Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Ni sheria gani hizo zisizo na maadili wala haki ambazo Justice Bomani anadhani zinastahili kutekelezwa?
Dowans kama Richmond ni aibu kwa Tz.
Mbona asitie shinikizo wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki wanaodai haki zao miongo kadhaa saas, tena wengi ni wagonjwa na wengine wamefariki, walipwe?
Sheria za Tz zinasemaje juu ya madai halali ya wallimu, wauguzi, madaktari nk ambayo yana miaka meingi yakipigwa dana dana kutekelezwa na serikali il-hali mahakama zilshatoa hukumu?
Ni kwa nini Dowans inatakiwa ilipwe fasta?
Mbona Justcie Bomani, mnachagua na kubagua wakati gani na vipi mtekeleze sheria fulani kwa watu fulani? ?
Ungenyamaza labda ungehifadhi heshima kidogo.
Dowans kama Richmond ni aibu kwa Tz.
Mbona asitie shinikizo wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki wanaodai haki zao miongo kadhaa saas, tena wengi ni wagonjwa na wengine wamefariki, walipwe?
Sheria za Tz zinasemaje juu ya madai halali ya wallimu, wauguzi, madaktari nk ambayo yana miaka meingi yakipigwa dana dana kutekelezwa na serikali il-hali mahakama zilshatoa hukumu?
Ni kwa nini Dowans inatakiwa ilipwe fasta?
Mbona Justcie Bomani, mnachagua na kubagua wakati gani na vipi mtekeleze sheria fulani kwa watu fulani? ?
Ungenyamaza labda ungehifadhi heshima kidogo.