Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

CHADEMA ilinishinda kwa sababu ya ubabe nilihoji baadhi ya vitu matokeo yake nikageuziwa kibao na nikaambiwa nitakua mwanachama wa kawaida na nisigombee nafasi yoyote kwa miaka kadhaa lau ningekubali hii leo nisingekuwa mbunge

hiki chama cha wachaga ni shida sana aisee,ukiwa siyo mchaga lazima wakuundie zengwe tu,ni chama ambacho ni hatari sana tz
 
CHADEMA ilinishinda kwa sababu ya ubabe nilihoji baadhi ya vitu matokeo yake nikageuziwa kibao na nikaambiwa nitakua mwanachama wa kawaida na nisigombee nafasi yoyote kwa miaka kadhaa lau ningekubali hii leo nisingekuwa mbunge

Unadhalilisha hilo jina.
 
Bila ubabe hamuendi nyie kabisa, tena mlitakiwa bakora kabisa. Pambafu. Mnataka viongozi wanaowachekeachekea Tu....
 
CHADEMA ilinishinda kwa sababu ya ubabe nilihoji baadhi ya vitu matokeo yake nikageuziwa kibao na nikaambiwa nitakua mwanachama wa kawaida na nisigombee nafasi yoyote kwa miaka kadhaa lau ningekubali hii leo nisingekuwa mbunge

Kijana mwehu sana..hajui kupata hakumaanishia kuwa CMD walimbania.Sasa km yeye lengo lake ni kupata ubunge ana haki ya kutafuta njia yoyote imfikishe ktk malengo binafsi.Na cdm hawakumnyima malengeo yake ila matendo yake na mambo yak ebinafsi yasingekubaliwa ktk CDM..Ingekuwa kufikia malengo binafsi ,kunathibitisha waliokuwa na sheria au kushuku ni wakosefu ,basi IDD AMIN naye anagekuwa sahihi,dhidi ya watu waliokuwa na mashaka nae.
 
CHADEMA ilinishinda kwa sababu ya ubabe nilihoji baadhi ya vitu matokeo yake nikageuziwa kibao na nikaambiwa nitakua mwanachama wa kawaida na nisigombee nafasi yoyote kwa miaka kadhaa lau ningekubali hii leo nisingekuwa mbunge
Chicken has better IQ than you fell
 
Hivi wewe mbona leo umeamka na CHADEMA, au umeiota usiku nini. Ok tuachane na hayo, labdala ungemuuliza huyo Kafulila wako hakufukuzwa CHADEMA alihama mwenyewe, alifukuzwa NCCR akaangua kilio na kupiga magoti. Mbona hiyo hayajatoa comment yoyote. Please change that name. Huyo unayetumia jina lake hajawahi kuwa na kichwa cha panzi kama cha kwako.
 
Huyu dogo si ndo alifukuzwa CDM? Akaenda NCCR akatolewa nduki lkn akawa mbishi,leo analeta up..um.b.av.u wake hapa,kafulia ni sawa na gamba!
 
CHADEMA ilinishinda kwa sababu ya ubabe nilihoji baadhi ya vitu matokeo yake nikageuziwa kibao na nikaambiwa nitakua mwanachama wa kawaida na nisigombee nafasi yoyote kwa miaka kadhaa lau ningekubali hii leo nisingekuwa mbunge

Alipoachana na CHAUMMA alihoji nini?
 
Mbona ulilia na kumpigia magoti Mbatia??? Kwanini ulifukuzwa na NCCR? Unajua kwenye chama si jambo jema kujifanya much know wakati chama kinajengwa na watu wengi na hivyo akili za wote ndio zikiunganishwa zinajenga chams
 
Useless politician,he attained one of the highest political office in the country,yet he behave like a moron.useless,with all the problems he is supposed to look into sorting them out yet he keep bulling on his useless MPship.
 
Mi ningepewa chanzo cha kuhaminika cha habari hii ningekuwa na chakuchangia! Maana wengine hawa ni SAA MBOVU na tushawazowea.
 
Back
Top Bottom