Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
hao wanasheria nguli ambao wanaogopa majina yao kutajwa ni nguli kweli au njaa/minyoo ya tumbo! Ebu watuwekee hapa hiyo hukumu nasi tuisome, ili nasi tutoe mawazo ya uchanga wetu. Kwa kuangalia mantiki ya Rich monduli ilivyokuja kisha hili li-muzimu la Dwans, hahitaji cheti cha sheria ili kuweza kupitisha maamuzi ya kutomlipa huyo zimwi.
Acha wakasajili, huko nje ya nchi na wakamate chochote watakachokamata, kuliko kulipa kwa kuridhia. Haya malipo nina imani hata shetani anashangaa kwa nini tumlipe huyo zimwi na mazingira yake yote, yaliyokwisha jidhihirisha kuwa ni ya kizimwi zimwi; labda nyiye wanasheria msokuwa na majina mtusaidiye kuelewa mantiki ya hili suala ili tuweze kusheherekea hii move ya malipo.
Acha wakasajili, huko nje ya nchi na wakamate chochote watakachokamata, kuliko kulipa kwa kuridhia. Haya malipo nina imani hata shetani anashangaa kwa nini tumlipe huyo zimwi na mazingira yake yote, yaliyokwisha jidhihirisha kuwa ni ya kizimwi zimwi; labda nyiye wanasheria msokuwa na majina mtusaidiye kuelewa mantiki ya hili suala ili tuweze kusheherekea hii move ya malipo.