na Katibu Mkuu asiyeifahamu itikadi wala falsafa ya chama na uadilifu wake kwa Taifa unatia shaka.

Tunaiomba Kamati kuu isikubali Jina hilo pindi litapoletwa na Mwenyekiti kupitishwa ni lazima safari hii katibu Mkuu atoke Kanda ya ziwa au basi Kanda ya Nyanda za juu Kusini, tumechoka kuwa wasindikizaji tu nasi Kanda ya ziwa tuna sifa za kushika nafasi hiyo kubwa ya chama ya ukatibu Mkuu.

Licha tu ya Sisi Kanda ya ziwa kuhitaji kuongoza kiti hicho, Mwenyekiti lazima aelewe Kanda ya ziwa ina mtaji mkubwa wa wapiga kura hawa watu wa Kanda ya ziwa ndio walimpa kura Magufuli kwahiyo lazima tuishike Kanda hii kama mtaji muhimu ndio ukanda wenye wapiga kura wengi sana wanafika takribani milioni 10

Pia Kanda ya ziwa ndio siku zote imekuwa ikiipa nguvu chadema kwa kuwapa wabunge na madiwani ni wakati Wa Sisi sasa kutupatia heshima.

Sifa ya mwisho kabisa watu wa Kanda ya ziwa tuna sifa kuu ya uadilifu pamoja na uaminifu vile mnavotuamini kuwa Redbriged watiifu basi mtuamini kushika nafasi kubwa sana uongozi na sio kuishia kutupa kuongoza Bavicha tu na kuwa walinzi wa chama huku wa kaskazini wao wakiwa daraja la juu la kuwa na sifa ya kuingia kwenye chombo cha maamuzi.

Tunasisitiza safari hii hatutokubali kabisa katibu Mkuu atoke kaskazini inatupa taabu sana kukitetea chama sio cha kikabila yaani cha kichaga na Kanda ya kaskazini kwa mapungufu ya makusudi, Dr. Slaa alikuwa wa Kanda ya kaskazini kwanini mrithi wake atoke tena Kanda ya kaskazini? Hilo hatotukubali kabisa litokee kuona Sumaye anakuwa katibu Mkuu.

Sumaye Jina Lake halifai kutokeza katika nafasi ya katibu Mkuu tujiulize tunamuamini kwa lipi? Mtu aliyekuja juzi tu Leo tunataka kumpa nafasi kubwa ya maamuzi ni upuuzi sana. Yaani tunajisahau kuwa CCM Wana mbinu nyingi sana wanaweza wakawa wametuiingizia pandikizi la kuja kutumaliza Sisi tunachekelea na kumkumbatia na kuona ufahari yeye kuwa katibu Mkuu wakati tuna watu wengi wenye sifa ya kushika nafasi hiyo wanachadema haswa.

Nawasihi wanachadema wa Kanda ya ziwa tuungane, kama tulivoungana kutetea mwili wa Mawazo upatwe kuagwa kwa heshima basi umoja wetu ule tusikubali katibu Mkuu atoke kaskazini labda Mbowe atuweke wazi Sisi ni mitaji yake ya kisiasa ila ndugu zake hao wa kaskazini ndio wana sifa na uwezo ila Sisi hatuna sifa na uwezo wa kushika nafasi za juu ili nasi tuunde chama chetu cha kikanda kutokana na uwezo wetu na wao wenye akili kubwa wabaki na chama chao.

Tunawataka viongozi haswa Mwenyekiti uhamie Kanda ya ziwa kutafuta katibu Mkuu mzuri anayefaa Kama mlivohamia siku za nyuma kuupigania mwili wa marehemu Mawazo ili mpate mtaji wa kisiasa hamkuchoka mlikaa wiki zima ukanda huu nalo hili lina maslahi mapana kwa Chama maana tukitaja Jina la mtu mtaona tunampigia kampeni tunataka mje mtafute wenyewe. Ni muhimu sana kukijenga chama ambacho kitagawa madaraka katika kutuunganisha na sio Kanda fulani kuwa wasindikizaji sasa chama kimekua twende na kasi yake sasa.

Mwisho tunaomba Kanda zingine zituunge mkono na tumkanye Mwenyekiti Freeman Mbowe asithubutu kumleta Sumaye kuwa katibu Mkuu sababu ya ukaskazini wake na tunamuomba asijiamini kupita kiasi akatudharau Sisi wa Kanda ya ziwa kama alivyowadharau juzi madiwani wa Tarime kuwaambia maneno ya dharau na kukatisha tamaa nanukuu "chama changu kitaenda bila nyie Kanda ya ziwa na watu wa Tarime Jina la Mea nililopendekeza ndio hilo sitaki diwani wa kulipinga" mwisho wa kunukuu, dharau hizi hatutozivumulia tutachukua hatua. Wengine najua mtasema tunaleta ukanda huku mkisahau kuwa viongozi wa juu wote ni wa Kanda moja hilo sio ukanda yenyewe ni sawa! Ila Sisi tunaipania usawa tuonekane ni wakabila kuliko waliojazana kikabila na kikanda. Tunaitaka chadema yenye sura ya kitaifa ukanda wote kupewa nafasi sawa na hao wa kaskazini wanaochukuliwa daraja la juu.

By
Mfia chama
Toka Kanda ya Ziwa

Wewe unacho kiandika kina akisi ubongo wako kuwa ni sawa na ule wa kuku
 
Kwa 2020 CDM imekula kwenu tayari wala hamtapata kitu kwenye uchaguzi huo, ila umechelewa kuamka na asemacho Mbowe hakuna wa kukipinga pale sio kamati sio nani ye akisema wengine wote ndio mzee hivo basi fikiri nje box

Wewe ni sawa na bundi ndani ya ccm, alisema maneno hayo wasira na mangiri mkakenua meno kwa cdm ingekufa kabla ya 2013 lkn leo cdm inazidi kushine na hiyo hiyo cdm ndio mbunge wake kamg'oa huyo wasira
 
Ni kweli tunahitaji mchapakazi.
Lakini kitendo cha katibu mkuu kutoka kaskazini italeta picha flani sio.
Naamini Kanda ya ziwa wapo wachapakazi.
 
Back
Top Bottom